Daladala rasmi kurudi upya katikati ya Jiji la Dar-es-salaam mara baada ya mradi wa mwendokasi kushindwa kutoa huduma ipasavyo

Daladala rasmi kurudi upya katikati ya Jiji la Dar-es-salaam mara baada ya mradi wa mwendokasi kushindwa kutoa huduma ipasavyo

uchache wa mabasi yaliyopo katika mradi wa mwendokasi (UDART).

31 May 2024
Dar es Salaam, Tanzania

UDART waoneshwa basi jipya

Kayoola EVS lililounganishwa Uganda, basi rafiki kwa mazigira


View: https://m.youtube.com/watch?v=5VkRRJANS8c
Furahia mandhari ya kuvutia ya jiji la Dar es Salaam Tanzania huku ukitumia usafiri wa basi la kisasa aina ya #KayoolaEVS , inayokupa safari mwanana na ukishuhudia matukio yasiyosahaulika katika barabara za kisasa na nzuri za jiji hili kubwa kupita yote Afrika ya Mashariki yaani jiji la Dar es Salaam.

Experience Tanzania's breathtaking beauty effortlessly with the #KayoolaEVS, offering seamless journeys and unforgettable adventures through stunning landscapes.

View: https://m.youtube.com/watch?v=RaSEEDmN8Jw
 
Back
Top Bottom