Daktari: Ulaya kamwe hawang'oi meno, wanakarabati

Naomba namba yake mkuu, au nitumie kwa namba yangu 0715445846,

Nina pengo nahitaji kuweka jino jingine,

Na kuna rafiki yangu ana jino limetoboka liko nusu
 
Mkuu naomba jina la hiyo hospitali
 
Mkuu naomba jina la hiyo hospitali
 
Sasa akikung'oa zikaisha kesho atatibu nini???? Lazima alinde ajira yake
 
Maneno murua kabisa
 
H
kuna labaratory technician mmoja alikua naye mjanja mjanja,wakaampeleka maji ya ukwaju eti ndo mkojo.
akapima na kusema kuna UTI.
"kanunue dawa pale"Sina hamu nao kabisa hawa
AHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 
Namba zake naomba
 
Mkuu wasiliana nae akupe go ahead. Tunamatatizo makubwa ya kinywa tunahitaji usaidizi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…