Daimond amzawadia gari bebi wake mpya...

Daimond amzawadia gari bebi wake mpya...

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Huyu kaka hapana aiseehh!!naona kwa sasa anajaribu kumpaisha Irene aka officiallyn ili aje kulingana na wanawake waliopita kwake na mama watoto zake...

Siku za hivi karibuni amekua na mahusiano na Irene mtoto wa buguruni...na Mara kwa Mara wanakua pamoja km bebi wake mpyaa!!!
Jana ulikua bday yake bidada naona kapewa zawadi ya Volkswagen 2017 na mpenzi wake mpya yasemekana ni diamond platnumz...!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Bidada mwenyewe anaongea kwa kujiamini akiulizwa kuhusu daimond[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!

Yaani wanawake sie kwenye pesa jamani sijui tunakuwaje maana nakumbuka hao wote walipoita kwa dai yaliwakuta lakini waling'ang'ana mwisho wakasanda Leo haka kajukuu nako kanaingia kwa kujiamini masikini wee...!!

Yaani na alivyo na mama mnafiki sasa hivi mahaba km yote kwa officiallyn..mpk bday kamuwish...

Tabu wanapata mashabiki wa mahawara wa daimond sasa wenye timu zao maana sasa hivi watajikuta wanatukana kila mdada...ila wangejua siku moja wangekataa utumwa wakarudisha kibao kwa mondi waungane wamtukane wote...ila kwa kua wanawake tuna asili ya kuchukiana sisi kwa sisi tabu atapata Irene sasa mpk ajuteee...

Na yeye atakuua maarufu sasa hivi!!!

Mjini sihami ng'ooo...sikuja kwa mbio za mwenge...umbea siachi maana nimeanza kufatilia toka gazeti la Kiu wanashirikiana Shigongo na tamba mpk Kiu ikazaa ijumaa,uwazi na mengine!!
Nimetoka nao mbali...mtanisamehe jamani[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Uzi huu bila picha ni sawa na kusoma hadithi za shigongo .
Huyu kaka hapana aiseehh!!naona kwa sasa anajaribu kumpaisha Irene aka officiallyn ili aje kulingana na wanawake waliopita kwake na mama watoto zake...

Siku za hivi karibuni amekua na mahusiano na Irene mtoto wa buguruni...na Mara kwa Mara wanakua pamoja km bebi wake mpyaa!!!
Jana ulikua bday yake bidada naona kapewa zawadi ya Volkswagen 2017 na mpenzi wake mpya yasemekana ni diamond platnumz...!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Bidada mwenyewe anaongea kwa kujiamini akiulizwa kuhusu daimond[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!

Yaani wanawake sie kwenye pesa jamani sijui tunakuwaje maana nakumbuka hao wote walipoita kwa dai yaliwakuta lakini waling'ang'ana mwisho wakasanda Leo haka kajukuu nako kanaingia kwa kujiamini masikini wee...!!

Yaani na alivyo na mama mnafiki sasa hivi mahaba km yote kwa officiallyn..mpk bday kamuwish...

Tabu wanapata mashabiki wa mahawara wa daimond sasa wenye timu zao maana sasa hivi watajikuta wanatukana kila mdada...ila wangejua siku moja wangekataa utumwa wakarudisha kibao kwa mondi waungane wamtukane wote...ila kwa kua wanawake tuna asili ya kuchukiana sisi kwa sisi tabu atapata Irene sasa mpk ajuteee...

Na yeye atakuua maarufu sasa hivi!!!

Mjini sihami ng'ooo...sikuja kwa mbio za mwenge...umbea siachi maana nimeanza kufatilia toka gazeti la Kiu wanashirikiana Shigongo na tamba mpk Kiu ikazaa ijumaa,uwazi na mengine!!
Nimetoka nao mbali...mtanisamehe jamani[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Huyu kaka hapana aiseehh!!naona kwa sasa anajaribu kumpaisha Irene aka officiallyn ili aje kulingana na wanawake waliopita kwake na mama watoto zake...

Siku za hivi karibuni amekua na mahusiano na Irene mtoto wa buguruni...na Mara kwa Mara wanakua pamoja km bebi wake mpyaa!!!
Jana ulikua bday yake bidada naona kapewa zawadi ya Volkswagen 2017 na mpenzi wake mpya yasemekana ni diamond platnumz...!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Bidada mwenyewe anaongea kwa kujiamini akiulizwa kuhusu daimond[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!

Yaani wanawake sie kwenye pesa jamani sijui tunakuwaje maana nakumbuka hao wote walipoita kwa dai yaliwakuta lakini waling'ang'ana mwisho wakasanda Leo haka kajukuu nako kanaingia kwa kujiamini masikini wee...!!

Yaani na alivyo na mama mnafiki sasa hivi mahaba km yote kwa officiallyn..mpk bday kamuwish...

Tabu wanapata mashabiki wa mahawara wa daimond sasa wenye timu zao maana sasa hivi watajikuta wanatukana kila mdada...ila wangejua siku moja wangekataa utumwa wakarudisha kibao kwa mondi waungane wamtukane wote...ila kwa kua wanawake tuna asili ya kuchukiana sisi kwa sisi tabu atapata Irene sasa mpk ajuteee...

Na yeye atakuua maarufu sasa hivi!!!

Mjini sihami ng'ooo...sikuja kwa mbio za mwenge...umbea siachi maana nimeanza kufatilia toka gazeti la Kiu wanashirikiana Shigongo na tamba mpk Kiu ikazaa ijumaa,uwazi na mengine!!
Nimetoka nao mbali...mtanisamehe jamani[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sasa gari ahongwe mwingine kuumia uumie wewe si uzwazwa huu


Embu pambana na hali yako.
 
Halafu hilo suala la Irene halina ukweli wowote kama vitu hamjui muwe mnauliza kwanza kuliko kusambaza taarifa za uongo.
 
Samahan jamani mwenye pic ya Irene aitume hapa maana mleta mada nae hayupo serious!

IMG_9176.JPG
IMG_9177.JPG
IMG_9179.JPG
IMG_9178.JPG
 
Back
Top Bottom