Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Naongea na nani na unapiga simu tokea wapi? 🤣🤣🤣Nyie mnacomment hapa mtakuwa na samsin in common.
Huenda mumeamka hamna kitu mfukoni.
Natumia location nje tupigane leo ugomvi mood reloaded.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongea na nani na unapiga simu tokea wapi? 🤣🤣🤣Nyie mnacomment hapa mtakuwa na samsin in common.
Huenda mumeamka hamna kitu mfukoni.
Natumia location nje tupigane leo ugomvi mood reloaded.
Demu hana jefex ila anaenda kazini na kurudi 😂😂😂 kwa daladalaSio kweli, ni kwa kuwa 'irresponsible' tu…. kudhani mnastahili kuhudumiwa tu.
Sasa jaman Unitoe auti niagize ugali maharage na spa leta ndo ujue nakupenda?hakutafuti mpaka umtafute,,, ukimuuliza utasikia bundle limeisha, mara nilikuwa nafua, mara kulikuwa na kikao cha familia, mara akiwa home akaagi na simu karibu.
Halafu cha ajabu ukiwa naye karibu simu anakuwa nayo busy muda mwingi.
Mkitoka out kama ni mnywaji hanywi pombe au beer za bei rahisi....utasikia Windhoek, heineken, Savanna, amarula, hennesy, black & white wine, four cousin wine, Jack Daniels.
Upande wa msosi utasikia chips KuKu, makange ya samaki (sato), maini, firigisi, Kuku ......Mchemsho wa samaki, wa mbuzi au ng'ombe.
Fafanua vizuri ndugu hapa98% ya mademu wa kibongo ni wauzaji either direct or indrect
Hawana huruma kabisa. wala haonyeshi kujali. Anatumbua tuu. Mi skumoja niliwahi kusepa na simu nikazima kama hakuwa na hela ya kulipa ndio akome ku order vitu ambavyo hana uwezo navyo. Unaagiza kuku mzima halafu baadae baadae unasema jamani dear yamepita makange nimeyatamanii, daadeki na Martin Bianco iko mezani ishafika nusu.hakutafuti mpaka umtafute,,, ukimuuliza utasikia bundle limeisha, mara nilikuwa nafua, mara kulikuwa na kikao cha familia, mara akiwa home akaagi na simu karibu.
Halafu cha ajabu ukiwa naye karibu simu anakuwa nayo busy muda mwingi.
Mkitoka out kama ni mnywaji hanywi pombe au beer za bei rahisi....utasikia Windhoek, heineken, Savanna, amarula, hennesy, black & white wine, four cousin wine, Jack Daniels.
Upande wa msosi utasikia chips KuKu, makange ya samaki (sato), maini, firigisi, Kuku ......Mchemsho wa samaki, wa mbuzi au ng'ombe.
SadlyHapendi kukaa na wewe muda mrefu akija kwako anachukua Muda mfupi na kuondoka
Ukitoka naye out anapenda kuchat hakupi muda wa kukusikiliza
Selfish anapenda mambo yake au vile anavyotaka yeye wala hajali mahusiano
Pombe zako mbaya wee nae.🤣🤣Umenitonesha kidonda jana nilikua na laki mbili na arobaini na tano full kugawa ten ten kwa mabaamedi ,eti naumizwa sana na maisha yao leo naamka kila nikiingiza mikono mifukoni zinatoka tissue tu.
Mm mtazamo wangu uko tofauti kidogoKuhudumiwa ni raha Ncha, yani raha inakaribia ile ya orgasm....tuhudumieni tu jameni
Bila kusahau wazee wa necha kwa pamoja tunasema hiyo ni necha yetu 😁
Kwahio unahisi swala la pesa ni kwa sababu mwanamke hana hisia na wewe za kingono? Aliekwambia hisia za kingono ndio zinafanya usiombwe pesa ni nani?🤣🤣🤣🤣 sababu mwanamke kukupa papuchi ni swala moja na baada ya game kukulilia njaa ni swala jingine ila hisia anakuwa nazo unapomkaza pale sema tu njaa haiongopi!!!Mm mtazamo wangu uko tofauti kidogo
Nahisi Wanaume tunalalamika humu jukwaani kuwa wanawake mnatuchuna pesa, bcoz wanaume wengi tunatongoza na kushobokea wanawake ambao hawana hisia za Kingono/kimapenzi na sisi.
Wanaume tuwe kwenye mahusiano na wadada wanaotupenda na wanaotutamani kingono, kwenye mahusiano hatutohisi kuwa tunakuwa exploited financially, am talking this from experience, Utaona mahusiano yanaenda smooth Linapokuja swala la pesa Evelyn Salt Shunie Extrovert
Kwahio unahisi swala la pesa ni kwa sababu mwanamke hana hisia na wewe za kingono? Aliekwambia hisia za kingono ndio zinafanya usiombwe pesa ni nani?🤣🤣🤣🤣 sababu mwanamke kukupa papuchi ni swala moja na baada ya game kukulilia njaa ni swala jingine ila hisia anakuwa nazo unapomkaza pale sema tu njaa haiongopi!!!
Umejitetea kama unaconclude Assignment🤣🤣🤣kula like!!!Sijasema Mdada akikupenda hatokuomba pesa Kabisa, ila tu hata akikuomba itakua ni kwasababu ana shida kweli, na kwasababu ambazo hata wewe utaona ni reasonable,
itakua ni sawa na ww unavoombwa pesa na best friend wako wa kiume, hauhisi kuwa unatapeliwa, ndo hivo hivo itakavokua, Mdada anayekupenda akikuomba hela Extrovert
Ndiyo usemi wao mkubwa, kwendraaaaa na ubahili wako mwanamme gani. Kumbe hapo kaumia kwa kumtolea nje matumaini yake ya kuwekwa mjini. Wanawake nawashangaa sana, yaani mtu unashindwa kutafuta kazi unataka kukaa mjini ili utunzwe na mwanamme wa mtu ili iweje?Hahahahah unaskia kwendraa na ubahili wako 😂😂😂 ujue kimeumanaaa
Kitu chochote, mnamaanisha hata penz hakupi au? Maana kama anakubali kuchafuliwa nawe hiyo kajitoa mno kwako.Kuna watu hawapewi hata utelezi ndugu zanguni.
Ndio akili yake ilipofikia hapo! Na tatoo zao za shingoNdiyo usemi wao mkubwa, kwendraaaaa na ubahili wako mwanamme gani. Kumbe hapo kaumia kwa kumtolea nje matumaini yake ya kuwekwa mjini. Wanawake nawashangaa sana, yaani mtu unashindwa kutafuta kazi unataka kukaa mjini ili utunzwe na mwanamme wa mtu ili iweje?