Daktari: Ulaya kamwe hawang'oi meno, wanakarabati

Daktari: Ulaya kamwe hawang'oi meno, wanakarabati

Teknolojia mpya ya meno imeingia nchini kwa mujibu wa daktari wa meno katika television ya taifa TBC leo na ameshauri Ulaya kamwe hawang'oi jino bali wanakarabati hivyo tuachane na misemo iliyopita kuwa dawa ya jino ni kung'oa pia wale wenye meno yaliojitokeza nje maarufu kama meno ya ngiri sasa yanarekebishika kabisa kwa asilimia mia.

Pia amesema wanakuja watoto waliolipukiwa na betri za simu za kichina baada ya kuzilamba na mara mate yao yakigusana na chaji ya betri hiyo huwalipukia na kuuchana kabisa mdomo.

Tuelimishane zaidi
Naomba namba yake mkuu, au nitumie kwa namba yangu 0715445846,

Nina pengo nahitaji kuweka jino jingine,

Na kuna rafiki yangu ana jino limetoboka liko nusu
 
Mkuu tatizo kama hilo nilipata mwaka 2008 nilipata ajali ya pikipiki kati ya meno haya mawili ya mbele, moja lilikatika kipande kwa upande mmoja, siku lilipo katika hadi ile nerve ilikuwa exposed, sikwenda hospital likapona ila sasa kumbe kupitia ile nerve likaanza kuoza, likajenga tundu katikati, likaendelea mwaka huu likaanza kupasuka, maana limeoza ndani, kutokana na vhakula kuwa kinaingia, nikaamua kwenda hospitali, nilienda hospitali moja ipo maeneo ya posta nikaambiwa hapo nitoe niwekewe jino jipya kwa tsh 800000/= mbali na matibabu na vitu kama ivo. Nikasepa.

Nikaenda Regency, wakanambia jino 250000/= ni lazima ning'oe kisha nikae na pengo mpka lipone alafu kwa miezi kama sita nitapewa jino la bandia la kuvaa na kutoa kisha baada ya hapo nichonge permanent kama nitapenda na ila permanent ni kama laki 400k hivi.

Nikaondoka nikaenda hospital nyingine kariakoo ki dispensary kidogo hivi, Dr akasafisha lile tundu, akanichoma sindano, akanipiga pamba ndani, kisha akanambia niendr baada ya siku tatu atoe ile pamba, ang'oe jino, achukue kipimo anichongee la bandia la kudumu, bei yake tsh 70 elfu kufanyiwa kila kitu, nikaodoka

Nilipofika home sikuridhika maana kila hospital nilipita nikakuta maelezo mapya, kesho yake nikaelekea msasani kuna kio hospital cha meno pale, nilipofika nikamkuta yank mdogo tu nilipomuonesha jino, kwanza akanikaliza akaleta vitabu vya meno akaanza kunipa shule, jinsi jino lilivyo na linavyo athiriwa na kwa kuangalia jino langu nini kinaonekana, akanipiga x ray.. Akaona root yake ilivo

Baada ya hapo akatoa pamba niliowekewa k. Koo, aksema hapa hujafanya kitu, akasafisha jino lile tundu akafungia dawa, akajengea jino la cement akanipa vidonge akaniambia kanywe dose ikiisha uje. Siku iyo iyo akachukua kipimo cha jino.

Baada ya wiki nikarudi, akafumua ile cement nikafanyiwa root canal treatment, akasugua lile jino bila kung'oa mpk likabaki usawa wa fisi, akapachika jino jipya la kudumu la bandia, akanambia anisafishe kinywa, akasafisha jino moja moja.

Tulikaa masaa 6 akinishughulikia, akamaliza akanipa dawa na mouth wash, nikaondoka akanichaji kwa kila kitu tangu siku ya kwanza tsh 140000/= lak na arobaini tu. Nikashangaa. Nikawa mpya kinywani mpk leo

Yule jamaa ndie my best dentist nilieona anachukua muda wake mwingi kwa mteja kuelimisha na kumhudumia, amekuwa kama rafiki saizi na huwa nikija dar hapo ananiomba nipite anicheki meno
Mkuu naomba jina la hiyo hospitali
 
Mkuu tatizo kama hilo nilipata mwaka 2008 nilipata ajali ya pikipiki kati ya meno haya mawili ya mbele, moja lilikatika kipande kwa upande mmoja, siku lilipo katika hadi ile nerve ilikuwa exposed, sikwenda hospital likapona ila sasa kumbe kupitia ile nerve likaanza kuoza, likajenga tundu katikati, likaendelea mwaka huu likaanza kupasuka, maana limeoza ndani, kutokana na vhakula kuwa kinaingia, nikaamua kwenda hospitali, nilienda hospitali moja ipo maeneo ya posta nikaambiwa hapo nitoe niwekewe jino jipya kwa tsh 800000/= mbali na matibabu na vitu kama ivo. Nikasepa.

