Sport Utility Vehicles, au Sub Urban Vehicles.
Ina maana gari flani za juu ambazo zinaweza kutumika kwa matumizi ya mjini na porini. Mara nyingi zinakuwa equipped na 4x4 capability na umbile lake huwa kama la xtrail,grand vitara, Vx V8, nissan patrol,isuzu wizard, LC Prado, Surf n.k
foleni itatoka wapi wakati hizo lanes ni njia moja tu, wala huwezi kuover take, labda gari iharibikike katikati ya barabara. Yaani hii ikiruhusiwa itakuwa kila baada ya dk 5 magari 3 ya abiria yanaondoka kituoni na abiria.Mwisho umemalizia na brilliant idea ever.
Pia itatakiwa kuwepo na limit ya idadi ya magari ya watu binafsi yatakayopewa kibali cha kupita baada ya kulipia.
Bila kuwa na limit ya idadi pengine kunaweza tokea foleni tena katika hizo lanes.
Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Mji hauna nafasi ya kuweka project yoyote ya maana, ni kulazimisha kinachowezekana kifanyike japo kidogo.Barabara yote hii kwa magari mawili tu ya mwendo kasi ni ubadhilifu, no value for money. Duniani kote hakuna vituo vya mabasi wala treni inavyowekwa karibu karibu barabarani kama hapa kwetu.
Kwa madereva hawahawa na konda mhasibu? Hapana aiseeee......Ukiangalia idadi ya magari yaliyotarajiwa kwenda kwa haraka yanayopita kwenye barabara hizi za haraka utagundua kuwa ujenzi wa barabara hizi una harufu ya ufisadi. Ujiangalia idadi ya magari na abiria wanaotumia hizi barabara ni kidogo sana kulinganisha na thamani ya ujenzi wa mradi.
Barabara hizi ziko tupu muda wote wakati magari mengine ya abiria yakiwa yamesongamana kwenye barabara za kawaida. Tungetegemea barabara ziwe bize muda wote.
Hivi hawa waliobuni huu mradi walimaanisha hivi? Kwanini wasikamatwe na kuhojiwa?
View attachment 1572141
Kulipa kwa njia ya mtandao au kulipia benk kunapunguza corruptionNdugu yangu wee, kwa nchi iliyo na corruption kama yetu tutajikuta fedha nyingi wanazolipia zinaenda kwenye mifuko ya watu. Na pia itatoa loophole kwa njia kutumika vibaya na kusababisha msongamano. Kwa mawazo yangu ni kuwa njia bado zibakie kuwa za mabasi na magari ya dharura kama ambulance tu ila wakaribishe watu binafsi wenye mabasi makubwa (waweke spefications za mabasi) wazitumie sambamba na mabasi ya mwendo kasi.
Wakiruhusu tu daladala utashangaa na wath binafsi wamejichomekeza nao matokeo yake hio fast lane inakuwa na msongamano vile vile.
Akili ambayo ingetumika ni kuchaji hela kwa ambaye anajihisi ana haraka kutumia njia hio kwa muda flani esp. jioni na asubuhi ambapo foleni huwa kali.
Waweke road Toll hata 10K tu kwa gari ndogo na 20K kwa gari za size ya kati esp. SUV's kama ma Prado, VX V8, Touareg n.k! Wenye hela watalipia Serikali itaingiza hela ambao pia najua watu hawatakuwa wengi maana wataitumia wale wenye urgent cases.
Usafiri wa umma ukiboreka watu wataacha kutumia vigari vyao kwenda kazini. Traffic watatoa kipaumbele kwenye njia za mabasi ya umma kuliko njia za pembeni, hivyo watu wengi watachagua kupanda mabasi badala ya magari yao madogo.Usisahau kiwashauri na wabongo kutumia mwendokasi badala ya kung'ang'ana na vigari utadhani wote wahaya
Yaani inashangaza na watu wanaunga mkono hoja...watakua wa mikoani hawa...bora mada ingekua waongeze magari
Kweli kabisa, wazo zuri hilo mama. Kwa wenzetu sahivi tolls gate zina camera inakuchapa invoice ikishasoma plate number yako tu.Nimeona huo utaribu nje ya Tanzania kwenye nyingi kuna road tolls nyingi kwenye madaraja na kwenye private road kwa wenye haraka na matajiri
Shida ni kwamba serikali ita control vipi ili pesa itakoyoingia kutokana na hilo wazi hisipigwe na wakati ana ticket
Jambo la msingi watu walipie kwa kutumia control number ya serikali wapewe cards kama za DSTV na Azam halafu road tolls ziwepe chache kwenye hizo bara bara kwa ajili ya maswala ya technicality just in case card ikisumbua
na gharama za kupita iwe hata elfu 50,000 kwa siku ili kufanya bara bara zitumike na wastaarabu tu wasiojua kutanua na ku overtake
Yaani inashangaza na watu wanaunga mkono hoja...watakua wa mikoani hawa...bora mada ingekua waongeze magari
Juma Mpango tanua wigo wa kodi kwa kulifanyiakazi hili wazo.Kweli kabisa, wazo zuri hilo mama. Kwa wenzetu sahivi tolls gate zina camera inakuchapa invoice ikishasoma plate number yako tu.
Huku kwetu tunatakiwa tupewe cards kama za magetini zile za kutokea kama Airport pale au Mlimani city. Ila ziwe debit cards kwamba unaijaza hela kisha ndio unaitumia katika shughuli kama hizo hela inanaenda direct serikalini
Well noted... umetambua haswaDaladala kwenye majiji hazifai, zinaongeza msongamano na hewa chafu. Majiji yanahitaji magari yenye kubeba abiria wengi kwa wakati mmoja. Miaka ya nyuma 'hiace' ziliondolewa Dar, zimerudi?
Usisahau kiwashauri na wabongo kutumia mwendokasi badala ya kung'ang'ana na vigari utadhani wote wahaya
Kuna siku mtasema wapishi wa Ikulu wafungue catering services kwakua wanajua kupika kuliko mama lishe...Ukiangalia idadi ya magari yaliyotarajiwa kwenda kwa haraka yanayopita kwenye barabara hizi za haraka utagundua kuwa ujenzi wa barabara hizi una harufu ya ufisadi. Ujiangalia idadi ya magari na abiria wanaotumia hizi barabara ni kidogo sana kulinganisha na thamani ya ujenzi wa mradi.
Barabara hizi ziko tupu muda wote wakati magari mengine ya abiria yakiwa yamesongamana kwenye barabara za kawaida. Tungetegemea barabara ziwe bize muda wote.
Hivi hawa waliobuni huu mradi walimaanisha hivi? Kwanini wasikamatwe na kuhojiwa?
View attachment 1572141
Kuna magari yamezuiliwa kwa kutolipiwa kodi, hayo yakiingia yatajaza hizo barabaraUkiangalia idadi ya magari yaliyotarajiwa kwenda kwa haraka yanayopita kwenye barabara hizi za haraka utagundua kuwa ujenzi wa barabara hizi una harufu ya ufisadi. Ujiangalia idadi ya magari na abiria wanaotumia hizi barabara ni kidogo sana kulinganisha na thamani ya ujenzi wa mradi.
Barabara hizi ziko tupu muda wote wakati magari mengine ya abiria yakiwa yamesongamana kwenye barabara za kawaida. Tungetegemea barabara ziwe bize muda wote.
Hivi hawa waliobuni huu mradi walimaanisha hivi? Kwanini wasikamatwe na kuhojiwa?
View attachment 1572141