Dah, Wanawake wanateseka sana duniani

Dah, Wanawake wanateseka sana duniani

Wao huwa wanaona ujanja kula kula na kunywa vya watu ndo waliwe, asipokula vyako na ukamla anaona kama umemdharau... ajabu ni kwamba hao hao wakiombwa waliwe ili wapewe ajira ndo wanakumbuka ni dhambi.

Binafsi siwezi kumheshimu au kumdharau mtu kisa ni mwanamke, heshima yangu anatakiwa kui earn, otherwise naenda nao wanavoenda na mimi.
 
Kila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.

Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa
Ulichosahau ni ile tabia yao ya kushinikiza kutuma na ya kutolea.
 
Kila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.

Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa kazi mchana kutwa na usiku kucha, kuitwa malaya, wezi, mashetani na kila sifa mbaya.

Oh Mola wangu wahurimie viumbe wako wanawake
Acha kutafta demu wewe hizo ni mbinu zako za kutafta wanawake humu tushasanuka, wanawake msidanganyike
 
N
Kila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.

Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa kazi mchana kutwa na usiku kucha, kuitwa malaya, wezi, mashetani na kila sifa mbaya.

Oh Mola wangu wahurimie viumbe wako wanawake
Ndio mana pesa zao Huwa hawatoi
 
Kila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.

Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa kazi mchana kutwa na usiku kucha, kuitwa malaya, wezi, mashetani na kila sifa mbaya.

Oh Mola wangu wahurimie viumbe wako wanawake
ila wa sikuizi ni katili na wana nyodo mbaya sana,

we cheki kwenye mikoba yao wamebeba P2 ambavyo kwao ni kama vichonjio vya vizaigoti, hataki mimba kabisa,

halafu wengine anazaa mtoto halafu anatupa kichanga kilicho hai chooni kwenye shimo la taka au porini,

Just imagine the level of ukatili kwenye hilo?

hivi wameua viongozi wa ngapi wa nchi hii kwa kutoa mimba?🐒
 
Kila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.

Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa kazi mchana kutwa na usiku kucha, kuitwa malaya, wezi, mashetani na kila sifa mbaya.

Oh Mola wangu wahurimie viumbe wako wanawake
Dunia inawqdanganya....

Ndio maana wanawake wanawapiga vibomu hadi mnabaki mmevaa suruali zimepauka au vilaka. Mnadhani wanawake ni watu wa kuhurumiwa na wao wanachukulia hii advantage.
 
Back
Top Bottom