Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

ChizzoDrama

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2019
Posts
1,317
Reaction score
1,229
🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia
(VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani)

Kama Ambavyo Msanii huwa Anachagua Aina ya wasanii wa kufanya nao COLLABO why not 👇

VENUE (mazingira yatakayo endana na status yake) ?!
●Neno BRAND limekuwa kama geresha tu lakini most of our favorites and icons, hawaliishi ipasavyo

Imagine msanii ndani ya mwezi, unamuona kwenye
□Arobaini ya mtoto wa fulani
■Birthday parties
■Baby shower
■mara jukwaa la siasa
■interviews 7
Na hii ni kwa wasanii wote Tanzania, lazima wawe na standards zao,siyo tu upande wa collabo

Kuwa EXPENSIVE (siyo tu gharama yako per shows) hata upatikanaji wako usiwe wa simu moja tu kama mtu asiye na mambo mengine anasubiria mchongo
Sometimes, siyo nyimbo zote zinahitaji videos
Msingi wa muziki ni ala na sauti tu, picha ni ziada, ya watu kujua anaye imba na kutengeneza bond

Tunaweza kuwa tunalaumu, directors kwa kukosa ubunifu, kumbe sometimes tunakuwa tumechoka kuwaona kila dakika

MWISHO: sina chuki na msanii yeyote, hayo ni mawazo/ mtazamo wangu
Na mchango wangu katika ukuaji wa sanaa nchini (peace)
#DramaWasHere ✍
 

Attachments

  • GridArt_20230517_031044902.jpg
    GridArt_20230517_031044902.jpg
    888.6 KB · Views: 9
Diamond in Tz still no 1
Alikiba no 2
The rest is history

Kuhusu kupigiwa simu ,Mfano umekaa gheto huna mchongo hii utokea Sana hata kwa kina Bana boi inatokea show kukata kawaida

That way msanii au wasanii wanashauriwa Sana kusave pesa. Kutoka katika muziki ili waanzishe side hustle tofauti na muziki so nahis mond alibarikiwa akili ya kuona Kesho yake na kuandaa investment zake mapema
 
Walipofikia akina burnaboy kila kitu kipo arranged wana annually schedule kuanzia, vacations, shows nk
Sisi tunaofanya Kazi za kupigiwa simu we know it

Mond kimuziki ameporomoka unfortunately or fortunately alijipanga mapema akaandaa side hustle kupitia income aliyopata kupitia muziki,


Then kuwa na schedule mtu unaandaa schedule kutokana na unavyopokea order kutoka kwa promota.

I hope mond. Schedule Yale anayo bila shaka
 
Diamond in Tz still no 1
Alikiba no 2
The rest is history

Kuhusu kupigiwa simu ,Mfano umekaa gheto huna mchongo hii utokea Sana hata kwa kina Bana boi inatokea show kukata kawaida

That way msanii au wasanii wanashauriwa Sana kusave pesa. Kutoka katika muziki ili waanzishe side hustle tofauti na muziki so nahis mond alibarikiwa akili ya kuona Kesho yake na kuandaa investment zake mapema
Nampenda Kiba...
Ila hiyo NO.2 mtoe hapo...

Mpe yule Mtoto wa Kimakonde...Kwa heshima...

NO.3 The Kid you Know.....Marioo
 
🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia
(VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani)
o ni mawazo/ mtazamo wangu
Na mchango wangu katika ukuaji wa sanaa nchini (peace)
#DramaWasHere ✍
Una compare burna na mondi
 
Back
Top Bottom