Daktari wa Hospitali ya Amana asomewa mashtaka ya ubakaji, ulawiti

Daktari wa Hospitali ya Amana asomewa mashtaka ya ubakaji, ulawiti

Kuna sheria Kama hiyo aliyoitaja but nafikiri age 16yrs inaruhusiwa kufunga ndoa ila ilidhiwe na wazazi na binti mwenyewe. Hii sheria wanaharakati wa mambo ya jinsia wanailalamikia kwa kuwa inapishana na tafsiri ya neno mtoto.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inaruhusu msichana wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.
 
Usikimbilie tu kutukana watu wajinga, hii dunia ina mambo mengi na kumbuka hujafa hujaumbika!

Kesi ya ubakaji inapohusisha nyumba ya kulala wageni, hizo ni dalili za kesi ya mchongo.
Huyo binti alienda kufanya nini kwenye vyumba vya gesti? Miaka 17 kwa binti ni anaelewa kila kitu, siyo mtoto huyo, anajua gesti wanafanyaga nini, aliingia vyumbani kufanya nini?

Binti wa miaka 17 kama ana mwili, anaonekana mkubwa tu, utajuaje kwamba ni under 18, kwani wanatembea na vyeti vya kuzaliwa?

Hizi kesi ni sahihi kwa wanafunzi, kama siyo mwanafunzi miaka 17 vingi ni vimalaya tu vilishakubuhu, huwezi kumkuta binti umri huo bikra kama hasomi shule.

Huyo daktari anatuhumiwa kumbaka zaidi ya mara moja kwa nyakati tofauti, ilikuwaje alikuwa hatoi taarifa mara zote hizo na wanaendelea kukutana kwa ajili ya ngono? Hujiulizi kwamba inawezekana walipishana makubaliano, au wazazi walipogundua wakamshinikiza binti kushtaki?

Ndugu, usikilimbilie kujidai una uchungu sana, hii kesi ina dalili zote za mchongo!
We jamaa huna akili kabisa,Ni bonge la jingaaa,

Inaonekana huyo dokta Ni bwanako sio?

Kwann unasema kesi ya mchongo? Kama unasema binti wa miaka 17 Wengine Wana miili mikubwa huwezi kujua Kama ni mdogo, kwahiyo kumbe hata gesti ukiendanae hawawezi kuweka mashaka maana watahisi ni mkubwa tu, acheni kutetea upuuzi wajinga nyie,acha polisi na mahakama wafanye kazi yao
 
Usikimbilie tu kutukana watu wajinga, hii dunia ina mambo mengi na kumbuka hujafa hujaumbika!

Kesi ya ubakaji inapohusisha nyumba ya kulala wageni, hizo ni dalili za kesi ya mchongo.
Huyo binti alienda kufanya nini kwenye vyumba vya gesti? Miaka 17 kwa binti ni anaelewa kila kitu, siyo mtoto huyo, anajua gesti wanafanyaga nini, aliingia vyumbani kufanya nini?

Binti wa miaka 17 kama ana mwili, anaonekana mkubwa tu, utajuaje kwamba ni under 18, kwani wanatembea na vyeti vya kuzaliwa?

Hizi kesi ni sahihi kwa wanafunzi, kama siyo mwanafunzi miaka 17 vingi ni vimalaya tu vilishakubuhu, huwezi kumkuta binti umri huo bikra kama hasomi shule.

Huyo daktari anatuhumiwa kumbaka zaidi ya mara moja kwa nyakati tofauti, ilikuwaje alikuwa hatoi taarifa mara zote hizo na wanaendelea kukutana kwa ajili ya ngono? Hujiulizi kwamba inawezekana walipishana makubaliano, au wazazi walipogundua wakamshinikiza binti kushtaki?

Ndugu, usikilimbilie kujidai una uchungu sana, hii kesi ina dalili zote za mchongo!
Ndugu, hakuna uhusiano wa kimapenzi baina na mtu mzima na mtoto wa miaka 17,hata kama alikutongoza yeye huyo ukitembea nae ni ubakaji tu,mambo ya kusema tulikubaliana hayapo,kama ana umbo kubwa ni kazi yako kujua umri wake sahihi ili sheria isikuangukie
 
Hiyo kesi ni ngumu na ya kufedhehesha sana pengine LABDA daktari alikua na mahusiano na binti na ikaja kugundulika kwa wazazi wa binti, wakambananisha binti akaongea yote sasa wakaona wamuangushie jumba bovu daktari kwamba alibaka.

