The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Pamoja na mahangaiko yote bado ulichapiwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma kishenzi aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na mahangaiko yote bado ulichapiwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hii ndio maana halisi ya ile kauli huwezi mchunga mtu mzima. Jamaa kakaba kona zote na bado kapigiwa 😂Unacheza na wanawake nini, karukaruka weee Ila bado watu wakatia kambani
Mtu mzima hachungwi, kazuia Goli weee beki kisiko kaba sana watu wasifunge wapi watu wakatupia kamba IMO kitu na boxYaan hii ndio maana halisi ya ile kauli huwezi mchunga mtu mzima. Jamaa kakaba kona zote na bado kapigiwa 😂
Mnajiona mnaijua sana hii stor yani mnaongea kama vile mnauhakika na mnachokiongeaYaan hii ndio maana halisi ya ile kauli huwezi mchunga mtu mzima. Jamaa kakaba kona zote na bado kapigiwa 😂
Wewe ni mgeni JF? Bango umeweka mwenyewe tuna uhuru wa kuchangia lolote ilmradi hujavunjiwa heshima. Sasa hapo unachomind kitu gani?Mnajiona mnaijua sana hii stor yani mnaongea kama vile mnauhakika na mnachokiongea
EndeleeniWewe ni mgeni JF? Bango umeweka mwenyewe tuna uhuru wa kuchangia lolote ilmradi hujavunjiwa heshima. Sasa hapo unachomind kitu gani?
Tunasubiri episodes zingine 🍿🥤Endeleeni
Dogo acha kupanick leta story tuenjoy, ikikupendeza tupe namba ya messi feki tujilie vyetu si umesema ni kicheche, huyo mesi og tumwachie dokta.Endeleeni
PoaTunasubiri episodes zingine 🍿🥤
Unatongozwa hadi na mashoga utaliwa kuwa MakinTuendeleee.....
Kabla ya kuendelea naomba niandike mambo machache.
Watu wameniandama sana wengi wao wanadai hii ni chai na wamejikita kwenye maeneo yafuatayo.
1. Bikra kumpiga bao tatu
.....sio Mercy tu nishatoa bikra tatu kabla ya Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu. Wengi wanaoniandama hawajui mapenzi wanadhani kumfuck dem ni vita kwamba lazima apate maumivu. Kuna soft sex kwa wanaonielewa wanajua kwamba bikra inawezekana kumpiga hata bao kumi.
2. Kutongozwa na wanafunzi wenzangu
.....kutongozwa na wanawake sikuanzia chuo tu.
Nilipomaliza form 4 nilitongozwa na mwanamke ambaye hakuwa na Rika la kuitwa sugarmama lakini alikuwa kanizid umri na alikuwa ameolewa na boss mmoja alikuwa anamiliki kampuni ya Costa na hiace route ya Kaliua - Tabora. Tulidum kwa miezi kadhaa nilipoenda advance habari ikaisha.
Hawa mashoga ndo washanitongoza mpka wengine nishawalia nauli zao nyingi.
Na kuna shoga mwingine alinitongoza ni rafiki wa mtangazaji wa radio station moja kubwa sana hapa nchini aliwahi kuhama hiyo station lakini akarud tena. Kama unauwezo wa kufatilia unaweza kumjua.
Nishatongozwa na wadada mtu na mdogo wake na wote niliwala pasipo kujuana, wote walikuwa wananizid umri walikuwa ni wahaya wa muleba walikuja mkoani kwetu kwa baba yao.
Kipindi nipo advance kuna madam alikuwa anafundisha geography alinitongoza lakini sikufanikiwa kumla.
Kwahiyo kwa anayeona kwamba najisifia kuhusu kutongozwa na wanawake huyo anahisi kutongozwa na mschana ni big deal sana kwake asijue kwamba kwa wengine ni kitu cha kawaida sana.
3. Kuhusu madem kupenda baiki yangu
.....madem wanapenda vitu vya kijinga na baiki yangu haikuwa ya kishamba.
Baiki yangu ilikuwa luxury na Mercy mwanzo alikataa lakini baadae alikuja kuipenda na kuitegemea na alisahau daladala chuo-geto.
THEN SINA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KUWADANGANYA KWA KUTUNGA STOR NINGEKUWA NAHITAJI FAIDA BASI NINGEMTAGUTA SHIGONGO TUKAFANYA KAZI YENYE FAIDA. KAMA UNAHISI NI CHAI BASI USIIFATILIE KAA PEMBENI. NIMEAMUA KUSHEA NA NINYI WANAJF WENZANGU KAMA SEHEM YA MAPITO KATIKA MAISHA YANGU.
NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWANZA, UZI UTAENDELEA MDA SI MREFU.
Falaa sana [emoji16][emoji16]...Sio Tumwachie MwambaDogo acha kupanick leta story tuenjoy, ikikupendeza tupe namba ya messi feki tujilie vyetu si umesema ni kicheche, huyo mesi og tumwachie dokta.
Pinguza hasira mkuu [emoji23]Tunajua mwisho wa siku ulimpa mimba, katika kujifungua akapoteza maisha....
Sisi tunachotaka kujua, ni kwa namna gani huyo daktari alihusika ktk kusababisha kifo cha mchuchu wako?
Hayo maelezo ya namna mlivyopeana mimba, sijui ukamuweka popo kanyea mbingu, sijui ukamzamia chumvini mpaka aka squirt sisi hayatusaidiii..
Wabaki sio watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na mahangaiko yote bado ulichapiwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo punguza bassi hasira lete story bwanaaaaMnajiona mnaijua sana hii stor yani mnaongea kama vile mnauhakika na mnachokiongea
[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo acha kupanick leta story tuenjoy, ikikupendeza tupe namba ya messi feki tujilie vyetu si umesema ni kicheche, huyo mesi og tumwachie dokta.
Mwamba anafeli, ni koro kichizi, dem kampenda mno jamaa ila soon ataacha kumpenda maana mchizi kampenda dem zaidi na anaonekana wazi kazama.Falaa sana [emoji16][emoji16]...Sio Tumwachie Mwamba
chuo cha wakulima sua hao.Yaani sijui wa mkoa Gani Hawa walikuwa hebu otea ni chuo Gani mdogo wangu😁😁?