6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
Za asubuhi ndugu zangu, inasemekana kuna daladala linawaka moto sasa hivi mitaa ya Kimara baruti, jijini Dar es Salaam. Chanzo cha moto hakijajulikana, ila taarifa kamili itapopatikana tutajulishana kwa kadri iwezekanavyo.
=====
Daladala inayofanya kazi njia ya Temeke Mbezi imeteketea kwa moto eneo la Kimara Baruti leo Septemba 14, 2022 huku chanzo cha moto huo hakikufahamika.
Video: Mwananchi
=====
Daladala inayofanya kazi njia ya Temeke Mbezi imeteketea kwa moto eneo la Kimara Baruti leo Septemba 14, 2022 huku chanzo cha moto huo hakikufahamika.
Video: Mwananchi