Dalali anataka nimpe elf 10tsh hii imekaaje

Dalali anataka nimpe elf 10tsh hii imekaaje

Kuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.
Unashindwa kumpa huyo Dalali elfu 10..je hiyo pango utaweza kulipa kweli?
 
Huyu jamaa bwana yaani ni bahili 10k tu jmaa hataki
Mimi kitu hua nakataa kumpa dalali kodi ya mwezi mzima yani kama chumba ni 70k kwa mwezi basi umpe yeye ya mwezi hua nagoma ila izo ten au twenty hua nawapa coz wanachoka pia, sasa mwamba ata ten hataki kutoa dah😁
 
Sasa akiomba Kodi ya mwezi mmoja umpe Si itakuwa balaa?
 
Mimi kitu hua nakataa kumpa dalali kodi ya mwezi mzima yani kama chumba ni 70k kwa mwezi basi umpe yeye ya mwezi hua nagoma ila izo ten au twenty hua nawapa coz wanachoka pia, sasa mwamba ata ten hataki kutoa dah😁
Wewe unataka uwe unamlipaje dalali akikutafutia eneo?? Mna dharau kazi za watu sana😄
 
Udalali unalipa.....

sio rahisi kiivo mkuu, nina msela wangu mmoja aliwahi kujiingiza kwenye hizi dili mpaka kaachana na hiyo kazi hajawahi kupata zaidi ya buku 10 kwa mkupuo mmoja, na hizo sio kama za kila siku.
 
Iko hivi,ukinitoa nilipo nikuoneshe chumba kuna helaa ya mguu,huwezi kuninyanyua nikuoneshe chumbaa afuu uniambie asente,we sio shangazi yangu.ukikipenda chumba na kulipia,jua kabisa mwezi mmoja unanilipa mimi,kama.umelipa miezi sita basi jua utaongeza wa sabaa kwa kunilipa.semaa tatizo madalali wengine njaaa tu.inatakiwa ukubaliane na.mteja kabla huja muonesha chumbaa.kama hataki akatafute mwenyewe
 
Kuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.
Tafuta hela
 
Iko hivi,ukinitoa nilipo nikuoneshe chumba kuna helaa ya mguu,huwezi kuninyanyua nikuoneshe chumbaa afuu uniambie asente,we sio shangazi yangu.ukikipenda chumba na kulipia,jua kabisa mwezi mmoja unanilipa mimi,kama.umelipa miezi sita basi jua utaongeza wa sabaa kwa kunilipa.semaa tatizo madalali wengine njaaa tu.inatakiwa ukubaliane na.mteja kabla huja muonesha chumbaa.kama hataki akatafute mwenyewe
Kabisa mkuu tuwaheshimu ao watu ndo kazi inayowaweka mjini
 
sio rahisi kiivo mkuu, nina msela wangu mmoja aliwahi kujiingiza kwenye hizi dili mpaka kaachana na hiyo kazi hajawahi kupata zaidi ya buku 10 kwa mkupuo mmoja, na hizo sio kama za kila siku.
DALALI WA MKOANI???
 
Serikali iweke utaratibu mzuri wa kukusanya Kodi kwa madalali. Ni chanzo kizuri tu cha mapato
 
Back
Top Bottom