Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Dah! Nusu nilizwe Kariakooo

Ahahahh mbezi hapo napo pakuangalia san duh Pole nakumbuka nilikuwa naenda arusha wazee wakanipakiza garonne ya arusha one imechoka nilikuwa na hasira uku nagombana na dalai kumbe kuna mtu anataka nichomoa hela siwekagi kwenye walet hasira zika hamia kwake sema sina mkono mwepes
Wale wezi wanalindwa na watu
 
Acha kabisa lak nne ningepata wapi sasaiv nipo mkavuu mweupe ningeishi bila simu
Mimi niliibiwa pia hivyo hivyo mpaka leo najilaumu kwa nini sikumshtukia mapema.
Ilikuwa hivi: nilikutana na machinga anauza suruali za kutembeza mkononi. Nikavutiwa na mojawapo nikamsimamisha. Basi wakati nikiiangalia hiyo suruali yeye akachukua nyingine akajaribu kunipima nayo kiunoni, mara akaipandisha na kunipima nayo kifuani. Nikashangaa na kumwambia "unanipimaje kifuani, kwani suruali gani inavaliwa hapo. Basi akaiondoa.

Nilipouliza bei tukashindana, ilikuwa bei kubwa. Basi tukaachana. Nimetembea kama hatua 15 hivi ninataka kupiga simu ndipo nikagundua sina simu na nilikuwa nayo kwenye mfuko wa shati. Ndipo nilipotambua sababu ya kupimwa suruali kifuani, alichomoa simu wakati ule.

Nageuka kumrudia jamaa kashatimka, sikumpata yeye wala simu yangu!!
 
Mimi niliibiwa pia hivyo hivyo mpaka leo najilaumu kwa nini sikumshtukia mapema.
Ilikuwa hivi: nilikutana na machinga anauza suruali za kutembeza mkononi. Nikavutiwa na mojawapo nikamsimamisha. Basi wakati nikiiangalia hiyo suruali yeye akachukua nyingine akajaribu kunipima nayo kiunoni, mara akaipandisha na kunipima nayo kifuani. Nikashangaa na kumwambia "unanipimaje kifuani, kwani suruali gani inavaliwa hapo. Basi akaiondoa.

Nilipouliza bei tukashindana, ilikuwa bei kubwa. Basi tukaachana. Nimetembea kama hatua 15 hivi ninataka kupiga simu ndipo nikagundua sina simu na nilikuwa nayo kwenye mfuko wa shati. Ndipo nilipotambua sababu ya kupimwa suruali kifuani, alichomoa simu wakati ule.

Nageuka kumrudia jamaa kashatimka, sikumpata yeye wala simu yangu!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]suruali kifuaniii...!
 
Mimi niliibiwa pia hivyo hivyo mpaka leo najilaumu kwa nini sikumshtukia mapema.
Ilikuwa hivi: nilikutana na machinga anauza suruali za kutembeza mkononi. Nikavutiwa na mojawapo nikamsimamisha. Basi wakati nikiiangalia hiyo suruali yeye akachukua nyingine akajaribu kunipima nayo kiunoni, mara akaipandisha na kunipima nayo kifuani. Nikashangaa na kumwambia "unanipimaje kifuani, kwani suruali gani inavaliwa hapo. Basi akaiondoa.

Nilipouliza bei tukashindana, ilikuwa bei kubwa. Basi tukaachana. Nimetembea kama hatua 15 hivi ninataka kupiga simu ndipo nikagundua sina simu na nilikuwa nayo kwenye mfuko wa shati. Ndipo nilipotambua sababu ya kupimwa suruali kifuani, alichomoa simu wakati ule.

Nageuka kumrudia jamaa kashatimka, sikumpata yeye wala simu yangu!!
Nimechekaa sana mzee dah Pole et kupima kifuan
 
Hellow

Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe

Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepa bila kujua dah

Mchezo ulikuwa hivi, kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui

Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya.

Simu yangu bado mpya hata mwezi haijaisha
Siendagi Kariakoo
 
Bora mzee wak anazo angekuwa mwingine ungekuws unakatwa tu
Unahisi anazo basi..ni vile tu mzazi inabidi asimame strong kwajili yako ili asikudisappoint,, si unajua baba hawezi kuonyesha udhaifu mbele ya mtoto wake😌
 
Back
Top Bottom