Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Hapa ndipo nilipokuwa napataka..yaani NINA HASIRA MPAKA NASIKIA KUTETEMEKA! Tutakutana October 31, 2010!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuchika tena?achukue action kwa nani. umewahi kuona kesi ya nyani inapelekwa kwa tumbuli?
Mbona mkono wa kulia wa mkulu siuoni? Uko wapi?hasira hadi vidole vinashindwa kuandika, Rev yuko wapi atoe maombi?
Mbona mkono wa kulia wa mkulu siuoni? Uko wapi?
ccm ushindi kwetu ni lazima!! ccm oleeeeeeeee!!
Katika editorial yao wameandika hivi (miongoni mwa mengine):
Yaani Dailynews wanahakika (au wanahakikisha) kuwa Dr Slaa hawezi kuwa raisi wa Tanzania.
Wao ni nani kujua na kutangaza hili? Wameambiwa nini na serikali ambacho wananchi wengine hawajui?
Je tume ya uchaguzi inafanya nini kuhusu hili? BTW- Dailynews ni gazeti la serikali ya watanzania wote.
Dailynews linaendeshwa kwa pesa za kodi ya watanzania wote na sio ccm pekee.
Kama DTV walifungiwa kwa kutangaza matokeo ya Zanzibar mwaka 1995 kabla ya NEC,
Mbona Dailynews wamefanya hivyo hata kabla kula zenyewe hazijapigwa? na ni kwa mamlaka yapi?
Serikali inabidi ichukue hatua mara moja kuhusu hili, na vyombo vingine huru vya habari nchini inabidi vikamate bango ili Dailynews wapate staili yao kwa hili.
Takwimu msee!! Usishangae hayo yapöo dunia nzima, unachek Baromita yako inakueleza na wala si uchawi.