😂😂Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Ha haha! Basi age ishakupiga kikumbo na vipi mikono hauiweki nyuma ya mgongo unavyotembea hii style kisayansi tunaiita 'unyenyekevu style'Kuna moja umenigusa, bustani nashangaa hata hobby hii imetokea wapi!
Ha haha! Basi age ishakupiga kikumbo na vipi mkono hauiweki nyuma ya mgongo unavyotembe hii style kisayansi tunaiita 'unyenyekevu style'Kuna moja umenigusa, bustani nashangaa hata hobby hii imetokea wapi!
Hiyo ya kulima bustani ni ukweli 92% wanasayansi tumethibitisha hilo kwa hiyo hatutaki kuona mtu ana mashaka na hilo.Hapa nimeshaanza kuwaza kukaa sehemu iliyotulia nifuge kuku, ng'ombe na kulima tubustani.......nadhani sio utu uzima nakumbuka tu stadi za kazi
Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Bado Ila Tabia za kizee nyingi zinaninyemelea mfano MTU akinichukulia charger yangu ya simu natamani kupasuka. Kuna siku niliingia gharama ya kumnunulia MTU charger ya SHS 15000 ili asiguse yangu. Ukizeeka hutaki usumbufu kabisa.Ha haha! Basi age ishakupiga kikumbo na vipi mkono hauiweki nyuma ya mgongo unavyotembe hii style kisayansi tunaiita 'unyenyekevu style'
Mimi nashangaa maisha yangu yote sikuwahi kupenda Maua wala bustani Kwanza nilikuwa Naona wanapoteza muda. SASA hivi hata Mie siamini ninalima tena kwenye containers mboga ikifa au ikiliwa na mdudu natamani kulia. Du uzee shikamoo.Hiyo ya kulima bustani ni ukweli 92% wanasayansi tumethibitisha hilo kwa hiyo hatutaki kuona mtu ana mashaka na hilo.
[emoji23] sasa si bora ungemwachia hiyo ya zamani alafu ww ununue mpya ila naamini ni uzee unakunyatia sio kupenda kwako, ukiwa mzee unakuwa mkoloni automatic.Bado Ila Tabia za kizee nyingi zinaninyemelea mfano MTU akinichukulia charger yangu ya simu natamani kupasuka. Kuna siku niliingia gharama ya kumnunulia MTU charger ya SHS 15000 ili asiguse yangu. Ukizeeka hutaki usumbufu kabisa.
Kaa mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Kwani mkuu huna familia?Kuna siku moja nilienda shule moja ya chekechea aliyokuwa anafundisha rafiki wa kike wa mdogo wangu. Baada tu ya kufika na kukaa kama dakika tano wale watoto wakawa wananong'onezana "wewe Frank baba yako amekuja" hahahahaaaa nilicheka sana nikajisemea kimoyomoyo kumbe sasa ninalazimika kuwa na familia ya watoto kadhaa.
Mkuu nimecheka kwa sauti asee.Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilienda kucheza Moira jumamos/jumapili mazoezi nashangaa watu wanamuita mzee nipasie huku,mshua kwangu,dingo niwekee halafu nikiwaangalia nawaona ni wakubwa
Nimeshtuka nishaanza kuwa muhenga pro max