Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Tunatofautiana sana kwenye kutafsir maana ya kupangua au hayo maneno ya kilatin ndio yamekufanya umuone ni Mwana sheria mzuri?
 
Huyo ni msaliti wa Demokrasia huwezi kusimama mahamakani na kutetea wizi wa kura.
Lumumba niliyemuona akitoa mada mlimani kuhusu ufisadi na demokrasia sikutegemea anaweza kukubali matakwa ya wananchi yakikataliwa kwa wizi wa kura. Najua Bavicha sasa ni kitu kimoja na Jubilee kwahiyo mta mtetea sana. Nyumbani kwake amewekwa ulinzi na serikali kwa kuogopa kuvamiwa na wafuasi wa NASA.
 
Wewe kilicho kufurahisha hapo ni hiyo lugha tu..

But content wise, hakuna chochote alichoongea Lumumba..

Na kwa siku hiyo aligeuka tu kama comedian kuwachekesha majaji na wanasheria kwenye ukumbi wa mahakama..

Kwa taarifa tu PLO Lumumba wala hayupo katika top 5 Competent Advocates wa Kenya..

No 1. Ni George Oraro (alimtetea Raila uchaguzi uliopita 2013)

2. Fredrick Ngatia (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa)

3.Prof. Githu Muigai (AG wa sasa wa Kenya)

4.Ahmednasir Abdulahi (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa)

5. James Orengo (anamtetea Raila kesi ya sasa)
 

Ni kweli wengi tunamkubali sana huyu bwana lakini sio kweli kwamba mchango wake uliimaliza NASA! Tena ameonyesha unafiki mkubwa wa kutumia mbwembwe nyingi kutaka kutetea "status quo" badala ya kujenga hoja za kisheria! Vuta subira, kesho ndio utajua aliimaliza kweli NASA au alibwabwaja tu!
 
Mbona hakusema ya maana sana ila maneno magumu ya kiingereza!
Hakuna neno gumu hapo la Kiengereza hata moja. Labda una refer legal terms na posh accent. Ni sawa na mtoto anayeongea kiengereza akiingia kwenye class ya Form Six ya chemistry au Biology huko Chato, basi akitoka atasema wanaongea kiengereza kigumu kw8eli hawa! Unless majina magumu ya Kikenya nayo ni Kiengereza.
 

Linganisha mbwembwe za PLO na hoja za huyu Paul Mwangi! Wengi wameanza kumwona PLO ni "enemy of democracy"!

 
Abdullahinasiri Abdullah huyu jamaa wa Kenyatta, namkubali kinoma noma
 
PLO abaki kwenye consultation tu, lakini pia ni hafadhali PLO kuliko yule wa makinikia Prof Kabudi. Kabudi is useless kabisa.
 


4.Ahmednasir Abdulahi (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa) "The Grand Mullah" huyu jamaa anatumia mbinu zote kushinda kesi zake nje na ndani. Msomali mjanja sana huyo
 
Kiukweli mtu ambae anaongea na Watu lugha wasioielewa namuona kama punguan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…