Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee..........

Kwanza kabisa kuna kitu ni kama ninakihisi, ni kwamba ninahisi Mercy aliwambia kwao kwamba mwanaume mwenye mtoto ni mimi na siyo Dokta.
Nahisi pia kawadanganya kwamba nimekengeuka sitaki kumuoa mtoto wao kwasababu sasahivi hili sekeseke hadi wao wazaz wa Mercy wameingilia kati. Na bila shaka kama Mercy angekuwa kawambia ukweli kwamba yule mtoto sio wangu ni wa Dokta basi wazazi wangedili na Dokta na siyo mimi.

Mercy namuona ni kama anatumiwa na shetani kunivurugia mambo yangu.
Mercy amepanga mipango ya kuhamia Tanga mahali nilipo ili awe karibu na mimi. Nilijaribu sana kumpiga biti nyingi za makatazo juu ya mpango wake kwani ataniharibia mipango yangu na Mage na ukizingatia Mage tayari tupo naye vizuri sana yani mapenzi ni moto sana saivi.

Mage ni mwanamke mzuri na mpka sasa siamini ni kwanini nilimkuta Mage akiwa single Hana mtu najiuliza je alikuwa anawakataa watu au alikuwa hatongozwi maana Mage ni wife material haswa. Ila nachokiamini Mage hakuwa single ila kaamua kuweka utoto pembeni na kuwa na mimi 100%.

Nahisi pia ni mpango wa Mungu Mage kuwa namimi kwasababu amekuja wakati sahihi wakati ambao nilikuwa nahitaji sana mtu wa karibu ambaye ataridhia kuwa namimi no matter what.

Yale matatizo ya moyo niliyoyapataga
nahisi bado kwa kiasi kidogo yapo bado japo kadri siku zinavokwenda yanazidi kupotea na nazido kuimarika.
Kuna muda nahisi hasira kwa vitu vidogo vidogo, pia kuna muda nadhoofika moyo unakuwa unapiga kwa nguvu mpka nikiweka kiganja juu juu tu katika sehem ya moyo nakuwa nafeel moyo unavopiga kwa nguvu Sasa hii hali inanifanyaga nidhoofike na pia nakuwa na shorten breath.

Mage tayari anafaham hali yangu halisi na ananipa kampani ya dhati sana mpka naona kama vile ni special from God.

Kuna siku nipo na Mage nakumbuka ilikuwa siku ya j pili weekend maana Mage anakuwaga na nafasi ya kuja kunitembelea siku za weekend.
Siku hiyo tupo bed tunapiga stors meseji ya Mercy ikaingia "DeMostAdmired mimi nawewe tulipanga mengi makubwa, kilichotokea mimi kukusaliti mpka kuzaa na Dokta ni kama ajali tu na sikufanya kwa kukusudia naomba unielewe. Dokta nimeshampiga marufuku hanitafuti tena na Hana kabisa mazoea na mimi. Nisamehe kila siku nakuomba msamaha siyo kwamba sitongozwi natongozwa ila nahitaji kuolewa nawewe niambie nini nifanye ili urudishe moyo wako kwangu mimi nipo tayari".

Hii mesej hata Mage ilimpa mashaka japo tayari ameshamzoea Mercy na vimbwanga vyake lakini siku hii Mage alisimama akanambia " baby huyu mwanamke sasa naona anavuka mipaka, mimi sipo tayari kuona unatumiwa mamesej ya kubembelezwa namna hii na wewe ni binadamu kuna kipindi kitafika utaanza kuregea na kuanza kumpenda huyu Mercy"

Mage alinambia either tubadirishane laini yeye atumie yangu namimi nitumie yake au lah basi nivunje hii yangu nisajili nyengine ili Mercy asinipate tena.
Niliona option ambayo kidogo ni nzuri ni hii Option ya pili japo niliwahi kubadirisha laini lakini alipata namba yangu kupitia watu tulomaliza nao chuo ndo walimpa namba yangu na wembe ukawa ni uleule.

Nilimuahidi kwamba atulie mimi ni mwanamume ninaakiki timamu nafahamu Mercy siyo mtu mzuri kwahiyo asiwe na wasiwasi kabisa.
Alikubali japo kwa shingo upande

Siku hii Mage aliwaka sana mpka nikaona kama vile Mercy anaenda kuniharibia mipango yangu na Mage kwasababu mage tayari ameridhia tuanze taratibu za kutambulishana ili tuanze kuishi pamoja kama mume na mke na hapo baadae tufunge ndoa. Hii kitu bado naona ni mapema kwasababu ndo kwanza hata mwaka hatujamaliza.


See you........
Enhee!, Sasa unaanza kuwa na maamuzi ya kiume...
 
I choose to disagree.

Saikolojia ya mapenzi ni tofauti sana kwa mwanaume na mwanamke.

