Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Sasa hii ya Mbezi imefeli.Hizi nyingine zinazojengwa za nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sgr naionaaa nayo ileeeeeWatanzania kitu tumeshindwa kwa kweli
LATRA wametoa mkeka mpya ukionesha kutoa ruhusa kwa mabasi makubwa ya abiria kuanza kufanya safari zake katikati ya jiji kutokea stendi ya Mbezi Louis.
Kwa muda mrefu sasa mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini dar-es-salaam umeonesha kukwama/kushindwa/kuhemewa/kufeli kutoa huduma kwa wakazi wa jijini dar-es-salaam waendao katikati ya jiji kutokea Mbezi-Louis...hali iliyopelekea watu wengi kuchelewa kufika katika shughuli zao za ujenzi wa taifa kutokana n uchache wa mabasi yaliyopo katika mradi wa mwendokasi (UDART).
LATRA imeshatoa ruhusa kwa wamiliki wa mabasi kwenda kuomba leseni ya kubeba abiria kutokea mbezi-louis kuelekea mnazi mmoja ili kusaidia kupunguza adha ya usafiri jijini Dar-es-salaam iliyochangiwa na huduma mbovu za UDART.View attachment 2920148
Sasa utawafuatilia ngedere kwani unaishi nao?!!Watanzania kitu tunaweza ni umbea na kufatilia maisha ya watu!
Me naeona bwawe le mwalimo..!!Sgr naionaaa nayo ileeeee
Ova
Kwani zilikuwepo zikatolewa na awamu hii?hii awamu kwani inaweza nn?
wale wanaongoza ni warundi?Tofautisha watanzania na serikali ya CCM
Usitubeze, huwa hatushindwi kukimbia na maboksi ya kura halafu baadae tunayarudishaWatanzania kitu tumeshindwa kwa kweli
Ndo kutakuwa na msongamano, foleni hatari😁
Bongo kweli nyoso, walipokuwa wanajenga BRT waliondoa vituo vyote vya daladala...
Sasa wanarudisha daladala na vituo hakuna...
Safi sana.. tena hili limechelewa sanaLATRA wametoa mkeka mpya ukionesha kutoa ruhusa kwa mabasi makubwa ya abiria kuanza kufanya safari zake katikati ya jiji kutokea stendi ya Mbezi Louis.
Kwa muda mrefu sasa mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini dar-es-salaam umeonesha kukwama/kushindwa/kuhemewa/kufeli kutoa huduma kwa wakazi wa jijini dar-es-salaam waendao katikati ya jiji kutokea Mbezi-Louis...hali iliyopelekea watu wengi kuchelewa kufika katika shughuli zao za ujenzi wa taifa kutokana n uchache wa mabasi yaliyopo katika mradi wa mwendokasi (UDART).
LATRA imeshatoa ruhusa kwa wamiliki wa mabasi kwenda kuomba leseni ya kubeba abiria kutokea mbezi-louis kuelekea mnazi mmoja ili kusaidia kupunguza adha ya usafiri jijini Dar-es-salaam iliyochangiwa na huduma mbovu za UDART.View attachment 2920148
Umesahau utapeli 🤣Watanzania kitu tunaweza ni umbea na kufatilia maisha ya watu!
Hayo magari yana kula sana mafuta ndio kilicho wafelisha ila kuna jaama alishauri watunie TATA naona wamefeli pia.LATRA wametoa mkeka mpya ukionesha kutoa ruhusa kwa mabasi makubwa ya abiria kuanza kufanya safari zake katikati ya jiji kutokea stendi ya Mbezi Louis.
Kwa muda mrefu sasa mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini dar-es-salaam umeonesha kukwama/kushindwa/kuhemewa/kufeli kutoa huduma kwa wakazi wa jijini dar-es-salaam waendao katikati ya jiji kutokea Mbezi-Louis...hali iliyopelekea watu wengi kuchelewa kufika katika shughuli zao za ujenzi wa taifa kutokana n uchache wa mabasi yaliyopo katika mradi wa mwendokasi (UDART).
LATRA imeshatoa ruhusa kwa wamiliki wa mabasi kwenda kuomba leseni ya kubeba abiria kutokea mbezi-louis kuelekea mnazi mmoja ili kusaidia kupunguza adha ya usafiri jijini Dar-es-salaam iliyochangiwa na huduma mbovu za UDART.View attachment 2920148
wale wanaongoza ni warundi?
SahihiWalilijua hilo ndio maana wakazuia usafiri wa daladala.