Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

Ongeeza na swali la je mshtakiwa akila mapera kwa wingi hayawezi kutatua mnduku
 
Ukute kipindi dokta anafanya vipimo alikuwa anarembua kabisa kama alivyorembua kwenye IST.

Ila katika hili sakata lote mbona sijasikia mshirika wake wa video akitajwa?? Kwahiyo kosa ni kwa mfanywaji tu na si mfanyaji??
Nimejiuliza hivo pia, haya mambo yaangalie pande zote mbili tena hao mabasha ni wabaya zaidi, hapo ataenda kutafuta wengine awaharibu au aendeleze libeneke...
 
Nimejiuliza hivo pia, haya mambo yaangalie pande zote mbili tena hao mabasha ni wabaya zaidi, hapo ataenda kutafuta wengine awaharibu au aendeleze libeneke...
Kabisa. Hakuna shoga bila basha. Hili jambo linaangaliwa kwa upande mmoja zaidi, ya anaeingiliwa kusahau pia kuna muingiliaji ambae ndio mchochezi mkuu wa kuhamasisha haya mambo.
 
Kuheshimu mwezi wa ramadhani kwani baadhi ya waisilamu upenda kujificha kwenye dini?
 

Wakiona unawaumiza kichwa waleta ushahidi wa video.
 
Haya maswali yako yangekuwa na mashiko kama kusingekuwa na video akionesha live anapigwa. So video ile tu ilitosha kusema jamaa bwabwa. So, hayo maelezo yote yangetolewa kama kusingekuwa na video, ili weledi wa mpimaji lakini jitu lenyewe mpaka mkewe na watoto wameshuhudia hio video.

Sasa mahakama inamalizia aliyoyaanzisha ili akawe chakula cha nyapara
 
Bawasiri haiwezi kusababisha uwazi sehemu ya haja kubwa ya mtu. Acha upotoshaji. Labda ajitetee kuwa kazaliwa na huo uwazi au alipata ajali akaanguka juu ya mti akachomwa na jiti kubwa lenye ncha kali kwenye puru km anavyodanganya cocastic shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…