Hata mimi nawaza, jana nilienda Gongolamboto, naona speed ya ujenzi ni kubwa. Zinajengwa za nini kama hii pilot test imefeli? Wangeachana nayo tu tuendelee na daladala zetu, kwanza mtanzania ameshazoea maisha magumu.Sasa hii ya Mbezi imefeli.Hizi nyingine zinazojengwa za nn
Hakika nchi inasikitisha sana hii.😁
Bongo kweli nyoso, walipokuwa wanajenga BRT waliondoa vituo vyote vya daladala...
Sasa wanarudisha daladala na vituo hakuna...
wanayo yao mkuuKuanzia DZA? Mawazo ya kimaskini kazini. Wasichojua: gari, matunzo.
Ila inabidi wasifanye tena ule ujinga wa kusubiri watu vituoni muda mrefu kiasi ambacho wakiona mtu yuko bafuni anaoga, wanamwambia dereva asubiri abiria.Walilijua hilo ndio maana wakazuia usafiri wa daladala.
Hahaha waruhusu tupite mwendokasiLATRA wametoa mkeka mpya ukionesha kutoa ruhusa kwa mabasi makubwa ya abiria kuanza kufanya safari zake katikati ya jiji kutokea stendi ya Mbezi Louis.
Kwa muda mrefu sasa mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini dar-es-salaam umeonesha kukwama/kushindwa/kuhemewa/kufeli kutoa huduma kwa wakazi wa jijini dar-es-salaam waendao katikati ya jiji kutokea Mbezi-Louis...hali iliyopelekea watu wengi kuchelewa kufika katika shughuli zao za ujenzi wa taifa kutokana n uchache wa mabasi yaliyopo katika mradi wa mwendokasi (UDART).
LATRA imeshatoa ruhusa kwa wamiliki wa mabasi kwenda kuomba leseni ya kubeba abiria kutokea mbezi-louis kuelekea mnazi mmoja ili kusaidia kupunguza adha ya usafiri jijini Dar-es-salaam iliyochangiwa na huduma mbovu za UDART.View attachment 2920148
Inashangaza sana hii kituKuanzia DZA? Mawazo ya kimaskini kazini. Wasichojua: gari, matunzo.
Wee daladala kulitunza labda utunze injini ila muonekano ishu sana aseee Ukute TATA namba DBK au CZV ipo vizuri kumuonekano huo ni uongo....Kuanzia DZA? Mawazo ya kimaskini kazini. Wasichojua: gari, matunzo.
Wee daladala kulitunza labda utunze injini ila muonekano ishu sana aseee Ukute TATA namba DBK au CZV ipo vizuri kumuonekano huo ni uongo....
Inawezekana wanapigia connection watu flan usishange zote zikawa namba EYa nini kuandikia mate na kuweka vigezo visivyo na msingi? Si yakakaguliwe tu?
Inawezekana wanapigia connection watu flan usishange zote zikawa namba E
si imeandikwa hapo si usome tangazo?wacha uvivu,wacha kuwa kupe.Swali, Je ni njia ipi itatumika? Hii ya mwendokasi au foleni itahamishiwa kwenye barabara ya "wote"? Maana tunaijua adha ya daladala kusimama kila mahali.
Wewe umeelewa swali langu?si imeandikwa hapo si usome tangazo?wacha uvivu,wacha kuwa kupe.