kinyaukitoto
Senior Member
- Oct 13, 2019
- 103
- 192
- Thread starter
-
- #201
Uyo ni twiga 😂Nakupa vipimo afu tengeneza picha kichwani mwako
Urefu futi 5.8
Rangi.....mweupe
Mwembamba
Uzito kg 60
Unda picha
Ndugu yake shiboubUyo ni twiga 😂
Sawa tajiriNdugu yake shiboub
Hii akili kubwa sana, nawazaga sana kitu kama hichi.hakuna mkono humu, utapata maelezo,, yenye kuchamvusha akili yako kipi ufanyie kazi, na sio kazi in direct, ndio kama hapo juu wadau wanakupa michongo, ni rahis kutangaza kaz fb na ukapata kuliko jf, unajua kwanini? Humu wengi tupo kifek kama ww unavyokili kubadil i d, mtu fake hawez kupa practical job coz kwanza mpaka kuweka ufek kweny i d yake hataki ajulikane so ili akupe inabid mjuane kitu ambacho utakuwa umekiuka miko, na ukumbuke huu ni mtandao ni mpana, kumbuka mello aliwahi kubanwa ili tu ataje member alietoa mada ambayo iligusa nyeti za selikari najua unakumbuka ile kesi iliishia vp kama ulifuatilia, so hakuna mtu mwenye akili timamu wa humu ambae atakupa mishe in direct, weng kama ww ulivyohofia kuweka i d yako na wao wana hofia usije ukawa, tiss, coz selikar inambinu nyng ndio maana ya msemo wang WOTE HUMU NI MAJOBLESS hakuna mtu atakupa kaz humu
Daaa....... Sasa Lamomy nikiachana nao, nitasaidikaje si Unajua lazima ujishushe kwanza,Wala usije na id yako unayojulikana, hawana lolote wanataka kukukejeli.
Wao wenyewe wanaotaka wakupe kazi nao wanaunga unga 😂😂😂😂
Kwanza hiyo id inayojulikana kwani ndo utambulisho wako halisi?! Achana nao wachoraji mwaya 🤣🤣🤣
Mwenye nia ya kukusaidia wala asingesumbuka kuhitaji id yako nyingine kwani ni real?! Nayo si fake km hii?!!Daaa....... Sasa Lamomy nikiachana nao, nitasaidikaje si Unajua lazima ujishushe kwanza,
Au ww utanishika mkono mdogo wako ,
Id ikijulikana thread itaanza upya😀😀,
Dah haya bwana😔Mwenye nia ya kukusaidia wala asingesumbuka kuhitaji id yako nyingine kwani ni real?! Nayo si fake km hii?!!
Wanataka kujua ili wakutanie trust me.!
Ww kumbe bado hujawajua binadamu vizuri… jichanganye 😂😂😂
Id yangu ni kind of humble,kwan hujui tabia ya 🐈 kitoto, apart of mm ni smart guy you never expect to beId yako inakutesa
Hiyo I'd nyibgine ni ya kukejeli vijana wafanyr kazi yoyoteUngekuja na id yako hiyo maarufu ungepata msaada haraka sanaa!!
Lamomy shamba boi huyu... Mana kijana aliwa Hana mipango anawez fanya lolote . Mmoja kajirusha baharini janaMwenye nia ya kukusaidia wala asingesumbuka kuhitaji id yako nyingine kwani ni real?! Nayo si fake km hii?!!
Wanataka kujua ili wakutanie trust me.!
Ww kumbe bado hujawajua binadamu vizuri… jichanganye 😂😂😂
Nipe konekshen mm mkuu. Nimesikia zimeishaNi KAzi ya ulinzi zanzibar
Dah aya bwana🙄🙄Hiyo I'd nyibgine ni ya kukejeli vijana wafanyr kazi yoyote
Unanitusi mkuu,Ubarikiwe sana🙏🙏Lamomy shamba boi huyu... Mana kijana aliwa Hana mipango anawez fanya lolote . Mmoja kajirusha baharini jana
Ww huyu siku nikilewa anaweza kunibaka shem 🤣🤣🤣Lamomy shamba boi huyu... Mana kijana aliwa Hana mipango anawez fanya lolote . Mmoja kajirusha baharini jana
Dsm mkuuUko wapi? Kuna mwanangu yuko kwenye mashirika ya Tumbaku huko Kahama ndio msimu wake huu.Ila mshahara ukimfunga nao sisimizi Shekilango unamkuta kafika nao Sinza Madukani.