Mkuu
KENZY , sijisifii... ila amini nakuambia kuna vitu ni very common kwa wanawake hapa Duniani regardless ya Asili zao za Uraia, Elimu, kipato n.k
Wanashea hivo vitu, na hapa Duniani aminini nawambia, WANAWAKE NI WATUMWA WA HISIA ZAO WENYEWE.
Ukijua kucheza na HISIA ZAO amini nakuambia 99.9% ya wanawake watahitaji kua nawewe once utakapofanya First Move.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] A WOMAN HAS ABSOLUTELY NO CONTROL OVER WHO TO FALL IN LOVE WITH[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
yaan nakuambia, Muulize demu wako , ilikuaje akawa na Nawewe au Washikaji wake wa nyuma??
ATAKUJIBU..."ILITOKEA TU".
HAWAFALL KWA MTU KWA UTIMAMU WA AKILI YAO YAAN AKAE AWAZE ,AKUFIKIRIEEE, NDIO SASA AAMUE KUA NAWEWE AU LAH.
ndio maana kuna demu anaweza kukuzungusha weee Miezi mitatu..lkn kuna mchizi atampiga within 3 days za kujuana kwao.
NAMAANISHA NN??? UKIFANIKIWA KUCHEZA NA HISIA ZA MWANAMKE UNAYEMTAKA.
All the way mtakulana kimasihara na hapo ndio yeye ataanza kukupenda akishirikisha na akili yake.
ENDELEENI KUWATONGOZA KITAKATIFU .. YAAN KATOTO KANA MIAKA 20-26 UNAKATONGOZA KITAKATIFU???? WEE ULISIKIA WAPI[emoji23][emoji23]
sibora kidogoooooooooo Utakatifu uutumie kwa mwanamkd ambaye kapitia mengi ,kaumizwa, umri umeenda, hivo anahitaj mtu wa kutulia kabisaaa ,kwa lugha nyingine itakmchukua miezi karibu mitatu kukukubalia sasa kihisia???( na ukiwa mjanja bado hata huyu ndani ya siku unaouwezo wakumfanya AAMINI KUA MMEJUANA MIEZI MINGI ILIPITA)