Asee.. pole ..bar 10 sio mchezo[emoji850][emoji850][emoji850]Ila maisha jamani...tukio lako limenikumbusha niliwahi pigwa milioni 10 ya kampuni,, ile natoka benki nilikua na begi na bahasha sijui walikua wananifuatilia mbwa wale,, hadi nafika ofisini sielewi kinachoendelea najikuta niko na bahasha tu begi sina la hela...ile siku ilibidi wanipeleke mirembe tu kwakweli maana niliwehuka kabisa...yani boss asingekua anafahamiana na mzee nahisi mpaka leo ningekua nakatwa mshahara[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]..ndomana mtu akiniambia ameibiwa nabaki nacheka tu kwasababu maumivu yake nayajua[emoji2356][emoji2356]
Saivi naagiza kwa simNilienda kutokana na ukaribu wa huduma na nilichokuwa nataka
Asante mkuu🙏🏼🙏🏼,, mbona nilipata kichaa yani saivi ningekua mirembe basi tu Mungu ni mwema😌Asee.. pole ..bar 10 sio mchezo[emoji850][emoji850][emoji850]
Ahahhaha akasema sitak pesa yake nataka simu tuAngekuwa na huruma asingeniibia nyang'au yule!!
Duh hongera nikipata pesa kama ww nitafanya ivyoSaivi naagiza kwa sim
Haya mambo SI wish kabisa yanipate kabisa , maana Nina inside traumas halafu linikute hili basi lazima ningekuwa ....may his departed soul rest in eternal peace [emoji119][emoji119][emoji1787]Asante mkuu[emoji1374][emoji1374],, mbona nilipata kichaa yani saivi ningekua mirembe basi tu Mungu ni mwema[emoji18]
Ni kweli omba tu yasikukute😅😅Haya mambo SI wish kabisa yanipate kabisa , maana Nina inside traumas halafu linikute hili basi lazima ningekuwa ....may his departed soul rest in eternal peace [emoji119][emoji119][emoji1787]
SurelyNi kweli omba tu yasikukute[emoji28][emoji28]
Huu wizi wa kizamani, na wana kawaida ya kuubinya mkono wakati anakuongelesha ili akili ifanye concentration kwenye mkono, mimi hii ilinitokea lakini ni muda sana karibu miaka saba nyuma, nilichofanya nilimkamata yule mwenzake aliyeingiza mkono mfukoni nikamrusha mbele kwa nguvu akaenda kudondokea mtaroni, mtu mwenyewe hata nguvu alikuwa hana, pengine ningempiga ngumi ningesababisha matatizo mengineHellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Hatar sanaHuu wizi wa kizamani, na wana kawaida ya kuubinya mkono wakati anakuongelesha ili akili ifanye conceration kwenye mkono, mimi hii ilinitokea lakini ni muda sana karibu miaka saba nyuma, nilichofanya nilimkamata yule mwenzake aliyeingiza mkono mfukoni nikamrusha mbele kwa nguvu akaenda kudondokea mtaroni, mtu mwenyewe hata nguvu alikuwa hana, pengine ningempiga ngumi ningesababisha matatizo mengine
Nilikuwaga mtu mbaya sana zamani enzi zile niko na kina marehemu Dullah tunaiba mafuta ya transformer nilijifunza kila aina ya mapigano ya kutumia mikono tu ukizingatia nna mwili wenye nguvu sana yaani nikikutandika ngumi au kichwa lazima uzimeMh labda kama na ww ni kaka jambazi
Saw nitakuwa nakuita bondiaNilikuwaga mtu mbaya sana zamani enzi zile niko na kina marehemu Dullah tunaiba mafuta ya transformer nilijifunza kila aina ya mapigano ya kutumia mikono tu ukizingatia nna mwili wenye nguvu sana yaani nikikutandika ngumi au kichwa lazima uzime
Na pamoja na kuachana na maisha yale na kuamua kuwa baba mtulivu na kujiajili kuwa muuzaji maarufu wa majeneza lakini mpaka sasa sitakagi kabisa dharau wala matatizo na mtu na huwa mtu akiingia anga zangu sioni kesi kumpasua hata hapa Dom mtaa nilipo hakunaga mtu ananizoea kisenge hata awe nani
Mwaka juzi niliwahi kumpiga kichwa polisi mmoja mbele ya wenzake baada ya kutaka kuniletea uonevu sehemu yangu ya kazi ili wapige hela kwa kesi ya kunibambikia!
Nilimtandika halafu akaita wenzie wakaniweka pingu(kwa hiari yangu na masharti muhimu) ndio wakafanikiwa kunipeleka kituoni japo ile ishu ilibidi nitoe hela kumtibia maana nilimuumiza ila kesi yangu ilikosa ushahidi nikaachiwa mpaka leo walishanifahamu wanajua kabisa huu mtambo.!
Vijana wahuni sana wale...ukivaa mashati yako marefu wana wewe.Apo muonekano wako umekuangusha hasa kwenye dress code [emoji3]
Umeandika nini sasa hapa?Acha upuuzi kijana yaani mtu anakukanyaga bila sababu unamshangaa badala ya kumzibua makofi au ngumi... Na bado unapapaswa hadi cm inaibwa hujitambui... Vijana wa sikuhiz hopeless useless na bado unakuja kutusimulia ujinga wako
Badili title iwe ROBO TATU NILIZWE...,Maana kama simu ilikuwa imeshaondoka kwenye himaya yako ukasaidiwa na mtu kuipata tena, hiyo sio NUSU tena!!!!Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.
Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Dah ww acha tu wat wajf wajuaji kuliko utumboWatu wengi mlocomment mmesema jamaa ameibiwa kwa sababu wale wahuni wamemwona ana muonekano wa kuja/ wa kishamba/mpori pori
Je mshamba ana mwonekano gan?? Yukoje yukoje yan mpaka unasema huyu n mshamba!!!