Kwa trend hiyo kwamba Kabakwa na kulawitiwa February 2022, mtu huyo huyo karudia tena kubakwa mei 31,2022 tena kabakwa nyumba ya wageni iliyopo temeke. Kwa nini asingeenda kushtaki hiyo hiyo february mara baada ya kubakwa mara ya kwanza? Hapo inawezekana kulikua na makubaliano japo daktari kafanya kosa kubwa sana kula mgonjwa wake
hakuna cha jumba bovu mkuu, ukitembea na binti wa maka chini ya 18 sheria inatambua kuwa umebaka haijalishi mlikubaliana ama lah mkuu, mambo yako hivyo, huyo dogo ana miaka 17 ndio hapo shughuli ilipoanzia na kuwa ngumu, km ushahidi ukiwa hauna dosari jamaa ataenda na maji
 
Hiyo kesi ni ngumu na ya kufedhehesha sana pengine LABDA daktari alikua na mahusiano na binti na ikaja kugundulika kwa wazazi wa binti, wakambananisha binti akaongea yote sasa wakaona wamuangushie jumba bovu daktari kwamba alibaka.

Kwa trend hiyo kwamba Kabakwa na kulawitiwa February 2022, mtu huyo huyo karudia tena kubakwa mei 31,2022 tena kabakwa nyumba ya wageni iliyopo temeke. Kwa nini asingeenda kushtaki hiyo hiyo february mara baada ya kubakwa mara ya kwanza? Hapo inawezekana kulikua na makubaliano japo daktari kafanya kosa kubwa sana kula mgonjwa wake
Huelewi sheria wewe? Kufanya mapenzi na underage ni ubakaji, haijalishi alikukubalia au la.
 
ina maana hadi hapo hujaelewa kwamba hakuna ushahidi..? Evidence inayohitajika hapo ni cheti cha Daktari kikionyesha kwamba ni kweli binti kabakwa... Na hiyo ithibitike siku ya kufanya mapenz 1. HAKUOGA ILI KUFUTA USHAHIDI 2. ALIENDA POLISI KUCHUKIA P3 NA KUFUNGUA RB. sasa niambie ktk mazingira ya kawaida tu haya yalifanyika..? Hiyo kesi nakuambia ukweli wazaz ndio wanaisukuma ila haina mashiko
Upelelezi umeshakamika wewe unasema hakuna ushahidi?mbaya zaidi huyu amebaka na kulawiti,hapo huyo mtoto hata akipimwa huko nyuma leo vipimo vitaonyesha tu kama amewahi kuingiliwa,kazi inabaki ndogo tu,na kama alikuwa anakutana Gest hapo lazima walikuwa wanawasiliana kwa simu au kuna mtu wa kati.
 
Hiyo kesi ni ngumu na ya kufedhehesha sana pengine LABDA daktari alikua na mahusiano na binti na ikaja kugundulika kwa wazazi wa binti, wakambananisha binti akaongea yote sasa wakaona wamuangushie jumba bovu daktari kwamba alibaka.

Kwa trend hiyo kwamba Kabakwa na kulawitiwa February 2022, mtu huyo huyo karudia tena kubakwa mei 31,2022 tena kabakwa nyumba ya wageni iliyopo temeke. Kwa nini asingeenda kushtaki hiyo hiyo february mara baada ya kubakwa mara ya kwanza? Hapo inawezekana kulikua na makubaliano japo daktari kafanya kosa kubwa sana kula mgonjwa wake
Hiyo awamu ya pili nazani sasa ni ya hiari
 
Kubakwa sio lazima aende polisi kuchukua RB ama daktari aweke kipimo.

Hapo ubakaji ni kitendo cha mtu mzima kuwa na mahusiano ya kingono na binti chini ya miaka 18 ambaye sio mke wako.

Ushahidi unaotakiwa hapo ni kujua je ni kweli daktari na huyo binti under age walikuwa na mahusiano ya kingono.

Ushahidi sio lazima kipimo cha daktari. Hata kitendo cha kuonekana gesti na huyo binti ni ushahidi wa kimazingira unaotosha kuprove kwamba daktari na binti huyo walikuwa na mahusiano ya kimapenzi. Swali Dr Gesti alifuata nini akiwa na huyo binti mdogo ?

Pia makampuni ya simu yatatoa ushahidi wa mawasiliano yao ya kupigiana simu na sms kama ni mtu na mpenzi wake ama nini

Binti atatoa ushahidi wake, watu wa gest watatoa wao, wazee wa baraza la mahakama watatoa maoni yao. Hakimu nae atatoa hukumu kwa kuunganisha dots tu.
Waambie ndugu yangu. Kuna watu wanaandika bila kutafakari hata kidogo. Akili finyu na ubishi mwingi.
 
