Daladala ziruhusiwe kupita Barabara za Mwendokasi Dar es Salaam

Daladala ziruhusiwe kupita Barabara za Mwendokasi Dar es Salaam

Yeah, safari moja mpaka atakapo exit kwenye mwendo kasi. Kuliko kuzuia kabisa watu wasiitumie ni bora wangeweka tolls wakapata hela.
Ni kweli Mara ingine Unasubiri basi saa nzima halijatokea la Mwendokasi hasa njia ya kimara muda huo magari kibao private yangekuwa yamelipia road Toll yalishafika kimara siku nyingi kuliko barabara kukaa idle saa nzima Hakuna basi na barabara haiingizi chochote
 
Barabara yote hii kwa magari mawili tu ya mwendo kasi ni ubadhilifu, no value for money. Duniani kote hakuna vituo vya mabasi wala treni inavyowekwa karibu karibu barabarani kama hapa kwetu.
Usijali " ukuwaji/growth " ndiyo itaamuwa itumike vipi... bilashaka wataongeza mabasi au treni za mustakabali Ambazo zitatumia Barbara hizo kama ilivyo Istanbul, California na majiji makubwa huko!!
 
Eeh hata wakifanya timming pia ni sawa zikawa zinenda kwa batch! Zinaingia gari kadhaa, baada ya nusu saa zinaingia zingine.
Ndugu yangu wee, kwa nchi iliyo na corruption kama yetu tutajikuta fedha nyingi wanazolipia zinaenda kwenye mifuko ya watu. Na pia itatoa loophole kwa njia kutumika vibaya na kusababisha msongamano. Kwa mawazo yangu ni kuwa njia bado zibakie kuwa za mabasi na magari ya dharura kama ambulance tu ila wakaribishe watu binafsi wenye mabasi makubwa (waweke spefications za mabasi) wazitumie sambamba na mabasi ya mwendo kasi.
 
Wakiruhusu tu daladala utashangaa na wath binafsi wamejichomekeza nao matokeo yake hio fast lane inakuwa na msongamano vile vile.

Akili ambayo ingetumika ni kuchaji hela kwa ambaye anajihisi ana haraka kutumia njia hio kwa muda flani esp. jioni na asubuhi ambapo foleni huwa kali.

Waweke road Toll hata 10K tu kwa gari ndogo na 20K kwa gari za size ya kati esp. SUV's kama ma Prado, VX V8, Touareg n.k! Wenye hela watalipia Serikali itaingiza hela ambao pia najua watu hawatakuwa wengi maana wataitumia wale wenye urgent cases.

sorry,,hv neno SUV lina maana gan... mtu akisema SUV car anaamaanisha nn haswa
 
Labda waletwe maDereva wa $$ wageni Wenye kuheshimu sheria , usalama na ufanisi ktk udereva...
Ila hawa maderva wa sasa ($$) ni Fujo tu na waharibifu wa miundombinu za barabara na wala hawajali kitu!! Zaidi yao ni ushindani barabarani
bila kutii sheria za usalama !!
Daladala kwenye majiji hazifai, zinaongeza msongamano na hewa chafu. Majiji yanahitaji magari yenye kubeba abiria wengi kwa wakati mmoja. Miaka ya nyuma 'hiace' ziliondolewa Dar, zimerudi?
 
sorry,,hv neno SUV lina maana gan... mtu akisema SUV car anaamaanisha nn haswa
Sport Utility Vehicles, au Sub Urban Vehicles.

Ina maana gari flani za juu ambazo zinaweza kutumika kwa matumizi ya mjini na porini. Mara nyingi zinakuwa equipped na 4x4 capability na umbile lake huwa kama la xtrail,grand vitara, Vx V8, nissan patrol,isuzu wizard, LC Prado, Surf n.k
 
Ndugu yangu wee, kwa nchi iliyo na corruption kama yetu tutajikuta fedha nyingi wanazolipia zinaenda kwenye mifuko ya watu. Na pia itatoa loophole kwa njia kutumika vibaya na kusababisha msongamano. Kwa mawazo yangu ni kuwa njia bado zibakie kuwa za mabasi na magari ya dharura kama ambulance tu ila wakaribishe watu binafsi wenye mabasi makubwa (waweke spefications za mabasi) wazitumie sambamba na mabasi ya mwendo kasi.
Corruption sio kitu cha kuogopa. Ipo na itaendelea kuwepo. Ila kwa awamu hii watu wana uoga sana atlest
 
Usisahau kiwashauri na wabongo kutumia mwendokasi badala ya kung'ang'ana na vigari utadhani wote wahaya
 
Ukiangalia idadi ya magari yaliyotarajiwa kwenda kwa haraka yanayopita kwenye barabara hizi za haraka utagundua kuwa ujenzi wa barabara hizi una harufu ya ufisadi. Ujiangalia idadi ya magari na abiria wanaotumia hizi barabara ni kidogo sana kulinganisha na thamani ya ujenzi wa mradi.

