Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Ukipanda basi na wasukuma wa Maswa usiposhuka basi ujihesabu wewe una roho ngumu.

Yani usiombe wengine wapate siti za mbele wengine siti za nyuma na bado wanataka waongeleshane, mziki wake sio wa kitoto.
Kuna mmasai na mjaluo hapo,yaan mmepanda coaster ukute kuna wajaluo 3 au wamasai 3 hilo gari nzima wao ndio watakua wanapiga story
 
Kwa kifupi sana mleta mada ni mtumwa wa lugha za watu ,nyie ndio wale hata mtu unakuta una mwanao mahala huwezi kumwambia jambo lenu bnafsi kisa hutaki kuongea kilugha na mwanao hakijui kilugha chenu huo ni UTUMWA
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Yaan wewe ni mbulula na mpumbavu sana. Kuishi mjini unajiona mjanja sana.

Kumbe kuongea kiswahili ndo ujanjà sana.


Yaani kwa akili hizi za vijana wajinga na wapumbapu kama wewe. Ni hakika ccm itaendelea kututawala.

Yaan kwako issue ya mtu kuongea kiluga ni ushamba?
 
Elimu inasaidia kupunguza ushamba lakini haina garantee ya kuuundoa kabisa. Hujawahi waona maprofesa washamba? Humo makazini hujawahi kutana na workmates wasomi lakini washamba?
What's your definition of so called USHAMBA? mine is there on my explanations.
Speaking English doesn't make you to be exceptional.
I believe in EXPOSURE Kila mtu ni mshamba kulingana na mazingira yaliyopo.
 
Najua vilugha ; kimatengo na Kiganda,
Najua kiswahili,
Najua Kingereza,
Najua kifaransa,
Mleta thread ni kati ya wale wenye matatizo ya akili.
 
Yaan wewe ni mbulula na mpumbavu sana. Kuishi mjini unajiona mjanja sana.

Kumbe kuongea kiswahili ndo ujanjà sana.


Yaani kwa akili hizi za vijana wajinga na wapumbapu kama wewe. Ni hakika ccm itaendelea kututawala.

Yaan kwako issue ya mtu kuongea kiluga ni ushamba?
Kuwa makini sana na watu wanaojua vilugha. Uwezekano wakawa washamba ni mkubwa sana.
 
What's your definition of so called USHAMBA? mine is there on my explanations.
Speaking English doesn't make you to be exceptional.
I believe in EXPOSURE Kila mtu ni mshamba kulingana na mazingira yaliyopo.
Nimeweka hapo kwenye post ya kwanza definition. Na kuongea kiingereza ili uonekane ni dalili nayo ya ushamba.
 
Najua vilugha ; kimatengo na Kiganda,
Najua kiswahili,
Najua Kingereza,
Najua kifaransa,
Mleta thread ni kati ya wale wenye matatizo ya akili.
Umekulia kimatengo? Kuna uwezekano mkubwa ukawa mshamba. Umejaa kichwani mitazamo ya kimatengo.
 
Huo sio ushamba ...but we una kitu kama inferiority complex kwa kama hujui kilugha Kaa pembeni ..Mimi binafsi hata Kabila langu naandika hata ukinitukana sijui kitu huwaga sipendelei napenda sana kiswahili ila wanaongea sio kwamba ni washamba ni manufaa kwao..Mimi kwangu hakisaidii kwa vile ila wale kinawasaidia ni vizuri pia kujua Lugha nyingi ..

Ushamba hapa Dar kuna jua kali Kuna Wana wa kanda ile wanakuja wanavaa Makoti kama nguo hawana yaani utasema bodaboda hata hawajui kwamba kwao wanavaa Makoti kwa vile Kuna baridi ,Jifunzeni kutembea na flow jua kali la saa Saba mtu kavaa koti na maviatu makubwa.

Ushamba kitu kidogo unapost status mtu anajua kila kitu kuhusu wewe..kila siku ukiwa una furaha unapost na ukiwa na huzuni unapost pia ,huu ni ushamba mara upost mtoto wako Haina faida ..

Ushamba kazini kuleta pigo za umbea story hazina maana ,kueleza shida za familia yako na ndoa yako kazini kila mtu anajua mara ishu za nyumbani yaani tabu tupu..

Ushamba hata uende mji gani ukiwa unajitambua unaweza ukatulia ukaonekana kama mwenyeji sio ushamba kibao...ushamba ni asili halafu ni ngumu kuwa mjanja kuliko mshamba hata kuvaa Yale mat-shirt sijui singida boy, mbeya boy ,Tanga boy, kweny miji wa watu ni ushamba
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Ngoja niwaorodheshe washamba wakubwa hapa nchini:
1. Wasukuma
2. Wahaya
3. Wachaga
4. Wagogo
5. Ongezea
 
Lugha hizo zipo namna hiyohiyo zilivyokuwa miaka 100 iliyopita. Zitakusaidia nini zaidi ya kukujaza concepts za kishamba. Mawazo ya miaka mia iliyopita.
Ujanja ulio nao kama haubadilishi maisha yako kiuchumi hamna la maana! Na kwa sehemu kubwa hapo Dar wanaoongea kilugha ndo wenye maisha mazuri! Nyinyi mnaojifanya born town wengi mafala vizinga ndo tabia zenu!
 
Back
Top Bottom