Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Inamaana huoni ushamba wa Mukandala? unafikiri kufika chuo kikuu na kuwa na pesa kunaondoa ushamba? Hujawahi ona maprofesa na matajiri washamba?
Mshamba ni nani?
yupo wapi?
anafanya ninini?
sifa za mtu mshamba ukiacha kuongea kilugha chake ni zipi?
ushamba wa mtu hupimwaje?
jenga hoja kwa kujibu hayo maswali ili tuelewe
kuishi maisha ya kwenye movies ili kuonekana wa mjini nao siyo ushamba?
 
fikra za kitoto kwa watu wazima
Rwekaza Mukandara anaongea kilugha chake vizuri tu na siyo mshamba?
lugha ni utamaduni ni mzizi wa jamii yoyote ile ..... jamii isyokuwa na utamaduni ni sawa sawa na mti usio na mizizi
kuongea kilugha ziyo ushamba jitafakari mkuu
Kwa sababu ni Profesa? Kama hicho ni kigezo mbona Profesa Kabudi mshamba tu, Tena mshamba sana.
 
Mshamba ni nani?
yupo wapi?
anafanya ninini?
sifa za mtu mshamba ukiacha kuongea kilugha chake ni zipi?
ushamba wa mtu hupimwaje?
jenga hoja kwa kujibu hayo maswali ili tuelewe
kuishi maisha ya kwenye movies ili kuonekana wa mjini nao siyo ushamba?
Nimedefine pale juu. Kwa kifupi tunaweza sema mtu asiye mshamba ni yule amestaarabika: Kwa matendo, kwa mawazo, kwa tabia na uelewa kwa ujumla. Hata kama hajapita shule wala siyo tajiri. Mshamba ni kinyume chake.
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Kwa hiyo ukikutana na mwingereza akiongea kiingereza mjini atakuwa ni mshamba! Tabu kweli.
 
Kwa hiyo baba yako ni boooooooooonge la mshamba
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
 
Nimedefine pale juu. Kwa kifupi tunaweza sema mtu asiye mshamba ni yule amestaarabika: Kwa matendo, kwa mawazo, kwa tabia na uelewa kwa ujumla. Hata kama hajapita shule wala siyo tajiri. Mshamba ni kinyume chake.
Kuna kama yule mshamba wa Chato, ile ndio icon ya ushamba.
 
Nimedefine pale juu. Kwa kifupi tunaweza sema mtu asiye mshamba ni yule amestaarabika: Kwa matendo, kwa mawazo, kwa tabia na uelewa kwa ujumla. Hata kama hajapita shule wala siyo tajiri. Mshamba ni kinyume chake.
kaazi kweli
ku define ustarabu siyo jmbo jepesi kama unavyotaka dunia iamini
msikitini watu hawaingii na viatu na hujisafisha kabla ya kuingia huu ndio utaratibu/ustaarabu wao
kanisani ni kinyume chake ndiyo usaarabu/utaratibu wao
itashangaza kama mtu kutoka upande mwingine kati ya hizo hapo juu atapinga ule utaratibu na kuita ni USHAMBA
Nachelea kuamini kwamba ustaarabu ni pamoja na kutembea uchi, kuvaa vinjunga nk
lakini ustaarabu upo na ushamba ni zaidi ya kuongea kilugha
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Ushamba kwa kuongea lugha moja ya kilugha au lugha zaidi ya moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.

Toka nimewahi kukutana na watu wapumbavu na mpuuzi ni wewe
 
Jitu linezaliwa dsm halijui lugha yoyote ya kwako yupoyupo tu
Lugha hizo zipo namna hiyohiyo zilivyokuwa miaka 100 iliyopita. Zitakusaidia nini zaidi ya kukujaza concepts za kishamba. Mawazo ya miaka mia iliyopita.
 
Back
Top Bottom