Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Haya twende haraka[emoji3][emoji3] crazy nipo zangu kule kwangu wacha nikuache huku...au nishike mkono twende wote usije ukapigwa humu maana nitauua mutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya twende haraka[emoji3][emoji3] crazy nipo zangu kule kwangu wacha nikuache huku...au nishike mkono twende wote usije ukapigwa humu maana nitauua mutu
[emoji127]Haya twende haraka
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu endelea kutuhabarisha story nzury sana hii najua haujacopy popote ni unafiki tu wa watu
Jamaa punguani sana, tena naomba kama ikiwezekana MODS wampige ban ya maisha. Inasikitisha sana mtu amejipinda kuandika afu anatokea wahedi mmoja anakopi jinsi lilivyo na kujifanya lake!Kucopy amefanya kosa kisheria, kama ingekuwa nchi za wenzetu jamaa angeweza hata kushtakiwa. Hakufanya poa.
Namimi nilikuwa nataka nimjibu kuwa anakera kuquote uzi mrefu badala ya kureply tuMkuu, jifunze matumizi sahihi ya JF, ku-quote uzi mrefu in kero kwa watumiaji was simu.
Mdau naomba link nimsome the bold moja kwa moja au niunganisheMkuu, pamoja na Hongera na Pongezi nyingi ulizopewa humu Jukwaani, inasikitisha kuwa unatumia kazi ya Mtu mwingine kimakosa.
Hii ni Makala ya The bold kwenye group lake la "Simulizi za The Bold". Makala hii bado inaendelea na leo mchana kaendeleza kidogo lakini wewe umetumia mwanya huo kuichukua huko na kuileta humu.
Plagiarism is an offence. Sema tu huku Bongo tunamalizana kishkaji lakini kwa hii makala ingelibidi ukamatwe na kuwekwa ndani... Acha hizo Mkuu.
Naomba uni tag huko mkuu nisome vzrAliyepost huu uzi hajafanya uungwana kuweka andishi langu humu bila kuniomba...
Nimeweka uzi kamili huu hapa chini
Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy
USIWE UNA QUOTE UZI MZIMAUngemalizia tu au mb mzozo shauku yangu kubwa ni kujua sababu za kuuwawa na nani waliratibu zoezi zima la hayo mauwaji
USIWE UNA QUOTE UZI MZIMAUngemalizia tu au mb mzozo shauku yangu kubwa ni kujua sababu za kuuwawa na nani waliratibu zoezi zima la hayo mauwaji
Anarudi next episode ipi wakati anasubir the bold aandike acopy na kupost alete hum..pmbavu kabisaaInawezekana akili zafanana mbona mnashambulia mtoa mada, kaeni mkao wa kula anarudi next episode soon🙂🙂
Hana uwezo wa kuiendeleza coz amekopi pahala. Kuendelea kwake inategemea kama mwandishi orijino ataiendeleza ili huyu nae akopi alete hapa.Iendelee basi jamani