Mwanamke hawezi ku-cheat kwa bahati mbaya. Huwa anafanya risk assessment. Mpaka anaamua ku-cheat maana yake yupo tayari kwa chochote utakachoamua kufanya. Na zaidi; hu-cheat na mwanaume anayempenda.

Ni tofauti kwa mwanaume. Mwanaume anaweza ku-cheat kwa bahati mbaya, bila kufanya risk assessment yoyote, na anaweza ku-cheat na mwanamke ambaye hana hisia naye.

This is why you can forgive a cheating man, but never a cheating woman.
Uko sahihi.
Although cheating ina consequences psychologically kwa wote ila mwanamke akicheat ni tofauti na mwanaume akicheat.
 
Mdogo wangu achana na hilo lipumbavu haya mambo sometime inabidi uwe na roho mbaya kima kama huyu mercy sio wa kumchekea mshenz kama huyu ashapigwa mimba huko saiz ndio anajileta kwako aisee huyu angejichanganya kwangu ningemuonyesha show Q**mmke
 
Tuendeleee..........

Kwanza kabisa kuna kitu ni kama ninakihisi, ni kwamba ninahisi Mercy aliwambia kwao kwamba mwanaume mwenye mtoto ni mimi na siyo Dokta.
Nahisi pia kawadanganya kwamba nimekengeuka sitaki kumuoa mtoto wao kwasababu sasahivi hili sekeseke hadi wao wazaz wa Mercy wameingilia kati. Na bila shaka kama Mercy angekuwa kawambia ukweli kwamba yule mtoto sio wangu ni wa Dokta basi wazazi wangedili na Dokta na siyo mimi.

Mercy namuona ni kama anatumiwa na shetani kunivurugia mambo yangu.
Mercy amepanga mipango ya kuhamia Tanga mahali nilipo ili awe karibu na mimi. Nilijaribu sana kumpiga biti nyingi za makatazo juu ya mpango wake kwani ataniharibia mipango yangu na Mage na ukizingatia Mage tayari tupo naye vizuri sana yani mapenzi ni moto sana saivi.

Mage ni mwanamke mzuri na mpka sasa siamini ni kwanini nilimkuta Mage akiwa single Hana mtu najiuliza je alikuwa anawakataa watu au alikuwa hatongozwi maana Mage ni wife material haswa. Ila nachokiamini Mage hakuwa single ila kaamua kuweka utoto pembeni na kuwa na mimi 100%.

Nahisi pia ni mpango wa Mungu Mage kuwa namimi kwasababu amekuja wakati sahihi wakati ambao nilikuwa nahitaji sana mtu wa karibu ambaye ataridhia kuwa namimi no matter what.

Yale matatizo ya moyo niliyoyapataga
nahisi bado kwa kiasi kidogo yapo bado japo kadri siku zinavokwenda yanazidi kupotea na nazido kuimarika.
Kuna muda nahisi hasira kwa vitu vidogo vidogo, pia kuna muda nadhoofika moyo unakuwa unapiga kwa nguvu mpka nikiweka kiganja juu juu tu katika sehem ya moyo nakuwa nafeel moyo unavopiga kwa nguvu Sasa hii hali inanifanyaga nidhoofike na pia nakuwa na shorten breath.

Mage tayari anafaham hali yangu halisi na ananipa kampani ya dhati sana mpka naona kama vile ni special from God.

Kuna siku nipo na Mage nakumbuka ilikuwa siku ya j pili weekend maana Mage anakuwaga na nafasi ya kuja kunitembelea siku za weekend.
Siku hiyo tupo bed tunapiga stors meseji ya Mercy ikaingia "DeMostAdmired mimi nawewe tulipanga mengi makubwa, kilichotokea mimi kukusaliti mpka kuzaa na Dokta ni kama ajali tu na sikufanya kwa kukusudia naomba unielewe. Dokta nimeshampiga marufuku hanitafuti tena na Hana kabisa mazoea na mimi. Nisamehe kila siku nakuomba msamaha siyo kwamba sitongozwi natongozwa ila nahitaji kuolewa nawewe niambie nini nifanye ili urudishe moyo wako kwangu mimi nipo tayari".

Hii mesej hata Mage ilimpa mashaka japo tayari ameshamzoea Mercy na vimbwanga vyake lakini siku hii Mage alisimama akanambia " baby huyu mwanamke sasa naona anavuka mipaka, mimi sipo tayari kuona unatumiwa mamesej ya kubembelezwa namna hii na wewe ni binadamu kuna kipindi kitafika utaanza kuregea na kuanza kumpenda huyu Mercy"

Mage alinambia either tubadirishane laini yeye atumie yangu namimi nitumie yake au lah basi nivunje hii yangu nisajili nyengine ili Mercy asinipate tena.
Niliona option ambayo kidogo ni nzuri ni hii Option ya pili japo niliwahi kubadirisha laini lakini alipata namba yangu kupitia watu tulomaliza nao chuo ndo walimpa namba yangu na wembe ukawa ni uleule.

