Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee.....

Kabla ya kuendelea naomba niandike mambo machache.

Watu wameniandama sana wengi wao wanadai hii ni chai na wamejikita kwenye maeneo yafuatayo.

1. Bikra kumpiga bao tatu
.....sio Mercy tu nishatoa bikra tatu kabla ya Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu. Wengi wanaoniandama hawajui mapenzi wanadhani kumfuck dem ni vita kwamba lazima apate maumivu. Kuna soft sex kwa wanaonielewa wanajua kwamba bikra inawezekana kumpiga hata bao kumi.

2. Kutongozwa na wanafunzi wenzangu
.....kutongozwa na wanawake sikuanzia chuo tu.
Nilipomaliza form 4 nilitongozwa na mwanamke ambaye hakuwa na Rika la kuitwa sugarmama lakini alikuwa kanizid umri na alikuwa ameolewa na boss mmoja alikuwa anamiliki kampuni ya Costa na hiace route ya Kaliua - Tabora. Tulidum kwa miezi kadhaa nilipoenda advance habari ikaisha.

Hawa mashoga ndo washanitongoza mpka wengine nishawalia nauli zao nyingi.
Na kuna shoga mwingine alinitongoza ni rafiki wa mtangazaji wa radio station moja kubwa sana hapa nchini aliwahi kuhama hiyo station lakini akarud tena. Kama unauwezo wa kufatilia unaweza kumjua.

Nishatongozwa na wadada mtu na mdogo wake na wote niliwala pasipo kujuana, wote walikuwa wananizid umri walikuwa ni wahaya wa muleba walikuja mkoani kwetu kwa baba yao.

Kipindi nipo advance kuna madam alikuwa anafundisha geography alinitongoza lakini sikufanikiwa kumla.

Kwahiyo kwa anayeona kwamba najisifia kuhusu kutongozwa na wanawake huyo anahisi kutongozwa na mschana ni big deal sana kwake asijue kwamba kwa wengine ni kitu cha kawaida sana.

3. Kuhusu madem kupenda baiki yangu
.....madem wanapenda vitu vya kijinga na baiki yangu haikuwa ya kishamba.
Baiki yangu ilikuwa luxury na Mercy mwanzo alikataa lakini baadae alikuja kuipenda na kuitegemea na alisahau daladala chuo-geto.

THEN SINA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KUWADANGANYA KWA KUTUNGA STOR NINGEKUWA NAHITAJI FAIDA BASI NINGEMTAGUTA SHIGONGO TUKAFANYA KAZI YENYE FAIDA. KAMA UNAHISI NI CHAI BASI USIIFATILIE KAA PEMBENI. NIMEAMUA KUSHEA NA NINYI WANAJF WENZANGU KAMA SEHEM YA MAPITO KATIKA MAISHA YANGU.


NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWANZA, UZI UTAENDELEA MDA SI MREFU.
Unatongozwa hadi na mashoga utaliwa kuwa Makin
 
Tunajua mwisho wa siku ulimpa mimba, katika kujifungua akapoteza maisha....

Sisi tunachotaka kujua, ni kwa namna gani huyo daktari alihusika ktk kusababisha kifo cha mchuchu wako?

Hayo maelezo ya namna mlivyopeana mimba, sijui ukamuweka popo kanyea mbingu, sijui ukamzamia chumvini mpaka aka squirt sisi hayatusaidiii..
Pinguza hasira mkuu [emoji23]
 
Tuendeleee...............

Mercy fek aliponiambia kwamba mambo yameenda sawa nikafurahi nikajua kwa kiasi flan mbinu yangu imetiki.

Sasa nikaja kumbuka Ile pesa bado ipokatika laini ya Mercy na nilimuliza kama bado ipo akasema hajaigusa. Nikamsisitiza asiiguse mpaka tupate cha kufanya.
Nakaona tukiirudisha Dokta atastuka maana mpka mda ule tayar Mercy fek alikuwa ashamkubalia Dokta na wanaendelea vzr.

Kama siku mbili zilizopita Mercy alipoteza calculator yake zile scientific kwahiyo ikawa inahitajika mpya.
Nilimpigia Mercy nikamwambia akalitoe ile pesa then tutajua nini cha kufanya.
Mercy hakuwa na hiana akiitoa akaja kunikabidhi yote, ilitumwa kama 110k kwahiyo alitoa kama 100k kamili vichenchi vilibak katika cm.
Nilichukuwa tsh 45k nikanunua calculator, na ilobaki nikaenda magetoni kwake nikaiweka mezani then nikakausha. Sikutaka kuitumia ile pesa kwa matumizi yangu binafsi na Ile calculator nilitumia pesa ya Dokta lakini nikamwambia Mercy kwamba baada ya wiki ile kuisha nitampa pesa ya calculator yani isionekane kama nimetumia pesa ya Dokta kumnunulia calculator.
Kwa muda ule UE ilikuwa inakaribia kwahiyo sikuwa na jinsi niliamua kuimega ile pesa ya Dokta nikanunua calculator ya Mercy lakini nikamuahid kuirudisha Ile pesa ili ikamilike 100k.