Nchi ipo kwenye vurugu....mwanajeshi kajinyonga, polisi kajinyonga, mwalimu kalawiti, daktari kalawiti....st John mwamba kaua nchi haipoi
 
Uzi umemtambulisha suspect kama ni Dr.,sasa wewe unatuambia ni nurse why?,hivi medical Assistance wanatambulishwaje?
Uzi umeandikwa na mtu mzembe na mvivu wa kujua. Medical assistant si medical assistant, usiniambie na wewe ni mbulula kiasi hicho. Mimi pamoja na kuwa sio kada ya afya nimesoma na nina marafiki huko, daktari ni mhitimu wa shahada ya medicine yani degree na kuendelea. Hao wengine ni nyie wajinga tu ndio mnawapa hadhi wasionazo kuharibu taaluma za watu.
 
Mkuu,Hapa kinachozungumziwa ni sheria sio mazoea yaliyopo mtaani,siku yakikufika ndio utajua sheria inafanya kazi wala sio utani
Ndugu, hakuna uhusiano wa kimapenzi baina na mtu mzima na mtoto wa miaka 17,hata kama alikutongoza yeye huyo ukitembea nae ni ubakaji tu,mambo ya kusema tulikubaliana hayapo,kama ana umbo kubwa ni kazi yako kujua umri wake sahihi ili sheria isikuangukie
Uko sahihi. Ninachomaanisha ninaposema mchongo, hao walikuwa ni mtu na mpenzi wake, something went wrong, kisha wakaamua kumpeleka jamaa mahakamani.

Umenielewa? Yaani ni kama vile mnapiga dili haramu pamoja, halafu mkageukana na kuanza kuchomeana kwa cops.
 
We jamaa huna akili kabisa,Ni bonge la jingaaa,

Inaonekana huyo dokta Ni bwanako sio?

Kwann unasema kesi ya mchongo? Kama unasema binti wa miaka 17 Wengine Wana miili mikubwa huwezi kujua Kama ni mdogo, kwahiyo kumbe hata gesti ukiendanae hawawezi kuweka mashaka maana watahisi ni mkubwa tu, acheni kutetea upuuzi wajinga nyie,acha polisi na mahakama wafanye kazi yao
Wewe umejiunga JF mwaka huu siyo? Ulitakiwa kubisha hodi kwenye jukwaa la wageni tukukaribishe, tukufahamishe JF ni nini.

Hapa sio mahala pa watu wa hovyo tu wanaoropoka kama watu wasiojitambua. Hapa huwa tunajadiliana kwa kuheshimiana. Hata hivyo, karibu sana Jamiiforums.
 
Kalienda kutoa mimba jamaa akakasaidia kisha akawa anapumzika kabla ya kudakwa.
 
Hiyo kesi ni ngumu na ya kufedhehesha sana pengine LABDA daktari alikua na mahusiano na binti na ikaja kugundulika kwa wazazi wa binti, wakambananisha binti akaongea yote sasa wakaona wamuangushie jumba bovu daktari kwamba alibaka.

Kwa trend hiyo kwamba Kabakwa na kulawitiwa February 2022, mtu huyo huyo karudia tena kubakwa mei 31,2022 tena kabakwa nyumba ya wageni iliyopo temeke. Kwa nini asingeenda kushtaki hiyo hiyo february mara baada ya kubakwa mara ya kwanza? Hapo inawezekana kulikua na makubaliano japo daktari kafanya kosa kubwa sana kula mgonjwa wake
Hivi kwani wanatembea na vyeti vya kuzaliwa? Maana mitoto ya sasa hivi ina miaka 14 tu unakuta toto hilooo. Sasa kama nimemkuta kavaa dela anasura ya kiutu uzima na ameelewa mchezo, shida ako wapi hapo?
Hizi sheria ziangaliwe tena
 
Sheria inatambua hivyo. Ukitembea na binti chini ya miaka 18 hata akama amekubali mwenyewe maana yake umembaka kwa kumrubuni.
Inaitwa Statutory Rape.

Hata kama amekubali na yupo chini ya umri wa miaka 18 ni ubakaji.
 
Ni MUUGUZI. watanzania siamini kama bado ni wapumbavu mpaka hatujui tofauti za muuguzi na daktari hadi leo 2022. Kazi
Madokta bwana na "steriotype" zenu,
Ni daktari mwenzenu huyo na ni specialist kabisa!
 
Back
Top Bottom