Dalili kuu kuwa "anataka tu pesa zako"

Dalili kuu kuwa "anataka tu pesa zako"

Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.
Hio sio hoja ya msingi na ndio maana huwa mnapigwa na kukimbiwa. Ondoeni hio akili kabisa, kukubali kupigwa mashine ndio mapenzi yenyewe sasa kama unafikiri unamfanyia favor mwanaume kumpa papa jua utaachwa kwenye mataa kila siku! Yani unahisi ukitoa papa ndio unakuwa umepata visa ya kuombea hela?
 
Mm mtazamo wangu uko tofauti kidogo

Nahisi Wanaume tunalalamika humu jukwaani kuwa wanawake mnatuchuna pesa, bcoz wanaume wengi tunatongoza na kushobokea wanawake ambao hawana hisia za Kingono/kimapenzi na sisi.

Wanaume tuwe kwenye mahusiano na wadada wanaotupenda na wanaotutamani kingono, kwenye mahusiano hatutohisi kuwa tunakuwa exploited financially, am talking this from experience, Utaona mahusiano yanaenda smooth Linapokuja swala la pesa Evelyn Salt Shunie Extrovert
Naichukua hii, naenda kuanzisha uzi.
 
Anakuambia "Mi si ombi ombi hela." au "Kwako sipo kwa ajili ya pesa". Au my favorite, anakuambia amewahi kuwa na mtu hakuwa na kitu. [emoji28]

Halafu muda fulani baadae anarusha invoice. Kama default settings zinavyotaka.

RUN!
Anakuseti hapo 😂😂😂 ukikaa vizuri lazma akutwange invoice kutest mitambo! Ukimtolea mbavuni kuwa hauko vizuri zitaanza lawama sasa mpenzi gani humsaidii katika changamoto zake🤣? Yani ameomba umsaidie hela ya kodi tu umuongezee kidogo kapungukiwa huna.

Nshakuwa na demu wa hivyo ikawa kauli ni we kila siku huna tu yani hunijali, demu alikuwa anapenda hela dhahiri kabisa😂😂😂 yani ukimtomba tu jua lazma mkimaliza aombe hela sasa siku uwe huna atalalamika kinoma
 
Juu ya hili pia, kuna wanawake yeye kutoa utelezi hata sio ishu. Na Sio kwako tu.
Yeah anakupa sababu anakufeel na hamna kuomba hela baada ya show sababu anajitosheleza! Hawa ndio wanawake ambao nimetokea kuwahusudu zaidi! Mwanamke hafanyi mapenzi kwa dhiki zake bali kwa kufurahia uwepo wako kwake huyu hata ukimpa mtonyo hana hiyana na zawadi zawadi mnafurahi tu. Nayeye anakupa zawadi zawadi inakuwa full burudani!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuwa mzuri sana asili yake ni singa na ana mapenzi na mimi kiasi kwamba alitaka anizalie kabisa sababu tulikuwa tunamatch kitabia ila sasa dah nikawaza kwa hali yangu ilivyo tete angenishinda tu af anakuwa na mawenge sana akipanic ni but muoneshe noti tu yani ghafla lazma asmile niliinjoy nae sana...bonge la chix yani!
 
Mademu wa bongo kwa kweli wanachosha mno, yaani nikiwaona tu sijuwi najiskiaje kwani kila mmoja wao namuona yuko fake na kiombi kama mgogo wa Jangwana Traffik.
Hahahahah wamekaa kishamba mno! Demu yuko Gongolamboto uswahilini ila kaamka na snapchat na vikuku 😂😂😂
 
Hahahahah wamekaa kishamba mno! Demu yuko Gongolamboto uswahilini ila kaamka na snapchat na vikuku 😂😂😂
Kwa kweli wako pathetic, hivi mtu unakuwa na akili gani umezalishwa na vibaka mpaka umeishiwa thamani, unaanza kuhaha na kutafuta wanaume kwa nguvu na kuroga ili wakuweke mjini na kutunze familia yako? Wengi wao hawana issue, kutwa kucha wanashinda Insta kujipiga picha kujitangaza, kosa tu ndugu Extrovert ujiingize kichwa kichwa, umekwisha.
 
