Daktari FEKI akamatwa Muhimbili

Daktari FEKI akamatwa Muhimbili

Shida mnapenda kuwaza nje ya boksi sana
Hio ni issue ni kweli imetokea leo asubui mwaisela na huyo jamaa mara nyingi tu hata nmekutanana nae nmeshangazwa alivosema hana muda mrefu

ALAFU NI MWANANCHI BWA MUSA
Kama yupo mda.mrefu ulishawahi kusikia mtu kashalizwa?
 
Naona watu wanaendelea kujiongeza kule kwenye mabasi huku hospitali kesho tusubiri mwingine alievaa magamba yenye mabakabaka
 
Mkazi wa Dar es Salaam aliyejitambulisha jina la Mussa Mawa amekamatwa katika maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akijihusisha kutapeli wananchi wanaopata huduma kwa kujifanya daktari.

Mkuu wa Idara ya Ulinzi Bw. Alfred Mwaluko amesema kuwa wana usalama walimbaini daktari huyo feki akiwa kwenye harakati za kuwatapeli wananchi wanaouguza ndugu yao aliyelazwa jengo la Mwaisela.

Naye Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Bw. Aminiel Aligaesha ametoa rai kwa watu wote wanaojihusisha na kutapeli wananchi katika eneo la Hospitali kwamba kwa sasa ulinzi umeimarishwa na wakijaribu kufanya hivyo watakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya usalama
Huyu ni dokita kabisa sema tuu ni vile vyeti hana..
Si unaona anasura ya wale wafanya opareshini?
 
Hakuna daktari fake hapo. This is staged
Ningelikuunga mkono kama tukio lingelikuwa kuubwa la kisiasa kuvuruga mind set za watu, lakini kibaka mtapeli kujifanya dokta haiwezi vuruga debate ya Bandari.

Wee ona, pamoja na Samia kutupiga changa la macho kwenye Baraza lake kwa style ya "bandua hapa bandika kule"
Haijapoza makali ya agenda na ndiyo sasa moto unazidi tu kuwaka kwenye mtandao republic.
 
Kuna wakili feki alikamatwa nadhani mwezi mei. Huyu wakili inasemekana alikuwa ameshasimamia kesi kadhaa na alishinda.
Nadhani hawa jamaa wanakuwa na uelewa wa tasnia husika au walisomea kabisa ila hawakidhi vigezo.
Mabush lawayer wapo vizuri , angalia comedy movie inaitwa MY COUSIN VINNY. staring Joe Pesci as Vinny Gambini.
 
Back
Top Bottom