sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 139
Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA Na imani ya kwamba wameibiwa kura,
Amefanya hivyo mahakamani ambako kilikuwa Na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,
Swali langu hivi kweli umehili au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa Wakenya?
Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila Jambo limechanganywa Na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna,
Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe Na kamusi pembeni maana English ya plo Lumumba haijawahi acha vichwa salama,
Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali magufuli
Kweli elim ya Tanzania nadhani bado sana kujilinganisha na mataifa mengine. Jamaa anaongea anajiamini.. Mpaka rahaa japo sijaelewa yote english alotumia wengine mtusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app