Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

Kuongea kilugha ni ishara kubwa kuwa mtu huyo ni mshamba. Lugha imestack na habari za miaka ya 1800. Wewe unajifunza na kuiongea leo, si utakuwa na mawazo ya miaka hiyo na ya kijijini kwenu tu!? Hata utsmaduni wako utakuwa hivyo.
Du...ninyi watoto mnaonuka mikojo mna matatizo sana.
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Lugha ni njia ya kuwasiliana inayotumika sehemu/na jamii fulani. Ukiwa hapa bongo unaongea kiswahili bro hicho ni kilugha na lizungu likiongea kingreza linaongea kilugha kutoka jamii yake uko.
 
Wahindi wapo miaka yote Tanzania Ila hawajui kiswahili, ndio washamba mnaowaongelea?
 
Wewe ni kinda mjinga mjinga amnaye hajui vipi Mkwawa aliorganisena kumaae jeshi lililompiga mzungu Major Von Zewelensky.

In the mean time baki na ujinga wako.
Fuatilia mtaani au kazini kwako. Watu wale wanaopenda sana ishu za kishirikina, mara wamenda kwa waganga nk. Utagundua wanajua kilugha. Kaa mbali na mtu anayejua kilugha, wengi wao washamba sana.
 
Tibaigana Alfred alikuwa anaongea kiswahili Kama kihaya Sasa Mtu huyo kasoma Dsm na Mataifa mengine Ulaya na kuufanya kazi Tz na Mataifa mengine na aliwazibiti watoto wa Town .vipi naye ni Mshamba?
 
Tibaigana Alfred alikuwa anaongea kiswahili Kama kihaya Sasa Mtu huyo kasoma Dsm na Mataifa mengine Ulaya na kuufanya kazi Tz na Mataifa mengine na aliwazibiti watoto wa Town .vipi naye ni Mshamba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daa hii swali hata mie nasubilia jibu.
 
Ujinga,upumbavu na ULIMBUKENI🚶‍♂️ ni burudani sana ukishawaelewa watu wengi kwenye hii mitandao🤣🤣🤣 na ni mzigo ambao ni wanaokuangalia tu huwa wanaona kuwa umebeba fuko la taka. Ila uloubeba unahisi umebeba dhahabu. Usipoongea kilugha basi wewe umewin. Ndo dunia ilikofika sasa. Dah. Mitandao inatukutanisha na hoja za ajabu sana ila inatufundisha kujua akili za wengi
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Mkuu, fahamu hata kiswahili ni kilugha fulani hivi.
kwa mantiki yako nawe ni mshamba unayepaliilia bustani ya ujinga.
Kwa taarifa yako ushamba ni mazoea yanayofanywa na mtu yeyote kwenye mazingira yasiyokubalika kufanywa hivyo na wakazi wa eneo husika!
Kwa mfano, ukienda nchi za ulaya, hata uwe umezaliwa kariakoo, ukakulia postai Dar es salaam, lakini ukinunua kitu ukatupa kifungashio barabarani, mbali ya kwamba ni uchafu kwao, ila tena ni ushamba, wakati kwa wabongo ni kawaida tu.
Hili neno ushamba ni pana mno!
Kinyume chake ni neno USTAARABU!
Sijui kama unafahamu kwamba
kugombana.
Kuiba.
kukata foleni kwenye huduma fulani.
Kugombania daladala.
Kufungua mziki kwa sauti kubwa
Misifa ya kijinga.
Kujidai ni mtoto wa mjini.
Na ushamba mwingine kibao kwa aina zake, wote ni huohuo mmoja.
Lakini lugha kwa yenyewe haiwezi kunasibishwa na ushamba.
Samahani lakini.
 
Lakini kuongea kiingereza ndio dalili ya mjanja sio?
Tena ndio ushamba na ulimbukeni mkubwa mno.
Kila Taifa duniani Wana lugha ya Taifa na makabila unavyowaona watanzania. Warusi lugha ya Taifa Ni kirusi Ila bado ndani ya Taifa lao. Urusi pekee wanayo Kama 80,hata uk,China,India, Nigeria ,sauzi afrika, Germany,Spain even Portugal.
So labda huyu anataka kusema kuwa aliyeziweka ndie ana makosa . So anakufuru
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Uko sahihi na ni washamba kweri kweri [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ushamba zaidi huwa wanalazimisha na wewe uongee nao kilugha mi nawachinjiaga baharini...ataongea kilugha mi namjibu kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Jamaa, alikua anaitwa Chacha kumamae, kisa cha kuitwa hivyo, zamani ilikua kusifia au kujisifia ilikua unaweka neno kumamae, mfano: Jana nilikunywa soda nyingi sana kumamae, au kumamae yule jamaa anapenda kulakula.
Hivyo huyu chacha neno lilimkaa, ikwa hewezi kuongea bila kuweka neno hilo, hata akiongea na Mama au Baba yake mzazi, yaani alishalemaa ukitaka asilitamke neno kumamae, anza kulitamka wewe, itakua kama umemkumbusha.

Sasa huyu mleta mada, inaonyesha nae ni mshamba, ila kuoneka yeye mjanja, mbele za watu ni kitu kilicho mkaa sana akilini, asichokijua ushamba hujivua wenywe tu, watu hawa wakiwa mijini, haulizi mahala, kuogopa kuonekana wageni, kumbe kuto kuuliza kitu kwa kigezo hicho ndiyo ushamba wenyewe.
 
Na ushamba zaidi huwa wanalazimisha na wewe uongee nao kilugha mi nawachinjiaga baharini...ataongea kilugha mi namjibu kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuogopa kuongea kiluga chako, eti kwa sababu utaonekana mshamba, huo ni ushamba pia, nyie ndiyo mkienda kwenu mnauliza vitu ambavyo mnavijua, eti hiki kinaliwaje, hiki kinatumikaje, ili uoneka wa mjini. uwa mjini hauonyweshi unajionyesha wenyewe.

Sisi Wasambaa mkubwa akikuongelesha kuluga, afu wewe unamjibu kwa kiswahili, siyo heshima.
 
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.

Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.

Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Ulichokiandika hapa ndio ushamba wenyewe
 
Daah...! Tumepotea kabisa. Nyie vijana wa 2000 ndio maana ushoga unaongezeka kwa kasi. Hujijui wewe ndio mshamba kuikataa lugha yako ya ajili. Mkataa kwao ni mtumwa.
Ona Wananigeria,pamoja na kujazana ulaya na kujua kingereza kuliko wewe limbukeni,lakini asilimia kubwa wanaongea lugha zao za asili.
Wanaigeria hata akiongea akiongea lugha nyingine kama kingereza. Lakini sikiliza matamshi na lafudhi yao,imejaa kilugha. Wewe kujua kingereza juzi umeanza kukutaa kwenu. Ushamba mzigo,ksbb mwenye kuwa nao hujijui
 
Back
Top Bottom