Dah Ban inauma aisee! Nimempa rafiki yangu simu aperuzi JF akasababisha nipigwe ban

Pole mm hata mr. Huingia huku muda mwingine akitaka kupost tangazo lake na alishafanya hivyo ,,sina kibaya cha kuhide kabisa kama n mtu katuma pm ya kunitongoza wala haangaiki nazo kabisa kwa sababu ananijua vyema
Hujambo Neema?
 
Hahahahahaaa, pole sana.

 
Huyu alijipiga ban mwenyewe Si bure
Siwez kukulazimisha uelewe mkuu,, ningekuwa mtu wa id fake na kuongea hovyo hovyo humu basi ningekuwa kila mara nalog out ila mm si wa hivyo kabisa
 
Kumbe watu bado wanaazimana simu[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…