Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Mbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!
Tena kuna muda natembea nna cash mfukoni hata 1m na nikinunua kitu nachomoa burungutu zima then narudisha mfukoni lakini sijawahi ona hata nzi akinisogelea nahisi hawa jamaa wanaangalia na sura pengine umekaa kama wa kuja au mporipori au umekaa kilokole lokole
Mimi mtu akiniangalia tu sura yangu na body ananiogopa fasta maana nimekaa kishari shari yaani ukijichomeka tu unakula komwe la utosi[emoji41]
 
Mbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!
Tena kuna muda natembea nna cash mfukoni hata 1m na nikinunua kitu nachomoa burungutu zima then narudisha mfukoni lakini sijawahi ona hata nzi akinisogelea nahisi hawa jamaa wanaangalia na sura pengine umekaa kama wa kuja au mporipori au umekaa kilokole lokole
Mimi mtu akiniangalia tu sura yangu na body ananiogopa fasta maana nimekaa kishari shari yaani ukijichomeka tu unakula komwe la utosi[emoji41]
Kwaion unataka kusemaje
 
😹😹😹😹🙌🙌🙌 wezi wajengewe statue
 
Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha

Pole na karibu mjini. Next time wkt unatbea maeneo kama hayo tembea ukiwa una maintain security perimeter yako
 
Mbona mimi natokaga huku Dom na vihela vyangu vya majeneza nakuja Dar kutembea na kumwagilia moyo na huwa naenda sana hiyo Kariakoo lakini sijawahi kuibiwa wala kutapeliwa hata siku moja!
Tena kuna muda natembea nna cash mfukoni hata 1m na nikinunua kitu nachomoa burungutu zima then narudisha mfukoni lakini sijawahi ona hata nzi akinisogelea nahisi hawa jamaa wanaangalia na sura pengine umekaa kama wa kuja au mporipori au umekaa kilokole lokole
Mimi mtu akiniangalia tu sura yangu na body ananiogopa fasta maana nimekaa kishari shari yaani ukijichomeka tu unakula komwe la utosi[emoji41]

Mkuu kwenye kutapeliwa inaweza Ikawa ngumu ila nakushaur kariakoo atakama unajiamin vip usitoe hela nyingi mbele za watu sisi wenyewe wenyeji tunaliogopa ilo kariakoo kuna michezo mingi Sana ya pesa…nakushauri tu isije siku ukalia
 
Mkuu kwenye kutapeliwa inaweza Ikawa ngumu ila nakushaur kariakoo atakama unajiamin vip usitoe hela nyingi mbele za watu sisi wenyewe wenyeji tunaliogopa ilo kariakoo kuna michezo mingi Sana ya pesa…nakushauri tu isije siku ukalia
Anasema yeye wa mujini
 
Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Karibu darisalama.
 
Back
Top Bottom