Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Ila maisha jamani...tukio lako limenikumbusha niliwahi pigwa milioni 10 ya kampuni,, ile natoka benki nilikua na begi na bahasha sijui walikua wananifuatilia mbwa wale,, hadi nafika ofisini sielewi kinachoendelea najikuta niko na bahasha tu begi sina la hela...ile siku ilibidi wanipeleke mirembe tu kwakweli maana niliwehuka kabisa...yani boss asingekua anafahamiana na mzee nahisi mpaka leo ningekua nakatwa mshahara[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]..ndomana mtu akiniambia ameibiwa nabaki nacheka tu kwasababu maumivu yake nayajua[emoji2356][emoji2356]
Asee.. pole ..bar 10 sio mchezo[emoji850][emoji850][emoji850]
 
Asante mkuu[emoji1374][emoji1374],, mbona nilipata kichaa yani saivi ningekua mirembe basi tu Mungu ni mwema[emoji18]
Haya mambo SI wish kabisa yanipate kabisa , maana Nina inside traumas halafu linikute hili basi lazima ningekuwa ....may his departed soul rest in eternal peace [emoji119][emoji119][emoji1787]
 
Haya mambo SI wish kabisa yanipate kabisa , maana Nina inside traumas halafu linikute hili basi lazima ningekuwa ....may his departed soul rest in eternal peace [emoji119][emoji119][emoji1787]
Ni kweli omba tu yasikukute😅😅
 
Kwa kiufupi poleni wote yaliyowakuta maana dah.[emoji3061][emoji3061] I can't imagine the pain unayokuwa nayo
 
Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Huu wizi wa kizamani, na wana kawaida ya kuubinya mkono wakati anakuongelesha ili akili ifanye concentration kwenye mkono, mimi hii ilinitokea lakini ni muda sana karibu miaka saba nyuma, nilichofanya nilimkamata yule mwenzake aliyeingiza mkono mfukoni nikamrusha mbele kwa nguvu akaenda kudondokea mtaroni, mtu mwenyewe hata nguvu alikuwa hana, pengine ningempiga ngumi ningesababisha matatizo mengine
 
Huu wizi wa kizamani, na wana kawaida ya kuubinya mkono wakati anakuongelesha ili akili ifanye conceration kwenye mkono, mimi hii ilinitokea lakini ni muda sana karibu miaka saba nyuma, nilichofanya nilimkamata yule mwenzake aliyeingiza mkono mfukoni nikamrusha mbele kwa nguvu akaenda kudondokea mtaroni, mtu mwenyewe hata nguvu alikuwa hana, pengine ningempiga ngumi ningesababisha matatizo mengine
Hatar sana
 
Mh labda kama na ww ni kaka jambazi
Nilikuwaga mtu mbaya sana zamani enzi zile niko na kina marehemu Dullah tunaiba mafuta ya transformer nilijifunza kila aina ya mapigano ya kutumia mikono tu ukizingatia nna mwili wenye nguvu sana yaani nikikutandika ngumi au kichwa lazima uzime
Na pamoja na kuachana na maisha yale na kuamua kuwa baba mtulivu na kujiajili kuwa muuzaji maarufu wa majeneza lakini mpaka sasa sitakagi kabisa dharau wala matatizo na mtu na huwa mtu akiingia anga zangu sioni kesi kumpasua hata hapa Dom mtaa nilipo hakunaga mtu ananizoea kisenge hata awe nani
Mwaka juzi niliwahi kumpiga kichwa polisi mmoja mbele ya wenzake baada ya kutaka kuniletea uonevu sehemu yangu ya kazi ili wapige hela kwa kesi ya kunibambikia!
Nilimtandika halafu akaita wenzie wakaniweka pingu(kwa hiari yangu na masharti muhimu) ndio wakafanikiwa kunipeleka kituoni japo ile ishu ilibidi nitoe hela kumtibia maana nilimuumiza ila kesi yangu ilikosa ushahidi nikaachiwa mpaka leo walishanifahamu wanajua kabisa huu mtambo.!
 
Nilikuwaga mtu mbaya sana zamani enzi zile niko na kina marehemu Dullah tunaiba mafuta ya transformer nilijifunza kila aina ya mapigano ya kutumia mikono tu ukizingatia nna mwili wenye nguvu sana yaani nikikutandika ngumi au kichwa lazima uzime
Na pamoja na kuachana na maisha yale na kuamua kuwa baba mtulivu na kujiajili kuwa muuzaji maarufu wa majeneza lakini mpaka sasa sitakagi kabisa dharau wala matatizo na mtu na huwa mtu akiingia anga zangu sioni kesi kumpasua hata hapa Dom mtaa nilipo hakunaga mtu ananizoea kisenge hata awe nani
Mwaka juzi niliwahi kumpiga kichwa polisi mmoja mbele ya wenzake baada ya kutaka kuniletea uonevu sehemu yangu ya kazi ili wapige hela kwa kesi ya kunibambikia!
Nilimtandika halafu akaita wenzie wakaniweka pingu(kwa hiari yangu na masharti muhimu) ndio wakafanikiwa kunipeleka kituoni japo ile ishu ilibidi nitoe hela kumtibia maana nilimuumiza ila kesi yangu ilikosa ushahidi nikaachiwa mpaka leo walishanifahamu wanajua kabisa huu mtambo.!
Saw nitakuwa nakuita bondia
 
Hiyo staili nimekoswa mara mbili na zote hawajafaulu kama sio mwezi tano ni WA nne kuna mtu akanikanyaga boti langu la jeje halafu ananishika bega ila yupo kwa nyuma yangu kidogo anasema"samahani hiki kiatu chako ...." Sikuwa namuelewa anaongea nini Ila sikumpa uangalifu ningeibiwa maana niligeuza shingo mara moja nikaona kuna mtu alisimama kwa ukaribu sana ananichomoa kitu kwenye koti mfuko wa kushoto
 
Apo muonekano wako umekuangusha hasa kwenye dress code [emoji3]
Vijana wahuni sana wale...ukivaa mashati yako marefu wana wewe.

Kuna jamaa yangu hizo dress code zake lakin haend kkoo bila mimi anajijua
 
Acha upuuzi kijana yaani mtu anakukanyaga bila sababu unamshangaa badala ya kumzibua makofi au ngumi... Na bado unapapaswa hadi cm inaibwa hujitambui... Vijana wa sikuhiz hopeless useless na bado unakuja kutusimulia ujinga wako
Umeandika nini sasa hapa?
Kichwani kwako umebeba makebichi.
Rubish kabisa,
 
Watu wengi mlocomment mmesema jamaa ameibiwa kwa sababu wale wahuni wamemwona ana muonekano wa kuja/ wa kishamba/mpori pori

Je mshamba ana mwonekano gan?? Yukoje yukoje yan mpaka unasema huyu n mshamba!!!
 
Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Badili title iwe ROBO TATU NILIZWE...,Maana kama simu ilikuwa imeshaondoka kwenye himaya yako ukasaidiwa na mtu kuipata tena, hiyo sio NUSU tena!!!!
 
Wamekuokota tu wewe wanaangalia na sura za kuja
 
Watu wengi mlocomment mmesema jamaa ameibiwa kwa sababu wale wahuni wamemwona ana muonekano wa kuja/ wa kishamba/mpori pori

Je mshamba ana mwonekano gan?? Yukoje yukoje yan mpaka unasema huyu n mshamba!!!
Dah ww acha tu wat wajf wajuaji kuliko utumbo
 
Back
Top Bottom