Nilimuahidi kwamba atulie mimi ni mwanamume ninaakiki timamu nafahamu Mercy siyo mtu mzuri kwahiyo asiwe na wasiwasi kabisa.
Alikubali japo kwa shingo upande

Siku hii Mage aliwaka sana mpka nikaona kama vile Mercy anaenda kuniharibia mipango yangu na Mage kwasababu mage tayari ameridhia tuanze taratibu za kutambulishana ili tuanze kuishi pamoja kama mume na mke na hapo baadae tufunge ndoa. Hii kitu bado naona ni mapema kwasababu ndo kwanza hata mwaka hatujamaliza.


See you........
Kama mmekubaliana na mage kufunga ndoa fanyeni haraka, hicho Ndio kitamfanya mercy apunguze kukusumbua. Kwa Sasa anaamin anaweza kupindua meza maana hamjafunga ndoa. Funga ndoa fasta umsaidie na mercy aanze kumove on bila wewe
 
Mimi kuna umbwa ilinifanyiaga demu wangu tena ..........aliniwahi akaitoa bikra yake......qumqmqke sijawai kumsamehe yule jamaa mpaka leo ........na imepita miaka mingi sana yaani hata tu niikute picha yake Facebook damu yangu inakuwa inachemka sana na hata sijui kwa nini.......kuhusu binti alishaomba msamaha sana lakini ikabaki kira mtu aishi kivyake vyake kwanza nilikuwa sijamla lakini vitu vyote muhimu nishamfanyia mpaka kupiga finga kunyonya chuchu ila tu dudu la yuyu ndio lilikuwa alijaingia kwenye chiu yake.........najutia sana hiki kitu labda leo ndio angekuwa mke wangu.........maaana leo hii mimi nimeoa na nina mtoto mmoja mrembo balaa naonaga ana view status zangu ig kira nikimpost mwanangu........ila mapenzi yahacheni hivyo hivyo nilikaa miezi mitatu sisikii ladha ya chakula baadaya ya kuachwa na hiki kidemu......nilikonda sitosahau na hajaolewa mpaka leo na sasa umri wake utakuwa umefika 30 something hivi.....ni kweli mrembo bado ila wahuni wamemuonesha hii dunia.......
Ulifeli sana,we hugongi unanyonya chuchu,piga dyudyu
 
Kama mmekubaliana na mage kufunga ndoa fanyeni haraka, hicho Ndio kitamfanya mercy apunguze kukusumbua. Kwa Sasa anaamin anaweza kupindua meza maana hamjafunga ndoa. Funga ndoa fasta umsaidie na mercy aanze kumove on bila wewe
Ni sawa kabisa
 
PICHA NZIMA YA YANAYOENDELEA YANAANZIA KATIKA HII EPISODE.

Tuendeleee.......

Mwezi wa 10 katika harakati zangu, ilikuwa nampeleka mtoto wa dada skul. Mtoto wa dada yangu wa tatu kuzaliwa, huyu mtoto ni wa kike alikuwa anaishi na mama mkubwa hapo Kilimanjaro moshi. Huyu dogo now yupo form town means mwaka jana alikuwa form one na alihama kutoka hiyo skul ya moshi akaletwa huku Tanga katika skul flan.

Mimi ndo nilipewa jukumu la kumpokea na kumpeleka skul kurepot. Nilipofika skul kama kawaida nikafata taratibu zote na dogo akapokelewa.
Sasa katika harakati za kumripotisha dogo pale skul nikaonana na madam ni second mistress pale skul.

Ni mwanamke mbichi tu japo kanizid kama miaka miwili (inanifanya nisite kumuoa). Huyu binti niliona kama nimemuelewa hivi lakini sikuwahi na uhakika kama ni kweli au ni macho ya kifisi tu kama ya brother INSIDER MAN kwa akina Asmah, Lucy, Marry na Vicky.

Nilifanikiwa kumuomba namba na alinipa bila ajizi, nikaanza kuwa namtafuta nayeye anarespond. Mwanzo nilikuwa namtafuta kumuuliza maendeleo ya anko wangu dogo anaitwa Gisela.
Nikawa nauliza maendeleo ya Gisela anasema dogo yupo poa na anaonekana kuwa smart na mtu makini (of course yupo poa kichwani). Hii skul ni ya private ada imechangamka kimtindo.

Mawasiliano na huyu madam (nimuite Mage, fake name), tulizidi kuzoeana na mpka ikafikia hatua nikaanza kutupa nyavu. Kifupi nilipambana sana mwisho wa siku madam akajaa na nikaanza rasmi kudate naye.

