Ahahahah kiss Samsung hapaInaonekana hata kujinyonga sababu ya kuibiwa basi unaweza
Unanikosea sana ase niombe radhiBila shaka mzee unavaa mabwanga/ masuruali makubwa
Asantekaribu kariakoo
Mbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Kwaion unataka kusemajeMbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!
Tena kuna muda natembea nna cash mfukoni hata 1m na nikinunua kitu nachomoa burungutu zima then narudisha mfukoni lakini sijawahi ona hata nzi akinisogelea nahisi hawa jamaa wanaangalia na sura pengine umekaa kama wa kuja au mporipori au umekaa kilokole lokole
Mimi mtu akiniangalia tu sura yangu na body ananiogopa fasta maana nimekaa kishari shari yaani ukijichomeka tu unakula komwe la utosi[emoji41]
Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Kuwa makiniNdio kaka ila dah nashangร sana
Mbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!
Tena kuna muda natembea nna cash mfukoni hata 1m na nikinunua kitu nachomoa burungutu zima then narudisha mfukoni lakini sijawahi ona hata nzi akinisogelea nahisi hawa jamaa wanaangalia na sura pengine umekaa kama wa kuja au mporipori au umekaa kilokole lokole
Mimi mtu akiniangalia tu sura yangu na body ananiogopa fasta maana nimekaa kishari shari yaani ukijichomeka tu unakula komwe la utosi[emoji41]
SawaPole na karibu mjini. Next time wkt unatbea maeneo kama hayo tembea ukiwa una maintain security perimeter yako
Anasema yeye wa mujiniMkuu kwenye kutapeliwa inaweza Ikawa ngumu ila nakushaur kariakoo atakama unajiamin vip usitoe hela nyingi mbele za watu sisi wenyewe wenyeji tunaliogopa ilo kariakoo kuna michezo mingi Sana ya pesaโฆnakushauri tu isije siku ukalia
Ndio yenyewe mkuuCheck vizuri hiyo uliyorudishiwa, isijekuwa umepewa kanyaboya...
Karibu darisalama.Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
๐๐๐๐๐๐Pole wamekuona wa kuja
๐๐๐๐๐AiseeDaaaah hii ishanikuta aiseeee
๐๐๐๐๐Mtu akinigusa kariakoo kitu cha kwanza naingiza mikono yangu mfukoni