DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
- Thread starter
- #361
Sema matusi tuacheWewe ulikuwa unatumia akili yako kuwaza upumbavu. Dah! Ulikuwa mpumbavu kinoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema matusi tuacheWewe ulikuwa unatumia akili yako kuwaza upumbavu. Dah! Ulikuwa mpumbavu kinoma
KwaniniSiamin kama nimesoma Uzi wote
😂😂😂😂 ndio maana hutakiwi kua serious nao saana, maana always ke hawako serious kabisa.WANAWAKE NI WATU WA AJABU SANA, UNAONA KIPINDI HIKI KUNA UHABA WA SUKARI WEWE KIDUME UNAWEZA UKAWA NAPESA ZAKO ZA KUTOSHA ILA UPO BIZE NA MAMBO YAKO HAUPAMBANII MKEO APATE SUKARI NDANI KWASABABU YA KUADIMIKA KWAKE MTAANI, UNAWEZA UKAJA KUSTUKA MKEO KAGAWA MBUSUSU KWA FALA MMOJA TU KISA KILO MBILI ZA SUKARI ILI AANDAE KEKI YA BIRTHDAY YA MWANAE, HAWA WATU NI SHIDA.
😁😁😁😁 Ndio ushasomaSiamin kama nimesoma Uzi wote
Inawezekana ndio Dr mwenyewe anaezungumziwa hapaMmmh Dr uko makini sana na story ya Mercy [emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna watu humu nature yao huwa ni ubishi na lengo lao kumkatisha narrator achaane na habari yake sasa huwa sijui huwa wanafaidika na niniSasa napata nini katika kutunga huo ujinga au mnanilipa, hafu sikukulazmisha usome
KwaHili anakula tano maana kulikuwa na wana hao mpka episode ije mshashachakaa saanA na matusi yote mshayamaliza OUTSIDER NA MWENZIE YULE WA BANDARINIKwenye kushusha episode uko vizur
Kumbe mnajijua [emoji2][emoji2][emoji2]Pamoja na mahangaiko yote bado ulichapiwa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ulikuwa uamuzi sahihiKatika maamuzi hapa ulizingua sana.
Kama mercy anakupenda ungeweza vizuri kabisa kum'badlishia hiyo line yake na kumsajilia mpya.
Bila shaka alikukatalia hili sababu alishaanza kuchoshwa na ww kimtindo ila kifupi mchumba km anakuelewa hili haruki nazungumza by uzoefuNamba ya Mercy mwenyewe alidai home kwao wasingemuelewa na ndugu zake wengi wameizoea ile kwahyo wazo la kubadili line halikumuingia akilini na aliona haina haja
Nina wasiwasi nae😃Inawezekana ndio Dr mwenyewe huyu
Huwa nasoma heading tu na ku concludeKwanini
🤣Walikuwa na matumizi mabaya ya wivuHapana kwakweli hadi mimi nimeshangaa hasa waliokuwa wanawaonea wivu
Kama unalijua Hilo timiza majukumu yako MPE SUKARI MKEO APIKE KEKI,usipojipanga,utapangwa!WANAWAKE NI WATU WA AJABU SANA, UNAONA KIPINDI HIKI KUNA UHABA WA SUKARI WEWE KIDUME UNAWEZA UKAWA NAPESA ZAKO ZA KUTOSHA ILA UPO BIZE NA MAMBO YAKO HAUPAMBANII MKEO APATE SUKARI NDANI KWASABABU YA KUADIMIKA KWAKE MTAANI, UNAWEZA UKAJA KUSTUKA MKEO KAGAWA MBUSUSU KWA FALA MMOJA TU KISA KILO MBILI ZA SUKARI ILI AANDAE KEKI YA BIRTHDAY YA MWANAE, HAWA WATU NI SHIDA.
Sawa MkuuHuwa nasoma heading tu na ku conclude
Shusha kitu basi tumalizieSawa Mkuu