Huyu Madam Mage yupo smart sana nafikiri ndiyo maana hata kapewa u second mistress akiwa na umri mdogo tu ingali wakubwa kumzidi wapo pale skul.

Huyu Madam Mage tumpe maua yake kabla hata sijaanza kuelezea ni mambo gani special ameyafanya na anaendelea kuyafanya hasa katika hili sekeseke langu na Mercy kwasababu Mercy bado haelewi namimi kuna muda nashindwa kufanya uamuzi sahihi japo Madam Mage shemej yenu na wifi yenu wa faida anaplay part yake vilivyo kabisa.

Nimewawekea picha ya mesej za Mercy alinilazimisha niende kumuona kwao huku akidai kuna mipango madhubuti kama familia wameiweka ili kuhakikisha tunaoana mimi na Mercy na tunaishi maisha bora.
Kwahyo saivi hii vita siyo yangu dhidi Mercy tu bali ni yangu na familia ya Mercy kiujumla.

Mercy amekuwa haelewi japo nimemwambia tayari kwamba nipo na mchumba wangu na tuna mipango ya kuoana. Baada ya kukwambia hiki kitu ndo ni kama nimechochea moto kwasababu anaomba nimpe namba ya huyo mchumba wangu Mage amuombe kistarabu kama mwanamke mwenzake aniache mimi ili nimuoe yeye Mercy akidai kwamba yeye ndo wa kwanza kuingia katika uchumba namimi ila kwa bahati mbaya mambo yakavurugika (siku hii nilicheka sana).

Kuna wakati nawambia Mercy ni kama kachanganyikiwa kwasababu kafikia hatua mbaya eti mimi nitoe namba ya Madam Mage (mchumba wangu) nimpe yeye ili avuruge mahusiano yangu. Hii kwa akili ya kawaida tu ni kitu ambayo ni ngumu na haiwezekani mimi nimpe Mercy namba ya Madam Mage ni hakuna.

Upande wangu mchumba wangu Mage nishamueleza kuhusu Mercy na anaelewa na nimuelewa kwahiyo huwa hata Mercy akituma sms, alipiga cm Mage huwa hamind kwasababu anajua kinachoendelea. Ila cha zaid tu huwa ananisihi nifanye maamuzi sahihi kwani maisha yanahitaj utulivu sana na sio kila kitu kinahitaji uzingatie hisia bali uhalisia.

Mpka saivi mzani umezidi sana kwa Madam Mage kwani nimenotice vitu flan vya msingi sana ambavyo mage anavyo ila Mercy anazingu.
Mfano: Mage anahali flani ya kujishusha sana akikosea au tukigombana huwa anajishusha kitu ambacho Mercy pia anacho ila anazidiwa na mage (Magnitude).

Kuna siku nilikuwa kazini kuna kazi flani ni ya kutumia nguvu ila akili zaidi. Siku hiyo Mage alikuwa kaniomba nimuwekee tsh 50k alikuwa anaongezea anunua cm mpya maana cm yake iliibiwa siku hiyo alikuwa anaenda kununua Samsung note 10 plus gb256 ni hizi used from abroad.

Bajet yake ilikuwa kama 550k hiyo ni Bei ya used sijajua brand new Bei yake ni ngap. Kwahyo aliniomba nimuongezee kama 50k tu nyengine anayo. Nikasema sawa, sas muda huo mimi nilikuwa bize kuifanya ile kazi hafu na Mage katoka ckul anaenda mjini ili kuifata ile cm kwahyo akawa anaharaka sana nimuwekee katika cm yake mpesa. Muda huo namimi nakimbizana na muda niimalize kazi niwasilishe.

Mage alipiga sim na kutuma texts mimi sikuwa na time na cm na nilikuwa dizaini kma nimesahau kama nilitakiwa kumuwekea pesa Mage.
Mage alikasirika akatuma text "DeMostAdmired mbona kama unafanya mambo ya kitoto acha upuuzi". Ile text nilikuja kuiona baadae na nilipoiona nilikasirika sana. Kwasabb nilikuwa nina hasira sikutaka kumjibu chochote kwasababu najua ningemjibu vbaya sana nikamkwaza.

Niliamua kuanza transaction ya kumuwekea ile 50k lakini kabla sijaingia kwenye menu ya mpesa niliona text inaingia ya Mage inasema "am very sorry my love DeMostAdmired najua nimekukwaza ila nisamehe zilikuwa hasira na usiwaze pesa nishaikamilisha na cm nishanunua".

Haya maneno ya Mage yalinifanya nipate furaha isiyo kifani na ndo aina ya wanawake naowapenda yani kakosea, kajua kosa lake na akajiongeza kuomba msamaha kabla sijacomplain. Namimi nilijiongeza nikamtumia 80k badala ya 50k, akanitumia mesej " honey nilikuwa nishakamilisha na cm tayar ninayo hata hivo nakushukuru na nakuomba unisamehe sana kwa yale maneno". Nikamjibu usiwaze I understand and love you so much.

