Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Kusafisha meno hata huku Marekani na Ulaya ni kila baada ya miezi sita and yes ukisahau wanakukumbusha. Huku wako siriazi zaidi kwa sababu research mbalimbali zimeonyesha kwamba ukiwa na meno machafu na yako infected wale bakteria wanaweza kupenya na kuingia kwenye blood stream na kusababisha matatizo makubwa zaidi ikiwemo stroke na magonjwa mbalimbali ya moyo. Dental hygiene huku ni mkakati mmojawapo wa kupambana na heart disease. Kwa hivyo ukikumbushwa ndugu usikasirike. Wanafuata research based recommendations hao na wanatimiza wajibu wao!
Sasa mkuu,kwanini wasitibu Bakteria badala yake iwe kila miezi sita uende tena.Na vipi hali hiyo huko kwenu ndio ile ya kwamba ukisafishwa basi mwezi mzima kitu cha moto huli wala hunywi meno yanauma balaa.