Mapenzi wapo madanga wanaotoa kwa bei chee tu tena unapata kitu kitamu balaa baada ya hapo mnaachana kila mtu anashika 50 zake na hakuna vizinga wala kununiana kisa sina pesa,wanawake mnatusumbuaga sana na kitu ambacho kipo tu napata popote.Ndiyo,tena cha hali ya juu maana ni lazima mwisho kitu hicho umalizie kwa kutetemeka,kubenua vidole,kukakamaa kama una degedege,kubadilisha face appearance na mengineyo unayokumbana nayo.ASANTE.
Kuhudumiwa ni raha Ncha, yani raha inakaribia ile ya orgasm....tuhudumieni tu jameniSio kweli, ni kwa kuwa 'irresponsible' tuβ¦. kudhani mnastahili kuhudumiwa tu.
Sina kaka kweli.... tuhudumieni tu ni raha sana kuhudumiwaKwamba we jero hauna hapo πππ hizi ni zereu za standard gej kabisa! Hela ya maji ya kunywa na nauli!
"Natamani nikupe ila sinaaa... Nimejaliwa Upendo heshimaa" - Diamond platnumz wimbo wake wa mdogo mdogo!Sio kwamba tunapenda unakuta hiyo 500 hatuna kaka....
Utelezi, sijui penzi vyote hivyo vya kawaida Sana. Nasisitiza mpenzi anayetegemea kupokea tuuu bila ya yeye kutoa kwa mpenziwe huyo Ni jambazi, kimbia upesi. Alafu wanaume tufunguke tusiwe misukule, pigs chini huyo haraka Sana otherwise wafaaa.Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.
Kupe huyo atakunyonya damu, Ohio shauri yakohakutafuti mpaka umtafute,,, ukimuuliza utasikia bundle limeisha, mara nilikuwa nafua, mara kulikuwa na kikao cha familia, mara akiwa home akaagi na simu karibu.
halafu cha ajabu ukiwa naye karibu simu anakuwa nayo busy muda mwingi.
Mkitoka out kama ni mnywaji hanywi pombe au beer za bei rahisi....utasikia Windhoek, heineken, Savanna, amarula, hennesy, black & white wine, four cousin wine, Jack Daniels.
Upande wa msosi utasikia chips KuKu, makange ya samaki (sato), maini, firigisi, Kuku ......Mchemsho wa samaki, wa mbuzi au ng'ombe.
Na siku ukifanikiwa kuachana nae kabisa ni kama umemaliza mkopo wa benki.
Hapa ndo huwa siwaelewi Wanawake. Hivi mwanamke ndo anayetoa mapenzi peke yake au mapenzi ni Two way traffic?Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.
Ewaaaaaaaa"Natamani nikupe ila sinaaa... Nimejaliwa Upendo heshimaa" - Diamond platnumz wimbo wake wa mdogo mdogo!
Binafsi mwanamke akianza kunililia kuhusu pesa namsikiliza na kumpa maswali kutokan na maelezo yake....yeye mwenyewe anakimbia na kuniita mi mgumu ama mbahiri. Mtu hana issue yeyote anataka umtunze yeye na ukoo wake mzima, pumbavuuuu.Huyo chuma ulete huwezi kumuita mpenzi! Ni jambazi la kike hilo πππ kaa mbali na mwanamke ambaye hata kukununulia soda ya 500 tu kwa hela yake hawezi!
Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.
Kuna demu ninae anazo Tabia kama hizi hapaHabari za leo wakuu. Kumekuwa na mtazamo wa muda mrefu kuwa wanaume wanapomtamani mwanamke wanalenga kupata penzi. Na wanawake wao wanalenga kupata fedha au mali.
Hapa naweka dalili za wanawake wenye tabia za kukomba pesa za wanaume.
1. Huwa hawanunui kitu chochote. Mara zote mnapokutana hata zawadi ya buku hawezi kukuletea. Hatakaa akununulie kitu kabisa hata kalamu. Boxer wala tshirt.
2. Mara zote wanachomekea jambo la kutaka pesa, mara saluni, mara kuumwa, mara ndugu zake wana shida ili utoe pesa.
3. Hawajali unapotaka kufanya matumizi makubwa. Wala hawakushauri wao wanaona sawa tuu hata ukitumia pesa kwa vitu ambavyo sio muhimu.
4. Uhusiano wenu unakuwa na utata usipokuwa na fedha au unapokataa kutoa pesa aliyoomba. Au unakuwa tuu upo upo. Au unapompa neno la kimapenzi harudishi
5. Hakutambulishi kwa ndugu, wala rafiki, wala wazazi.
6. Mawasiliano yanasua sua ukiwa huna pesa. Yanaongezeka akijua unazo au ukiwa umekaribia kupata mshahara.
7. Anavitu vya gharama ambavyo ukiangalia kazi anayofanya na namna amevipata hupati jibu. Weee una infix na yeye ina iphone pro latest ya macho manne.
8. Wadau wanaendelea kujaza.
Nyie mnacomment hapa mtakuwa na samsin in common.
Huenda mumeamka hamna kitu mfukoni.
Natumia location nje tupigane leo ugomvi mood reloaded.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo chuma ulete huwezi kumuita mpenzi! Ni jambazi la kike hilo [emoji23][emoji23][emoji23] kaa mbali na mwanamke ambaye hata kukununulia soda ya 500 tu kwa hela yake hawezi!
Hahahahah unaskia kwendraa na ubahili wako πππ ujue kimeumanaaaBinafsi mwanamke akianza kunililia kuhusu pesa namsikiliza na kumpa maswali kutokan na maelezo yake....yeye mwenyewe anakimbia na kuniita mi mgumu ama mbahiri. Mtu hana issue yeyote anataka umtunze yeye na ukoo wake mzima, pumbavuuuu.