Nikaenda Regency, wakanambia jino 250000/= ni lazima ning'oe kisha nikae na pengo mpka lipone alafu kwa miezi kama sita nitapewa jino la bandia la kuvaa na kutoa kisha baada ya hapo nichonge permanent kama nitapenda na ila permanent ni kama laki 400k hivi.

Nikaondoka nikaenda hospital nyingine kariakoo ki dispensary kidogo hivi, Dr akasafisha lile tundu, akanichoma sindano, akanipiga pamba ndani, kisha akanambia niendr baada ya siku tatu atoe ile pamba, ang'oe jino, achukue kipimo anichongee la bandia la kudumu, bei yake tsh 70 elfu kufanyiwa kila kitu, nikaodoka

Nilipofika home sikuridhika maana kila hospital nilipita nikakuta maelezo mapya, kesho yake nikaelekea msasani kuna kio hospital cha meno pale, nilipofika nikamkuta yank mdogo tu nilipomuonesha jino, kwanza akanikaliza akaleta vitabu vya meno akaanza kunipa shule, jinsi jino lilivyo na linavyo athiriwa na kwa kuangalia jino langu nini kinaonekana, akanipiga x ray.. Akaona root yake ilivo

Baada ya hapo akatoa pamba niliowekewa k. Koo, aksema hapa hujafanya kitu, akasafisha jino lile tundu akafungia dawa, akajengea jino la cement akanipa vidonge akaniambia kanywe dose ikiisha uje. Siku iyo iyo akachukua kipimo cha jino.

Baada ya wiki nikarudi, akafumua ile cement nikafanyiwa root canal treatment, akasugua lile jino bila kung'oa mpk likabaki usawa wa fisi, akapachika jino jipya la kudumu la bandia, akanambia anisafishe kinywa, akasafisha jino moja moja.

Tulikaa masaa 6 akinishughulikia, akamaliza akanipa dawa na mouth wash, nikaondoka akanichaji kwa kila kitu tangu siku ya kwanza tsh 140000/= lak na arobaini tu. Nikashangaa. Nikawa mpya kinywani mpk leo

Yule jamaa ndie my best dentist nilieona anachukua muda wake mwingi kwa mteja kuelimisha na kumhudumia, amekuwa kama rafiki saizi na huwa nikija dar hapo ananiomba nipite anicheki meno
Mkuu naomba jina la hiyo hospitali
 
Sasa akikung'oa zikaisha kesho atatibu nini???? Lazima alinde ajira yake
 
Usiingize siasa katika kila kitu na always usijione kuwa ni victim wa mfumo tu. Change your outlook a little bit and take some personal responsibility. Jichunguze na uone wapi ulifanya maamuzi ambayo siyo sahihi at personal level; na unawezaje kujirekebisha. Kujiona tu wewe ni victim na kulaumu wanasiasa for everything won't help. You think the politicians care?

Hata huko Ulaya na Marekani ambako CCM haipo kuna wengi wanasugua visigino. Cha muhimu ni kutokata tamaa na kuchacharika regardless of the situation. Go be what you want to be. With a good mindset, creativity, hard work and good luck inawezekana. kuwalalamikia wanasiasa (whether CCM/CHDM or whoever will come haitakusaidia)
Maneno murua kabisa
 
H
kuna labaratory technician mmoja alikua naye mjanja mjanja,wakaampeleka maji ya ukwaju eti ndo mkojo.
akapima na kusema kuna UTI.
"kanunue dawa pale"Sina hamu nao kabisa hawa
AHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 
Mkuu tatizo kama hilo nilipata mwaka 2008 nilipata ajali ya pikipiki kati ya meno haya mawili ya mbele, moja lilikatika kipande kwa upande mmoja, siku lilipo katika hadi ile nerve ilikuwa exposed, sikwenda hospital likapona ila sasa kumbe kupitia ile nerve likaanza kuoza, likajenga tundu katikati, likaendelea mwaka huu likaanza kupasuka, maana limeoza ndani, kutokana na vhakula kuwa kinaingia, nikaamua kwenda hospitali, nilienda hospitali moja ipo maeneo ya posta nikaambiwa hapo nitoe niwekewe jino jipya kwa tsh 800000/= mbali na matibabu na vitu kama ivo. Nikasepa.

Nikaenda Regency, wakanambia jino 250000/= ni lazima ning'oe kisha nikae na pengo mpka lipone alafu kwa miezi kama sita nitapewa jino la bandia la kuvaa na kutoa kisha baada ya hapo nichonge permanent kama nitapenda na ila permanent ni kama laki 400k hivi.