Kwa kweli wako pathetic, hivi mtu unakuwa na akili gani umezalishwa na vibaka mpaka umeishiwa thamani, unaanza kuhaha na kutafuta wanaume kwa nguvu na kuroga ili wakuweke mjini na kutunze familia yako? Wengi wao hawana issue, kutwa kucha wanashinda Insta kujipiga picha kujitangaza, kosa tu ndugu Extrovert ujiingize kichwa kichwa, umekwisha.
Hahahah ni kuwa makini tu demu lazma nimpeleleze nijue anatokea mazingira gani!
 
Hio sio hoja ya msingi na ndio maana huwa mnapigwa na kukimbiwa. Ondoeni hio akili kabisa, kukubali kupigwa mashine ndio mapenzi yenyewe sasa kama unafikiri unamfanyia favor mwanaume kumpa papa jua utaachwa kwenye mataa kila siku! Yani unahisi ukitoa papa ndio unakuwa umepata visa ya kuombea hela?
Na mtaombwa sana,no money no honey
 
Umenitonesha kidonda jana nilikua na laki mbili na arobaini na tano full kugawa ten ten kwa mabaamedi ,eti naumizwa sana na maisha yao leo naamka kila nikiingiza mikono mifukoni zinatoka tissue tu.

Unawaonea huruma wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mimi hata dada zangu tu sijawahi waonea huruma hata siku moja
 
Mi mashangazi wote wana iphone..
Ila mimi nakomaa na hii hii simu yangu ya hovyo..

ILA sasa linapokuja suala la pesa hapo sikumbuki lini nilitoa mapesa aiseee ila nachokumbuka ni kauli kama hizi

""Fanye jpili hii uka fufue account yako ya bank, nishachoka kwenda kwa wakala """

""Nakuja huko kukuchukua leo sitoenda kanisani suala la ofisi utamwachia nani achana nalo ""

""Kama PC yako mbovu ulikua wapi mda wote kusema mpaka leo hii nakupa kazi ,,
kesho nikukute k,koo sa tano mapema kabisa sawa,,,"""
 
Mi mashangazi wote wana iphone..
Ila mimi nakomaa na hii hii simu yangu ya hovyo..

ILA sasa linapokuja suala la pesa hapo sikumbuki lini nilitoa mapesa aiseee ila nachokumbuka ni kauli kama hizi

""Fanye jpili hii uka fufue account yako ya bank, nishachoka kwenda kwa wakala """

""Nakuja huko kukuchukua leo sitoenda kanisani suala la ofisi utamwachia nani achana nalo ""

""Kama PC yako mbovu ulikua wapi mda wote kusema mpaka leo hii nakupa kazi ,,
kesho nikukute k,koo sa tano mapema kabisa sawa,,,"""

Hivi ndo vitu nipendavyo mimi asweeh, siku nikipata mshangazi hata mmoja aseeh ntafrahi kinoma
 
Mi mashangazi wote wana iphone..
Ila mimi nakomaa na hii hii simu yangu ya hovyo..

ILA sasa linapokuja suala la pesa hapo sikumbuki lini nilitoa mapesa aiseee ila nachokumbuka ni kauli kama hizi

""Fanye jpili hii uka fufue account yako ya bank, nishachoka kwenda kwa wakala """

""Nakuja huko kukuchukua leo sitoenda kanisani suala la ofisi utamwachia nani achana nalo ""

""Kama PC yako mbovu ulikua wapi mda wote kusema mpaka leo hii nakupa kazi ,,
kesho nikukute k,koo sa tano mapema kabisa sawa,,,"""

Kama Enzoh wa jua kali na shuga mumy lake [emoji23]
 
Hivi ndo vitu nipendavyo mimi asweeh, siku nikipata mshangazi hata mmoja aseeh ntafrahi kinoma
Ahahahah utapata tuu..

Kila mtu atapata mshangazi

Mtulie kila mtu atapata mshangazi

Mashangazi wapo mtulie kila mtu atapata
 
Back
Top Bottom