Sasa Mercy kitu hiki hana. Mercy alikuwa nikimuudhi kama nipo kwake alikuwa ananifukuza Sasa hii ni ishara ya dharau, na vijitabia vingine vingi vingi vya ajabu alikuwa navyo japo nayeye anamazuri yake mengi ndomana hata nilimpenda sana.

See you........



Tuendeleee..........

Kwanza kabisa kuna kitu ni kama ninakihisi, ni kwamba ninahisi Mercy aliwambia kwao kwamba mwanaume mwenye mtoto ni mimi na siyo Dokta.
Nahisi pia kawadanganya kwamba nimekengeuka sitaki kumuoa mtoto wao kwasababu sasahivi hili sekeseke hadi wao wazaz wa Mercy wameingilia kati. Na bila shaka kama Mercy angekuwa kawambia ukweli kwamba yule mtoto sio wangu ni wa Dokta basi wazazi wangedili na Dokta na siyo mimi.

Mercy namuona ni kama anatumiwa na shetani kunivurugia mambo yangu.
Mercy amepanga mipango ya kuhamia Tanga mahali nilipo ili awe karibu na mimi. Nilijaribu sana kumpiga biti nyingi za makatazo juu ya mpango wake kwani ataniharibia mipango yangu na Mage na ukizingatia Mage tayari tupo naye vizuri sana yani mapenzi ni moto sana saivi.

Mage ni mwanamke mzuri na mpka sasa siamini ni kwanini nilimkuta Mage akiwa single Hana mtu najiuliza je alikuwa anawakataa watu au alikuwa hatongozwi maana Mage ni wife material haswa. Ila nachokiamini Mage hakuwa single ila kaamua kuweka utoto pembeni na kuwa na mimi 100%.

Nahisi pia ni mpango wa Mungu Mage kuwa namimi kwasababu amekuja wakati sahihi wakati ambao nilikuwa nahitaji sana mtu wa karibu ambaye ataridhia kuwa namimi no matter what.

Yale matatizo ya moyo niliyoyapataga
nahisi bado kwa kiasi kidogo yapo bado japo kadri siku zinavokwenda yanazidi kupotea na nazido kuimarika.
Kuna muda nahisi hasira kwa vitu vidogo vidogo, pia kuna muda nadhoofika moyo unakuwa unapiga kwa nguvu mpka nikiweka kiganja juu juu tu katika sehem ya moyo nakuwa nafeel moyo unavopiga kwa nguvu Sasa hii hali inanifanyaga nidhoofike na pia nakuwa na shorten breath.

Mage tayari anafaham hali yangu halisi na ananipa kampani ya dhati sana mpka naona kama vile ni special from God.

Kuna siku nipo na Mage nakumbuka ilikuwa siku ya j pili weekend maana Mage anakuwaga na nafasi ya kuja kunitembelea siku za weekend.
Siku hiyo tupo bed tunapiga stors meseji ya Mercy ikaingia "DeMostAdmired mimi nawewe tulipanga mengi makubwa, kilichotokea mimi kukusaliti mpka kuzaa na Dokta ni kama ajali tu na sikufanya kwa kukusudia naomba unielewe. Dokta nimeshampiga marufuku hanitafuti tena na Hana kabisa mazoea na mimi. Nisamehe kila siku nakuomba msamaha siyo kwamba sitongozwi natongozwa ila nahitaji kuolewa nawewe niambie nini nifanye ili urudishe moyo wako kwangu mimi nipo tayari".

Hii mesej hata Mage ilimpa mashaka japo tayari ameshamzoea Mercy na vimbwanga vyake lakini siku hii Mage alisimama akanambia " baby huyu mwanamke sasa naona anavuka mipaka, mimi sipo tayari kuona unatumiwa mamesej ya kubembelezwa namna hii na wewe ni binadamu kuna kipindi kitafika utaanza kuregea na kuanza kumpenda huyu Mercy"

Mage alinambia either tubadirishane laini yeye atumie yangu namimi nitumie yake au lah basi nivunje hii yangu nisajili nyengine ili Mercy asinipate tena.
Niliona option ambayo kidogo ni nzuri ni hii Option ya pili japo niliwahi kubadirisha laini lakini alipata namba yangu kupitia watu tulomaliza nao chuo ndo walimpa namba yangu na wembe ukawa ni uleule.

Nilimuahidi kwamba atulie mimi ni mwanamume ninaakiki timamu nafahamu Mercy siyo mtu mzuri kwahiyo asiwe na wasiwasi kabisa.
Alikubali japo kwa shingo upande

Siku hii Mage aliwaka sana mpka nikaona kama vile Mercy anaenda kuniharibia mipango yangu na Mage kwasababu mage tayari ameridhia tuanze taratibu za kutambulishana ili tuanze kuishi pamoja kama mume na mke na hapo baadae tufunge ndoa. Hii kitu bado naona ni mapema kwasababu ndo kwanza hata mwaka hatujamaliza.


