Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hio sio hoja ya msingi na ndio maana huwa mnapigwa na kukimbiwa. Ondoeni hio akili kabisa, kukubali kupigwa mashine ndio mapenzi yenyewe sasa kama unafikiri unamfanyia favor mwanaume kumpa papa jua utaachwa kwenye mataa kila siku! Yani unahisi ukitoa papa ndio unakuwa umepata visa ya kuombea hela?Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.