Nikaondoka nikaenda hospital nyingine kariakoo ki dispensary kidogo hivi, Dr akasafisha lile tundu, akanichoma sindano, akanipiga pamba ndani, kisha akanambia niendr baada ya siku tatu atoe ile pamba, ang'oe jino, achukue kipimo anichongee la bandia la kudumu, bei yake tsh 70 elfu kufanyiwa kila kitu, nikaodoka

Nilipofika home sikuridhika maana kila hospital nilipita nikakuta maelezo mapya, kesho yake nikaelekea msasani kuna kio hospital cha meno pale, nilipofika nikamkuta yank mdogo tu nilipomuonesha jino, kwanza akanikaliza akaleta vitabu vya meno akaanza kunipa shule, jinsi jino lilivyo na linavyo athiriwa na kwa kuangalia jino langu nini kinaonekana, akanipiga x ray.. Akaona root yake ilivo

Baada ya hapo akatoa pamba niliowekewa k. Koo, aksema hapa hujafanya kitu, akasafisha jino lile tundu akafungia dawa, akajengea jino la cement akanipa vidonge akaniambia kanywe dose ikiisha uje. Siku iyo iyo akachukua kipimo cha jino.

Baada ya wiki nikarudi, akafumua ile cement nikafanyiwa root canal treatment, akasugua lile jino bila kung'oa mpk likabaki usawa wa fisi, akapachika jino jipya la kudumu la bandia, akanambia anisafishe kinywa, akasafisha jino moja moja.

Tulikaa masaa 6 akinishughulikia, akamaliza akanipa dawa na mouth wash, nikaondoka akanichaji kwa kila kitu tangu siku ya kwanza tsh 140000/= lak na arobaini tu. Nikashangaa. Nikawa mpya kinywani mpk leo

Yule jamaa ndie my best dentist nilieona anachukua muda wake mwingi kwa mteja kuelimisha na kumhudumia, amekuwa kama rafiki saizi na huwa nikija dar hapo ananiomba nipite anicheki meno
Namba zake naomba
 
Mkuu tatizo kama hilo nilipata mwaka 2008 nilipata ajali ya pikipiki kati ya meno haya mawili ya mbele, moja lilikatika kipande kwa upande mmoja, siku lilipo katika hadi ile nerve ilikuwa exposed, sikwenda hospital likapona ila sasa kumbe kupitia ile nerve likaanza kuoza, likajenga tundu katikati, likaendelea mwaka huu likaanza kupasuka, maana limeoza ndani, kutokana na vhakula kuwa kinaingia, nikaamua kwenda hospitali, nilienda hospitali moja ipo maeneo ya posta nikaambiwa hapo nitoe niwekewe jino jipya kwa tsh 800000/= mbali na matibabu na vitu kama ivo. Nikasepa.

Nikaenda Regency, wakanambia jino 250000/= ni lazima ning'oe kisha nikae na pengo mpka lipone alafu kwa miezi kama sita nitapewa jino la bandia la kuvaa na kutoa kisha baada ya hapo nichonge permanent kama nitapenda na ila permanent ni kama laki 400k hivi.

Nikaondoka nikaenda hospital nyingine kariakoo ki dispensary kidogo hivi, Dr akasafisha lile tundu, akanichoma sindano, akanipiga pamba ndani, kisha akanambia niendr baada ya siku tatu atoe ile pamba, ang'oe jino, achukue kipimo anichongee la bandia la kudumu, bei yake tsh 70 elfu kufanyiwa kila kitu, nikaodoka

Nilipofika home sikuridhika maana kila hospital nilipita nikakuta maelezo mapya, kesho yake nikaelekea msasani kuna kio hospital cha meno pale, nilipofika nikamkuta yank mdogo tu nilipomuonesha jino, kwanza akanikaliza akaleta vitabu vya meno akaanza kunipa shule, jinsi jino lilivyo na linavyo athiriwa na kwa kuangalia jino langu nini kinaonekana, akanipiga x ray.. Akaona root yake ilivo

Baada ya hapo akatoa pamba niliowekewa k. Koo, aksema hapa hujafanya kitu, akasafisha jino lile tundu akafungia dawa, akajengea jino la cement akanipa vidonge akaniambia kanywe dose ikiisha uje. Siku iyo iyo akachukua kipimo cha jino.

Baada ya wiki nikarudi, akafumua ile cement nikafanyiwa root canal treatment, akasugua lile jino bila kung'oa mpk likabaki usawa wa fisi, akapachika jino jipya la kudumu la bandia, akanambia anisafishe kinywa, akasafisha jino moja moja.

Tulikaa masaa 6 akinishughulikia, akamaliza akanipa dawa na mouth wash, nikaondoka akanichaji kwa kila kitu tangu siku ya kwanza tsh 140000/= lak na arobaini tu. Nikashangaa. Nikawa mpya kinywani mpk leo

Yule jamaa ndie my best dentist nilieona anachukua muda wake mwingi kwa mteja kuelimisha na kumhudumia, amekuwa kama rafiki saizi na huwa nikija dar hapo ananiomba nipite anicheki meno
Mkuu wasiliana nae akupe go ahead. Tunamatatizo makubwa ya kinywa tunahitaji usaidizi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom