Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
HapanaLakini kuongea kiingereza ndio dalili ya mjanja sio?
Kuna wale wala-ndizi wenyewe ukikaa nao wanaongea kilugha tu washamba wale.
Mkuu kama unafahamu kilugha, basi kunatamaduni fulani umelishwa za kishamba. Kuna concepts fulani hupatikana kwenye lugha fulani tu. Na hizo concepts hujengeka kutokana na mazingira yanayowazunguka watu hao. Lugha ni moja ya ishara ya kujua mtu anamawazo gani na wa mazingira gani.Itakuwa na miaka 15 we we sio bure,
Iko waziTudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Ni raha na unajiamini tutake tusitake japo lugha zipo nyingi French and so on lakini English itabaki kuwa number one..Lakini kuongea kiingereza ndio dalili ya mjanja sio?
Slaverly of the mind.Ni raha na unajiamini tutake tusitake japo lugha zipo nyingi French and so on lakini English itabaki kuwa number one..
fikra za kitoto kwa watu wazimaTudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Siyo mshamba, ni dalili moja kubwa kuwa ni mshamba.Eh yan mtu akiongea kilugha mshamba
Mtoa post umevurugwa sio bure!
Inamaana huoni ushamba wa Mukandala? unafikiri kufika chuo kikuu na kuwa na pesa kunaondoa ushamba? Hujawahi ona maprofesa na matajiri washamba?fikra za kitoto kwa watu wazima
Rwekaza Mukandara anaongea kilugha chake vizuri tu na siyo mshamba?
lugha ni utamaduni ni mzizi wa jamii yoyote ile ..... jamii isyokuwa na utamaduni ni sawa sawa na mti usio na mizizi
kuongea kilugha ziyo ushamba jitafakari mkuu