Mercy hakupenda kile kitu na akanambia kwamba nampa pesa ya Dokta it means namuona kama vile mdangaji yani anaishi kwa kutegemea masponsor ila nilijitahidi kumcalm akaelewa.
Weekend ya wiki ile nikiwa nimeenda kwa Mercy nikaona Mercy katoa bag yake ndogo ya mgongoni, akaifungua akatoa kimfuko cha magufuli na bahasha ndogo mbili za kaki.

Ule mfuko ulikuwa na t-shirts mbili zile plain zilikuwa za rangi nyeupe zote.
Katika bahasha ya kwanza kulikuwa na marashi yanaitwa mausufi nadhani wengi mnaijua hii ni popular.
Na bahasha ya pili kulikuwa na saa ya mkononi.
Nikapiga hesabu ile pesa ya Dokta isingeweza kununua vitu vyote vile nikajua kabisa kachuka pesa ya Dokta kaongezea na yake.
Nikamuliza ile pesa ya Dokta ipo wapi? Akanijibu short "uliiweka mezani nenda kaichek mezani" nikaamua kuvunga tu lakini nikajua kabisa pesa sitaikuta.

Nikamshukuru kiaina then nikafutikia kwangu. Mercy akanambia j3 nivae Ile t-shirt aloninunulia anataka tuvae sare nikasema poa.
Ilipofika j3 ya week ya maandalizi ya UE nikatinga uzi wangu, baiki yangu nikampitia Mercy tukasepa chuo.

Nikawa close sana na yule Mercy fek kujua anendeleaj na Dokta na akawa ananambia kwamba Dokta Hana mbio kwake yani katulia nisiwaze.

Sasa ile mission ilinifanya niwe karibu sana na Mercy fek kiasi kwamba akawa anapiga cm nyingi kama mvua bila kujali time.
Siku moja tupo na Mercy kwake, Mercy feki kapiga cm akapokea Mercy og, Mercy aliposikia saut yakike akamuliza wewe nani unatafuta ma bwana za watu usiku huu. Nikainyakua ile cm nikamwambia Mercy aache kuwaka bila kujua anamuwakia nani, Mercy hakuelewa akanambia nimpige tena la sivyo nitoke kwake. Basi nikampigia lakini hakupokea, piga na kupiga Mercy fek hakupokea cm yangu.
Nikachukua cm ya Mercy nikapiga akapokea alivosikia ni sisi basi akakata cm.
Hiki kitendo kikazid kumchanganya Mercy wangu.
Nilijitahidi kumpoza lakini hakuelewa na akanambia nikumbuke kwamba tunaelekea UE tuliahidiana kutokuchanganyana ili tufanye vzr kama kawaida yetu.
Nilimhakikisha Mercy kwamba yule hakuwa mpenzi wangu bali ni ndugu yangu nkamwambia ni binamu yangu.
Mercy hakuelewa akalala kitandani nikamfata kumchokoza nipige show nilisukumwa nusu nianguke chin. Ile kitu ilinishangaza na nikagundua kweli Mercy alikuwa amekasirika to the fullest.

Mercy alikuwa anakwazika na vitu vidogo lakini hakuwa na short temper.
Ile kitu ilimkata sana na alilala pale na mimi nililala naye sikutaka kumuacha vile lakini moka asubuhi sikupata mbususu yani ilikuwa ni full kununiwa mpaka asubuhi.

Kesho yake tuliamka tukajiaandaa kwenda chuo kujisomea.
Mercy alikuwa bado hayupo sawa, kwahiyo ilikuwa ni stor za mbali mbali hivo hvo. Basi Ile siku iliisha kibabe na tulikuwa tunasoma lakini Mercy hakuwa sawa kama siku zote anavokuaga. Hii kitu ilikuwa inanipa matumaini kwamba Mercy alikuwa ananipenda kwasbb kama angekuwa hanipendi asingejali wala kukasirishwa na vitu kama vile.

Tulitoka chuo mida ya mchana tukarud kupika tukala then nikamuaga Mercy narud geto kuchukuwa materials ya kujisomea jioni.
Nilipata wasaa wa kumchek Mercy fek lakini bado alikuwa hapokei cm.
Geto kwake nilikuwa napajua nikamuibukia kweli nikamkuta ndani kwake kajilaza kitandani. Huwa tuna utani mwingi aliponiona tu akanambia "hicho ki dem chako kichukulia kwamba sisi hatuna utam kama alonao yeye hebu njoo kitandani kwanza na hata hivo ninaugwadu sana njoo upige show hapa la sivyo namchana ukweli Dokta na nipo serious.

Mercy fek ni dem wa ajabu sana yani kugawa mbususu hovyo hovyo kwake ni jambo la kawaida sana.
Nilijikaza nikamwambia asifanye vile aniheshim kama kaka yale. Aliropoka wewe unakuja kunila au nimpigie Dokta hapa.
Nilijiinamia nikawaza huyu akimsanua Dokta basi nishamkosa Mercy na nilimla huyu basi lazima Mercy atatua tu kwasbb yule dem ni wa hovyo sana kujitangaza kwa wenzake kwamba kaliwa na flan na flan kwake ni kawaida sana.


See you later.......

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
 
Back
Top Bottom