Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

[emoji3][emoji3] crazy nipo zangu kule kwangu wacha nikuache huku...au nishike mkono twende wote usije ukapigwa humu maana nitauua mutu
Haya twende haraka
 
Bro hili bandiko mbona kama umelikopi na kulipest? Unakopije kazi ya mtu tena wa humu humu na kuja kulifanya lako? Huu si wizi?

Kwa taarifa yako hili ni chapisho la The Bold, wewe umefanya kuiba

Shwain wahed
 
Kucopy amefanya kosa kisheria, kama ingekuwa nchi za wenzetu jamaa angeweza hata kushtakiwa. Hakufanya poa.
Jamaa punguani sana, tena naomba kama ikiwezekana MODS wampige ban ya maisha. Inasikitisha sana mtu amejipinda kuandika afu anatokea wahedi mmoja anakopi jinsi lilivyo na kujifanya lake!

Nimemmind sana huyu shetani

Amekopi kama lilivyo kutoka kwa kamanda wetu The Bold.
 
Mkuu, pamoja na Hongera na Pongezi nyingi ulizopewa humu Jukwaani, inasikitisha kuwa unatumia kazi ya Mtu mwingine kimakosa.

Hii ni Makala ya The bold kwenye group lake la "Simulizi za The Bold". Makala hii bado inaendelea na leo mchana kaendeleza kidogo lakini wewe umetumia mwanya huo kuichukua huko na kuileta humu.

Plagiarism is an offence. Sema tu huku Bongo tunamalizana kishkaji lakini kwa hii makala ingelibidi ukamatwe na kuwekwa ndani... Acha hizo Mkuu.
Mdau naomba link nimsome the bold moja kwa moja au niunganishe
 
Back
Top Bottom