See you........
 
PICHA NZIMA YA YANAYOENDELEA YANAANZIA KATIKA HII EPISODE.

Tuendeleee.......

Mwezi wa 10 katika harakati zangu, ilikuwa nampeleka mtoto wa dada skul. Mtoto wa dada yangu wa tatu kuzaliwa, huyu mtoto ni wa kike alikuwa anaishi na mama mkubwa hapo Kilimanjaro moshi. Huyu dogo now yupo form town means mwaka jana alikuwa form one na alihama kutoka hiyo skul ya moshi akaletwa huku Tanga katika skul flan.

Mimi ndo nilipewa jukumu la kumpokea na kumpeleka skul kurepot. Nilipofika skul kama kawaida nikafata taratibu zote na dogo akapokelewa.
Sasa katika harakati za kumripotisha dogo pale skul nikaonana na madam ni second mistress pale skul.

Ni mwanamke mbichi tu japo kanizid kama miaka miwili (inanifanya nisite kumuoa). Huyu binti niliona kama nimemuelewa hivi lakini sikuwahi na uhakika kama ni kweli au ni macho ya kifisi tu kama ya brother INSIDER MAN kwa akina Asmah, Lucy, Marry na Vicky.

Nilifanikiwa kumuomba namba na alinipa bila ajizi, nikaanza kuwa namtafuta nayeye anarespond. Mwanzo nilikuwa namtafuta kumuuliza maendeleo ya anko wangu dogo anaitwa Gisela.
Nikawa nauliza maendeleo ya Gisela anasema dogo yupo poa na anaonekana kuwa smart na mtu makini (of course yupo poa kichwani). Hii skul ni ya private ada imechangamka kimtindo.

Mawasiliano na huyu madam (nimuite Mage, fake name), tulizidi kuzoeana na mpka ikafikia hatua nikaanza kutupa nyavu. Kifupi nilipambana sana mwisho wa siku madam akajaa na nikaanza rasmi kudate naye.

Huyu Madam Mage yupo smart sana nafikiri ndiyo maana hata kapewa u second mistress akiwa na umri mdogo tu ingali wakubwa kumzidi wapo pale skul.

Huyu Madam Mage tumpe maua yake kabla hata sijaanza kuelezea ni mambo gani special ameyafanya na anaendelea kuyafanya hasa katika hili sekeseke langu na Mercy kwasababu Mercy bado haelewi namimi kuna muda nashindwa kufanya uamuzi sahihi japo Madam Mage shemej yenu na wifi yenu wa faida anaplay part yake vilivyo kabisa.

Nimewawekea picha ya mesej za Mercy alinilazimisha niende kumuona kwao huku akidai kuna mipango madhubuti kama familia wameiweka ili kuhakikisha tunaoana mimi na Mercy na tunaishi maisha bora.
Kwahyo saivi hii vita siyo yangu dhidi Mercy tu bali ni yangu na familia ya Mercy kiujumla.

Mercy amekuwa haelewi japo nimemwambia tayari kwamba nipo na mchumba wangu na tuna mipango ya kuoana. Baada ya kukwambia hiki kitu ndo ni kama nimechochea moto kwasababu anaomba nimpe namba ya huyo mchumba wangu Mage amuombe kistarabu kama mwanamke mwenzake aniache mimi ili nimuoe yeye Mercy akidai kwamba yeye ndo wa kwanza kuingia katika uchumba namimi ila kwa bahati mbaya mambo yakavurugika (siku hii nilicheka sana).

Kuna wakati nawambia Mercy ni kama kachanganyikiwa kwasababu kafikia hatua mbaya eti mimi nitoe namba ya Madam Mage (mchumba wangu) nimpe yeye ili avuruge mahusiano yangu. Hii kwa akili ya kawaida tu ni kitu ambayo ni ngumu na haiwezekani mimi nimpe Mercy namba ya Madam Mage ni hakuna.

Upande wangu mchumba wangu Mage nishamueleza kuhusu Mercy na anaelewa na nimuelewa kwahiyo huwa hata Mercy akituma sms, alipiga cm Mage huwa hamind kwasababu anajua kinachoendelea. Ila cha zaid tu huwa ananisihi nifanye maamuzi sahihi kwani maisha yanahitaj utulivu sana na sio kila kitu kinahitaji uzingatie hisia bali uhalisia.

Mpka saivi mzani umezidi sana kwa Madam Mage kwani nimenotice vitu flan vya msingi sana ambavyo mage anavyo ila Mercy anazingu.
Mfano: Mage anahali flani ya kujishusha sana akikosea au tukigombana huwa anajishusha kitu ambacho Mercy pia anacho ila anazidiwa na mage (Magnitude).

