Daktari wa Hospitali ya Amana asomewa mashtaka ya ubakaji, ulawiti

Daktari wa Hospitali ya Amana asomewa mashtaka ya ubakaji, ulawiti

Mkuu nipo mkoani Ruvuma,wilaya ya Namtumbo kijiji cha lingusenguse, vitu viwili vibaya haviwezi kutengeneza kitu kimoja bora, hakuna sex ya makubaliano na under age, na wewe kitendo cha kuwaita binti zetu,dada zetu,mama zetu Malaya inaonyesha ni jinsi gani ulikosa malefic yenye upendo kutoka kwa wazazi wako,respect women mkuu
Hakuna sex ya makubaliano na under age ndio kusemaje? Huyo under age akidanganywa na chipsi kuku akaenda kulala na muuza chipsi hayo siyo makubaliano?

Sema kwamba ni kosa la jinai hata kama mmekubaliana, hapo nitakuelewa.

Hutaki binti zetu, dada zetu na mama zetu waitwe malaya, tutumie jina gani? Wanawake na mabinti wanaofanya biashara ya ngono huko Namtumbo hawapo? Mnawaitaje?
 
Mabinti wenyewe ndio hawa wenyr tatoos za nyota tatu shingoni,mikononi na mabegani? Chini wana viatu vya manyoya na kichwani wana bleach......!

Ukiwatongoza wanakuuliza unataka mchanganyo au kawaida!??

Dokta kaona isiwe tabu kapiga mchanganyo tu!!

Swali la kujiuliza ilikuwaje huyo anayeitwa "mtoto" akubali zaidi ya mara moja kuingia guest na huyo dokta?? Sio kwamba walikuwa na mahusiano ya kimapenzi??!!! Sasa kanyimwa na ya kutolea ndio kaamua aanzishe kesi
Si justification ya kutembea na underage, Tembeeni nao ila likikukumba utalia na wa kwenu.
 
Mnataka mahindi mateke teke, sawa
Hamna uteke hapo...Mimi niligomaga kabisa kuwapa lift hawa wanafunzi wa kike kwa tabia zao za ajabu.
Ukiwa hujielewi unatumbukia kufanya na katoto ka form3......
Kwa ujumla mamndenyi baadhi yao wameshindikanaaa
 
Huyo binti alikuwa mpenzi wa daktari na wanagongana kama kawaida.

Shida sheria inatambua binti chini ya miaka 18 kama mtoto. Na hata akikubali mwenyewe bado inaonekana wewe mkubwa umembaka
Sheria ya ndoa inataja umri wa kuolewa binti ni miaka 14 sasa ataolewa bila kupigwa mpini?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Bora utembee na changu doa Mara Mia kuliko Hawa under 18.
Kuna mzee mwenye Rav 4 yake Safi alichukua mwanafunzi mwenye yunifom akaingia naye gesti. Wahuni walipomuona wakaona huu Ni utajiri nje nje. Wakamfuata mzee na kumwambia wao Ni polisi wanahitaji wampeleke mzee kituoni kwa kosa lakutembea na mtoto wa shule.
Mzee mwenyewe ndio aliomba wayazungumze.....
Aliyopewa upepo hata kilichompeleka gesti hakukifanya.
 
Sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwake na kwa watu wenye tabisa kama yake.
 
huyo dokta alipaswa ahasiwe kabisa, hakupaswa hata kupewa dhamana.

anafaa kutengwa na jamiii, nchi zingine huwa kesi kama hizi hazicheleweshwi.
Vibinti vyenyewe vya miaka 17 vya dar umeviona???vinaweza kusimama na mke wako akaonekana yeye ndo mtoto.
 
Wadogo ni watamu na ni Mnato ila sasa

Inabidi uwe makini sana na macho ya watu na jamuhuri
 
Mbona kuna watu under 18 kibao wanajiuza. Au tunajisahaulisha wananchi?
 
Sheria inatambua hivyo. Ukitembea na binti chini ya miaka 18 hata akama amekubali mwenyewe maana yake umembaka kwa kumrubuni.
Lakini sheria hiyohiyo inaruhusu mtoto wa umri wa miaka 15 kuolewa endapo wazazi wa pande zote mbili wameridhia
 
mara daktari mara muuguzi huu uzi haujakaa sawa , by the way wao ndio wanatoa taarifa ya kitabibu kama mtu aliingiliwa ama lah hiyo imeisha hiyo hakuna kesi hapo
 
Dkt. Joseph Mwaipola ambaye ni mtumishi wa Hospitali ya Amana Mkoani Dar es Salaam, leo Septemba 9, 2022 amefikishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka matatu yakiwemo kumbaka mtoto wa miaka 17.

Shitaka hilo limesikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Yusto Ruboroga ambapo mashitaka yamesomwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Sylvia Mitanto.

Shtaka la kwanza ni ubakaji, Wakili Sylvia amedai mshitakiwa alitenda kosa hilo Februari 2022 katika Hospitali ya Amana.

Shtaka la pili inadaiwa Mei 31, 2022 akiwa katika nyumba ya wageni ya Pazuri iliyoko Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, mshitakiwa alimbaka binti huyo.

Shtaka la tatu ni kulawiti, mshitakiwa anadaiwa alitenda kosa Februari 2022 katika Hospitali ya Amana, ambapo alimlawiti binti huyo.

Mshtakiwa amekana mashtaka, upande wa mashitaka umeeleza kuwa upelelezi wa shauri hilo umekamilika na unaomba tarehe ya kumsomea maelezo ya awali.

Hakimu Roboroga ametoa masharti ya dhamana kuwa mshtakiwa anatakiwa kuwa na wadhamini wawili wenye barua ya utambulisho pamoja na Vitambulisho vya kura au vya kazi watakaotia saini dhamana ya Tsh. milioni tano.

Mshtakiwa aliweza kutimiza masharti ya dhamana, hivyo yuko nje kwa dhamana, kesi itatajwa Oktoba 5, 2022 kwa ajili ya kumsomea maelezo ya awali (PH).
..Alimbaka...wakiwa Guest House? Binti aliingiaje humo? Sio Mabaliano Wawili? Kuna Mchezo Unaochezwa Hapo?
 
amezamia mtubwi wa vibwengo! kesi kama hizi ndio zinatrend hapo mambele watu maarufu na wenye pesa wanashidwa kuruka huu mtego naona bongo mabinti nao wameanza tumika ni kosa kuwa na mahusiano na watoto..Ova
 
Back
Top Bottom