tunao akina mkumbwa ally-mhariri aliapa kwamba hata kama dr slaa chaguo la wengi kwa kura za maoni akishindi hawezi kutanganzwa mshindi matokeo yatabadilishwa, piga ua garagaza hawezi kuwa Rais wa tano wa Tanzania,
Jamani gazeti hili linasomwa dunia nzima online, na Tanzania nzima kwa hard copy huyu mtimbwa ally na bodi yake wanayo siri nzito tunayotaka kuijua aiseme, tunayo haki kujua ni vema kumwamuru afafanue na achungunzwe na tume huru anamanisha nini, huyu ni mhariri wa gazeti la serikali kwahiyo anafahamu mambo mazito mengi, tunasikitika sana sana sana kwa serikali kupoteza muda wetu na bugudha za kampeni wakati teyari dealynews wanajua nani atakuwa rais wa tano, hii ni bahati kujua haya mapema huu ni mpango wa mungu kwa kutoa siri hii nzito, mkumbwa anajua kilichofanyika ndio maana amesema slaa piga ua hawezi kuwa Rais, amesema zaidi kwamba slaa akashugulikie familiy issue zake, na kushangaza umma wa watanzania kuna uhusiano gani?
Je amechambua familiy issue za wagombea wengine HUYU MHARIRI ANASTAHILI KUPELEKWA MAHAKAMANI NA TUME YA UCHAGUZI KAMA KWELI NI TUME HURU,HUYU MHARIRI ANACHOCHEA VITA, KWANI YEYE NI TUME YA UCHAGUZI KUTANGAZA KWAMBA DR SLAA HAWEZI KUWA MSHINDI?, KAMA ANATAKA KUFANYA KAMPENI SI AKAANDIKE GAZETI LA UHURU CHOCHOTE ANACHOTAKA???
TUNAOMBA ASIBEZWE HUYU MHARIRI NA BODI YAKE WATUAMBIE WANAJUA SIRI YA USHINDI AU WANAJUA MPANGO MKUBWA WA WIZI WA KURA ULIOPANGWA NA CCM NDIO MAANA ANASEMA HIVYO, AMA AMESHRIKISHWA KUANDAA MKAKATI WA MWINGINE WA KUHAKIKISHA DR SLAA HATANGAZWI MSHINDI HATA KAMA AKISHINDA, TUNATAKA HUYU MHARIRI NA BODI YAKE ATUAMBIE AMEOTOA WAPI UJASIRI KUSEMA SLAA HASHINDI NA KWAMBA AKASHUGUKIKIE FAMILIA YAKE, JE YEYE NI NANI KUMWAMURU DR SLAA, HIVI TUKITAKA KUONGELEA FAMILY ISSUE JE AMEWACHAMBUA WAGOMBEA WAGOMBEA WOTE KWA MASUALA YA FAMILIA KAMA GAZETI LA SERIKALI?
KODI ZA WATANZANIA MILIONI 42 ZINATUMIKA KULIENDESHA GAZETI, CCM WAPO MILIONI TANO TU, JE ANATAKA KUTUAMBIA KAMPENI ZOTE ZINAZOENDELEA NI KIINI MACHO? INA MAANA MHARIRI ANATAKA KUTUAMBIA ANAMJUA RAIS KAMA MSEMAJI WA TUME??? HUYU MHARIRI ASHAURIWE AKAFUNGUE GAZETI LAKE, NI LAZIMA TUME KAMA TUME ICHUKUE HATUA KALI ZA KISHERIA VINGINEVYO TUTAJUA TUME HII NI SAWA NA HUYU MHARIRI LABDA TUME INAUJUA MPANGO WA MHARIRI, MASWALI NI MENGI AU WAMETUDANGANYA KUHUSU KARATASI ZA KUPIGIA KURA? AMA WAMENDAA WIZI WA KURA?
AMA HUYU MHARIRI AMEPEWA RUSHWA NA CCM? JAMANAI MASWALI NI MENGI SAANA.
Watu kama mkumbwa wapo wengi wamewekwa kwenye vyombo vya umma kukandamiza haki za waliowengi na kutumia nafasi hizo kwa maslahi binafsi hii ni hatari na tutanyanyaswa mpaka tukome, leo hii mfumuko wa bei upo juu hakuna anaechukua hatua, leo hii matrition ya pesa yanapotea kwa misamaha ya kodi hakuna anayechukua hatua, leo hii tunasikia mafisadi wakitajwa hakuna anaechukua hatua leo hii huduma za jamii ni hafifu hatua zinazochukuliwa sio za karne ya 21, makatibu wakuu wa wizara wapo, wakurugenzi wapo, na watawala wengi wapo wanajua wanachotakiwa kufanya ni wataalaam lakini shida ni kwamba wanaweza kuwa upande wa mkumbwa ally tutendelea kuwa maskini, tunataka sheria kali ichukuliwe kwa mkumbwa ally na achungunzwe na tume huru ikiongonzwa na jaji kisanga aseme siri nzito aliyonayo.
nina hasira saaana na mkumbwa ally sina hasira na daily news.