Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

I can't say my daddy who made to Havard University ni mshamba simply he knew how to speak his vernacular language, mtoa mada jikague haupo sawa naona battery low na huu mgao.
Definition ya mshamba is very wide.
1- mshamba ni yule anaejiona Bora kuliko Wengine.
2- mshamba ni yule asiethamini asili yake
3- mshamba ni msomi anaepaka mkorogo Ili Hali anajua madhara yake.
4-.......

 
Lazima atakuwa mshamba tu kwenye mambo mengi ni tofauti na mtu ambaye hajui kilugha , Wasiojua kuongea kilugha wanakuwa wamelelewa na ulimwengu na mtu akiongea kilugha anakuwa amelelewa na kijiji.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
We Bwana swala la ushamba na mtu kujua kilugha haina uhusiano mbona kuna watu hawajui vilugha vyao na wamezaliwa mjini bado washamba tu!
 
We Bwana swala la ushamba na mtu kujua kilugha haina uhusiano mbona kuna watu hawajui vilugha vyao na wamezaliwa mjini bado washamba tu!
Ni ushamba kuongea kilugha kati ya watu wengi hata usiowajua.

Kuna manzi mmoko nilikuwaga nae ni mchaga ila mimi mmasai najua kichaga maana mama yangu ni mchagga, siku nimetembelea kwao wakawa wananisema kwa kichaga naelewa kila kitu. Wameongea sana mwisho wa siku nikatupia na mimi kwa kichaga waliona aibu sana.
 
Enda Saudi uone venye wakikoroga kiarabu mpaka kwa vyuo!!!
Mtu Kama WWE ndio mashamba,ata Labda unaumwa ukiona wengine wakiwa rahazao wakikoroga lugha zao!!!
Watu Kama WWE ndio mnasababishaga watoto wenu wapoteze lugha na majina zao mnatumia Kiarabu😭and you very proud😂😂mpaka unaskia mwengine kajiita K"Abudulahi Sobdida!!"
 
I can't say my daddy who made to Havard University ni mshamba simply he knew how to speak his vernacular language, mtoa mada jikague haupo sawa naona battery low na huu mgao.
Definition ya mshamba is very wide.
1- mshamba ni yule anaejiona Bora kuliko Wengine.
2- mshamba ni yule asiethamini asili yake
3- mshamba ni msomi anaepaka mkorogo Ili Hali anajua madhara yake.
4-.......

Elimu inasaidia kupunguza ushamba lakini haina garantee ya kuuundoa kabisa. Hujawahi waona maprofesa washamba? Humo makazini hujawahi kutana na workmates wasomi lakini washamba?
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Mantiki ya hoja yako ni nzuri, isipokuwa haukudadavua kuivisha makoti hoja hii.

Ni kujua kuongea kilugha au kuongea kilugha kwenye kadamnasi kamchanganyikeni?

Ushamba wa kujua kilugha bila matumizi hokela unatokea wapi hapo sasa?

Kujua kilugha pekee hakihusiani na ujinga wa mtu kuongea kilugha kwenye kadamnasi kipumbafpumbaf.
 
Back
Top Bottom