Kuna siku nilikuwa kazini kuna kazi flani ni ya kutumia nguvu ila akili zaidi. Siku hiyo Mage alikuwa kaniomba nimuwekee tsh 50k alikuwa anaongezea anunua cm mpya maana cm yake iliibiwa siku hiyo alikuwa anaenda kununua Samsung note 10 plus gb256 ni hizi used from abroad.

Bajet yake ilikuwa kama 550k hiyo ni Bei ya used sijajua brand new Bei yake ni ngap. Kwahyo aliniomba nimuongezee kama 50k tu nyengine anayo. Nikasema sawa, sas muda huo mimi nilikuwa bize kuifanya ile kazi hafu na Mage katoka ckul anaenda mjini ili kuifata ile cm kwahyo akawa anaharaka sana nimuwekee katika cm yake mpesa. Muda huo namimi nakimbizana na muda niimalize kazi niwasilishe.

Mage alipiga sim na kutuma texts mimi sikuwa na time na cm na nilikuwa dizaini kma nimesahau kama nilitakiwa kumuwekea pesa Mage.
Mage alikasirika akatuma text "DeMostAdmired mbona kama unafanya mambo ya kitoto acha upuuzi". Ile text nilikuja kuiona baadae na nilipoiona nilikasirika sana. Kwasabb nilikuwa nina hasira sikutaka kumjibu chochote kwasababu najua ningemjibu vbaya sana nikamkwaza.

Niliamua kuanza transaction ya kumuwekea ile 50k lakini kabla sijaingia kwenye menu ya mpesa niliona text inaingia ya Mage inasema "am very sorry my love DeMostAdmired najua nimekukwaza ila nisamehe zilikuwa hasira na usiwaze pesa nishaikamilisha na cm nishanunua".

Haya maneno ya Mage yalinifanya nipate furaha isiyo kifani na ndo aina ya wanawake naowapenda yani kakosea, kajua kosa lake na akajiongeza kuomba msamaha kabla sijacomplain. Namimi nilijiongeza nikamtumia 80k badala ya 50k, akanitumia mesej " honey nilikuwa nishakamilisha na cm tayar ninayo hata hivo nakushukuru na nakuomba unisamehe sana kwa yale maneno". Nikamjibu usiwaze I understand and love you so much.

Sasa Mercy kitu hiki hana. Mercy alikuwa nikimuudhi kama nipo kwake alikuwa ananifukuza Sasa hii ni ishara ya dharau, na vijitabia vingine vingi vingi vya ajabu alikuwa navyo japo nayeye anamazuri yake mengi ndomana hata nilimpenda sana.

See you........
utoto raha sana!
 
Tuendeleee..........

Kwanza kabisa kuna kitu ni kama ninakihisi, ni kwamba ninahisi Mercy aliwambia kwao kwamba mwanaume mwenye mtoto ni mimi na siyo Dokta.
Nahisi pia kawadanganya kwamba nimekengeuka sitaki kumuoa mtoto wao kwasababu sasahivi hili sekeseke hadi wao wazaz wa Mercy wameingilia kati. Na bila shaka kama Mercy angekuwa kawambia ukweli kwamba yule mtoto sio wangu ni wa Dokta basi wazazi wangedili na Dokta na siyo mimi.

Mercy namuona ni kama anatumiwa na shetani kunivurugia mambo yangu.
Mercy amepanga mipango ya kuhamia Tanga mahali nilipo ili awe karibu na mimi. Nilijaribu sana kumpiga biti nyingi za makatazo juu ya mpango wake kwani ataniharibia mipango yangu na Mage na ukizingatia Mage tayari tupo naye vizuri sana yani mapenzi ni moto sana saivi.

Mage ni mwanamke mzuri na mpka sasa siamini ni kwanini nilimkuta Mage akiwa single Hana mtu najiuliza je alikuwa anawakataa watu au alikuwa hatongozwi maana Mage ni wife material haswa. Ila nachokiamini Mage hakuwa single ila kaamua kuweka utoto pembeni na kuwa na mimi 100%.

Nahisi pia ni mpango wa Mungu Mage kuwa namimi kwasababu amekuja wakati sahihi wakati ambao nilikuwa nahitaji sana mtu wa karibu ambaye ataridhia kuwa namimi no matter what.

Yale matatizo ya moyo niliyoyapataga
nahisi bado kwa kiasi kidogo yapo bado japo kadri siku zinavokwenda yanazidi kupotea na nazido kuimarika.
Kuna muda nahisi hasira kwa vitu vidogo vidogo, pia kuna muda nadhoofika moyo unakuwa unapiga kwa nguvu mpka nikiweka kiganja juu juu tu katika sehem ya moyo nakuwa nafeel moyo unavopiga kwa nguvu Sasa hii hali inanifanyaga nidhoofike na pia nakuwa na shorten breath.

