Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA Na imani ya kwamba wameibiwa kura,

Amefanya hivyo mahakamani ambako kilikuwa Na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,

Swali langu hivi kweli umehili au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa Wakenya?

Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila Jambo limechanganywa Na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna,

Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe Na kamusi pembeni maana English ya plo Lumumba haijawahi acha vichwa salama,

Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali magufuli


Kweli elim ya Tanzania nadhani bado sana kujilinganisha na mataifa mengine. Jamaa anaongea anajiamini.. Mpaka rahaa japo sijaelewa yote english alotumia wengine mtusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA Na imani ya kwamba wameibiwa kura,

Amefanya hivyo mahakamani ambako kilikuwa Na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,

Swali langu hivi kweli umehili au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa Wakenya?

Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila Jambo limechanganywa Na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna,

Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe Na kamusi pembeni maana English ya plo Lumumba haijawahi acha vichwa salama,

Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali magufuli


e1d97292e1494314776a6fe411ee936b.jpg

[emoji3] Siasa kazi sana kuzielewa.

-Silasc-
 
Hakuna maneno ya maana aliyosema zaidi ya kuichezea chezea lugha ya malkia na vijimaneno vya kitaliano,.
Uwezi mlinganisha na senior counsel james orengo.
Jamaniii !! Maneno magumu kweni anatoa lecture au anapangua hoja za mashtaka !! Na kama hoja za mashtaki hazina maana hio hoja ya maana na ngumu ya utetezi itatolewa wapi !!?? Aisee mbona amnajitoa ufahamu hivi maccm!!?? Etii unataka uone panya unauliwa kwa kupigwa bomu !!!!????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Imeimaliza vipi NASA!

Tuwe makini kidogo.
NASA wameruhusiwa na mahakama kuchunguza "database" iliyotumiwa na tume ya uchaguzi.

Lumumba kamaliza nini hapa!


Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA Na imani ya kwamba wameibiwa kura,

Amefanya hivyo mahakamani ambako kilikuwa Na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,

Swali langu hivi kweli umehili au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa Wakenya?

Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila Jambo limechanganywa Na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna,

Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe Na kamusi pembeni maana English ya plo Lumumba haijawahi acha vichwa salama,

Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali magufuli

 
Mbona hakusema ya maana sana ila maneno magumu ya kiingereza!
wenyewe hao watu wanaitwa maprofesa wa sheria, huwa wanajua tu theories na kufanya research ya mambo ya kufundisha wanafunzi, ila practice ya sheria na presentation ya argument za kisheria mahakamani huwa ni sifuri kabisa. hata hapa bongo, simjui ni profesa gani hata mmoja tu mzuri kwenye practice ya sheria. hakuna hata mmoja pamoja na kwamba ndio waliotufundisha.
 
Hakuna kitu. James Orengo na jamaa mmoja mwingine wanawachambua kama karanga advocates wa IEBC. Muda si mrefu wataomba pooo na wakubali blunder japo watamalizia kwa kauli kama "yes kulikuwa na issues ila sio significant kubadirisha ushindi wa UHURUTO"
 
PLO abaki kwenye consultation tu, lakini pia ni hafadhali PLO kuliko yule wa makinikia Prof Kabudi. Kabudi is useless kabisa.
Uwezo wa kabudi hatujaupima sana publicly. Labda alikufundisha.lakini kwa kiasi kidogo nilichomshuhudia bungeni ni mzuri kisheria yaani amesoma na anaijua sheria. Uamuzi wa kusema asimame upande gani kuutetea huo ni wake yeye.
 
Jamaa kiukweli ana confidence ya kiwango cha juu sana. Kulinganisha na wengi hapo kortini.
Yy anawaikilisha tume ya uchaguzi ?
Nilichoelewa mm ni ana criticize msimamo wa mlengo wa pili... Upizani Nasa.mahakama ya juu iliamuru Nasa wachungeze saver data ilivyo kusanya taarifa za uchaguzi na kutoa matokeo.. Maana yake upinzani uliona uchaguzi haukuwa huru na haki... Lkn jamaa kachomoa kwa point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom