Daktari: Ulaya kamwe hawang'oi meno, wanakarabati


Unaweza ku-pm contacts zake na wapi yupo huyu dr.
 
 
Sasa bongo hosp nzuri ya meno kufanya root canala na braces wapi wakuu?? Msaada
 
Hapa ntajifunza mengi...kuna mgojwa wa meno maeneo yetu hadi namuhurumia.
 
Mi naomba msaada kwa dentist yeyote kwani naona fizi(gums) zangu zinalika na kuisha mpaka meno ya nyuma yamesimama yenyewe sasa sijui nifanyeje
 
Hizo bei yaani hapa nna jino nalibembeleza.nikila sukari au kitu chochote cha ngano linauma. Nikila nyama kama ni ngumu ndo usiseme silaki usiku. Najipanga nipate bima ndo ning'oe.hela ndeefu ughaibuni
 
Nimeziba jino nikiwa england kwa pound 50 siku hiyohiyo nilianza kula lakini hapa bongo ni balaa wiki nzima huwezi kula.
 
Anayejua hospital nzur arusha inayosafisha meno na kuwa meupe anijuze
 
Mimi nang'oa jino kwa Dr Muya pale Kumbukumbu Morocco ,Kinondoni kwa bei ya kawaida tu lakini kwa utaalamu wa hali ya juu.
 
Mi naomba msaada kwa dentist yeyote kwani naona fizi(gums) zangu zinalika na kuisha mpaka meno ya nyuma yamesimama yenyewe sasa sijui nifanyeje
Kama upo Dar jaribu pale kwa Dr Muya Morocco Kinondoni karibu na makao makuu ya Airtel
 
Hizo bei yaani hapa nna jino nalibembeleza.nikila sukari au kitu chochote cha ngano linauma. Nikila nyama kama ni ngumu ndo usiseme silaki usiku. Najipanga nipate bima ndo ning'oe.hela ndeefu ughaibuni

we ka mm asee,,ni nouma
 
Wadau Hiyo teknolojia sio mpya hapa Tanzania,ipo kwenye hospitali nyingi tu za wahindi hapa Dar es salaam.Kuna ndugu yangu alikuwa na mawazo kama hayo lakini tiba ya namna hiyo ameipata hapa hapa Dar na huu ni mwaka wa 6 sasa sijamsikia akilalamikia jino.Tafadhari acheni kupotosha,Inawezekana kuwa hospitali zetu za taifa na za kiswahili na kisanii ndiyo majanga lakini utalaam huo upo hapa kwa muda mrefu sana.
 

Excellent piece of advice. The minute you start blaming someone for your problems you are declaring defeat. The only person who can make you succeed is yourself. u only need Persistence, courage and open mindset towards life.
 
Dumelang, Tafadhali na mimi naomba mawasiliano ya huyu DR. wako. Mama yangu anahitaji hasa msaada kwenye hili. Please!
 
Dumelang weka contact za huyo dentist, mzazi wangu meno yanamsumbua nahitaji kumpeleka huko.
 
Dumelang weka contact za huyo dentist, mzazi wangu meno yanamsumbua nahitaji kumpeleka huko.

Ni vema mkaja private kama wengine walivofanya, sijisikii kuweka namba ya mtu hapa hadharani kabla yeye hajataka iwe ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…