Barabara hizi ziko tupu muda wote wakati magari mengine ya abiria yakiwa yamesongamana kwenye barabara za kawaida. Tungetegemea barabara ziwe bize muda wote.

Hivi hawa waliobuni huu mradi walimaanisha hivi? Kwanini wasikamatwe na kuhojiwa?

View attachment 1572141
Kwa nini usitembee unakokwenda?
Watanzania tumezoea kutumia vitu isivyo na tunaona sawa tu.

Miaka mingi kuna kipindi OK ya kwenye ndege za ATC ilikosa maana kabisa maana utamaduni wa kufuata mipango tuliyojiwekea ikawa hakuna.
Basi la abiria watu wanasimama na abiria wanaona sawa tu, na wengine wakiambiwa chuchumaa wanafikiri ni ujanja.
Kuendesha kwa spidi barabarani madereva wanaona sawa, mradi trafiki hawaoni.
Gari yenye mizigo ya tani 60 kuenda na kukatisha vichochoroni na kurarua barabara watu hawasiktuki.

Sasa mtoa mada anatakaka kukatisha katika barabara iliyokusudiwa kwa mass transport.
Kama mtoa mada atakuwa anakaa karibu na uwanja wa ndege ataomba aruhusiwe kukatiza uwanjani mradi hakuna ndege inatua!!!
Wajameni tutastaarabika lini?
 
Tatizo careeer ya udereva imedharauliwa sana mana ni genge la wahuni tu ndio linaendesha izo daladala siku wakipatikana madereva wastarabu pengine tuwaruhusu sio hawa wasasa wachafu kuanzia miili mpaka kauli na mamlaka zipo tu as if hazioni
 
Uhalisia wa matumiz ya mwendokas hautokua na maana tena sote tunajua jinc mwendokas unaokoa muda
Huyu anataka kuturudisha kule kule mana hata Daladala wakiambiwa ingieni then msisimame mpaka vituoni hawawezi kuelewa
 
Wakiruhusu tu daladala utashangaa na wath binafsi wamejichomekeza nao matokeo yake hio fast lane inakuwa na msongamano vile vile.

Akili ambayo ingetumika ni kuchaji hela kwa ambaye anajihisi ana haraka kutumia njia hio kwa muda flani esp. jioni na asubuhi ambapo foleni huwa kali.

Waweke road Toll hata 10K tu kwa gari ndogo na 20K kwa gari za size ya kati esp. SUV's kama ma Prado, VX V8, Touareg n.k! Wenye hela watalipia Serikali itaingiza hela ambao pia najua watu hawatakuwa wengi maana wataitumia wale wenye urgent cases.
Haya ndio mawazo sasa mkuu
 
Eeh hata wakifanya timming pia ni sawa zikawa zinenda kwa batch! Zinaingia gari kadhaa, baada ya nusu saa zinaingia zingine.
Tanroad na Serikali hili wazo la mdau lifanyiwe assessment na ikiwezekana liwe implemented haraka lita create revenue
 
Ukiangalia idadi ya magari yaliyotarajiwa kwenda kwa haraka yanayopita kwenye barabara hizi za haraka utagundua kuwa ujenzi wa barabara hizi una harufu ya ufisadi. Ujiangalia idadi ya magari na abiria wanaotumia hizi barabara ni kidogo sana kulinganisha na thamani ya ujenzi wa mradi.

Barabara hizi ziko tupu muda wote wakati magari mengine ya abiria yakiwa yamesongamana kwenye barabara za kawaida. Tungetegemea barabara ziwe bize muda wote.

Hivi hawa waliobuni huu mradi walimaanisha hivi? Kwanini wasikamatwe na kuhojiwa?

View attachment 1572141
Zibaki kwa Kazi hiyo hiyo ziliyojengewa...!
Ukianza Kuruhusu Dala dala, kesho utaruhusu na ambulance, keshokutwa magari ya Polisi, mtondogoo magari ya Jeshi na mwisho? Vurugu inajamia kwenye barabara za mwendokasi!!
Kupanga no Kuchagua....
 
Halaf hii itasababisha mwendokas nao uanze kutingwa na foleni mwishowe mji wote tukose hata mbadala wa usafiri wa haraka
Huyu anataka kuturudisha kule kule mana hata Daladala wakiambiwa ingieni then msisimame mpaka vituoni hawawezi kuelewa
 
Zibaki kwa Kazi hiyo hiyo ziliyojengewa...!
Ukianza Kuruhusu Dala dala, kesho utaruhusu na ambulance, keshokutwa magari ya Polisi, mtondogoo magari ya Jeshi na mwisho? Vurugu inajamia kwenye barabara za mwendokasi!!
Kupanga no Kuchagua....
Ambulance ziko permited kutumia izo roads hata izo za jeshi kama wanadharura wanapita
 
Back
Top Bottom