Mage tayari anafaham hali yangu halisi na ananipa kampani ya dhati sana mpka naona kama vile ni special from God.

Kuna siku nipo na Mage nakumbuka ilikuwa siku ya j pili weekend maana Mage anakuwaga na nafasi ya kuja kunitembelea siku za weekend.
Siku hiyo tupo bed tunapiga stors meseji ya Mercy ikaingia "DeMostAdmired mimi nawewe tulipanga mengi makubwa, kilichotokea mimi kukusaliti mpka kuzaa na Dokta ni kama ajali tu na sikufanya kwa kukusudia naomba unielewe. Dokta nimeshampiga marufuku hanitafuti tena na Hana kabisa mazoea na mimi. Nisamehe kila siku nakuomba msamaha siyo kwamba sitongozwi natongozwa ila nahitaji kuolewa nawewe niambie nini nifanye ili urudishe moyo wako kwangu mimi nipo tayari".

Hii mesej hata Mage ilimpa mashaka japo tayari ameshamzoea Mercy na vimbwanga vyake lakini siku hii Mage alisimama akanambia " baby huyu mwanamke sasa naona anavuka mipaka, mimi sipo tayari kuona unatumiwa mamesej ya kubembelezwa namna hii na wewe ni binadamu kuna kipindi kitafika utaanza kuregea na kuanza kumpenda huyu Mercy"

Mage alinambia either tubadirishane laini yeye atumie yangu namimi nitumie yake au lah basi nivunje hii yangu nisajili nyengine ili Mercy asinipate tena.
Niliona option ambayo kidogo ni nzuri ni hii Option ya pili japo niliwahi kubadirisha laini lakini alipata namba yangu kupitia watu tulomaliza nao chuo ndo walimpa namba yangu na wembe ukawa ni uleule.

Nilimuahidi kwamba atulie mimi ni mwanamume ninaakiki timamu nafahamu Mercy siyo mtu mzuri kwahiyo asiwe na wasiwasi kabisa.
Alikubali japo kwa shingo upande

Siku hii Mage aliwaka sana mpka nikaona kama vile Mercy anaenda kuniharibia mipango yangu na Mage kwasababu mage tayari ameridhia tuanze taratibu za kutambulishana ili tuanze kuishi pamoja kama mume na mke na hapo baadae tufunge ndoa. Hii kitu bado naona ni mapema kwasababu ndo kwanza hata mwaka hatujamaliza.


See you........
Wazazi wakikupigia wanasemaje?
 
🤣🤣🤣🤣 vibaka wa sabasaba na chamwino sio mchezo mchezo..!!! Moro napamiss sana!!
Halafu ndio kipindi game limeanza kumkataa wakaona nao wamalizie kumpotezea kabisaaa!!

Kuna nyingine hiyo nilitoroka hostel nikaenda club nipo na shosti yangu na bwana ake manager wa kampuni moja ya mtandao wa simu, ndio alitusponsor basi nimevaa high heels zangu najiachia mwenyewe kwa stage huku nimekunywa reds zangu nimewaka…!!
Mara nikamkanyaga mdada walikuwa wanacheza na mpenzi wake pembeni yangu..!!!
Yule dada akapanic akanisukuma weeee na zile heels nusu ning’oe meno 🤣🤣🤣🤣

Nikadondoka kile kisketi kikapanda juu chini kote kunaonekana, niliinuka kwa hasira nikavua konkonko nikamfata yule dada nimtwange navyo hapo reds ndio zinaongea, nimemkaribia nikashangaa jamaa yake kanidaka na bonge la mtama 🤣🤣🤣🤣
Nikaanza kutukana akaja rafiki yangu naye akanunua ugomvi. Lakini nikawa namshangaa mbona haonyeshi cheche!! Kumbe kuna kitu alikutana nacho. Akapigwa butwaa

Nikaona ujinga ngoja nikapambane mwenyewe, nikabeba chupa sasa liwalo na liwe kwenda kumchoma nayo yule dada aiseee!! Hapo kwanza ncheke 🤣🤣🤣

Kumbe yule mdada ni dada yangu naye alitoroka home akaja na bwana club. Hasira zilizidi mara mbili nimeshindwa kukamilisha kisasi changu. Akaanza kunipoza na kunigombeza kwann sisomi nahangaika kwenye maclub usiku…! Hapo kiuno kinauma balaa na ule mtama wa yule bwanaake😏😏

Yule bwana ake baadae nilimfanyia figisu moja hiyo mpk wakaachana ila hakujua km ni mimi nilitengeneza ule mchezo mpk leo.
Ila bado kinaniuma mpk kesho.
Lamomy Bhana😀
 
Back
Top Bottom