Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #21
Ashazoea kamera, nini sasa kwenda kukodi na kuandaa hafla kubwa namna ile michango yenyewe imetolewa na na akina Lissu, Mbowe, Lema na Juma Nature na Lady Jay Dee.Kila siku natamani kumwambia profesa atulie kidogo aangalie afya yake.
Hmmm. Umeme hauwezi kupelekea tatizo la figo unless matumizi ya muda mrefu wa dawa ambayo yanapelekea figo kuchoka. Kwa hiyo umeme hausababishi tatizo la moja kwa moja labda dawa za kutibu umemeProf jay ana skendo ya umeme.
Isije ikawa ndio sababu
inafikieisha sana.Starehe isiyo na majjuto kiafya, kiakili, kimwili na kiroho ni kumwabudu Mungu Muumba mbingu na nchi katika roho (imani) na kweli (vitendo).
Pombe majanga = Huharibu figo, ini, kisukari, mtikisiko kiuchumi..
Sigara majanga = Huharibu mapafu, kansa, pumzi ndogo kimazoezi.
Bangi = Maamuzi yasiyo na akili.
Uzinzi + Uasherati + Kunyaduana = Magonjwa ya zinaa, UKIMWI, UTI, tezi dume, mikosi, mtikisiko kiuchumi. Watoto wengi wa mitaani sababu ya mimba zisizotarajiwa na mivunjiko ya mahusiano/talaka za ndoa, visasi na mauaji sababu ya wivu uliopitiliza na usaliti.
"Dunia ni uwanja wa fujo, Dunia hadaa walimwengu shujaa"
TangaHiyo pombe ya kaja jana kaondoka leo inapatikana mkoa gani hapa nchini?
Kama ni hivyo mbona serikali haijapigwa marufuku mvinywaji vikali kama ilivyopata marufuku bangi nk ?Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,
Dalili za ugonjwa wa Figo
1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" - P Jb
Bwana Yesu Alienda kutafakari kwenye majani ya kondeniBAngi haina madhara bwana na wewee!
Hayo ndio majani ya kondeni kwenye vitabu .
Nakubaliana nawe kwenye mengineyo mkuu ila ndumu inanipa focus hasa ninapokuwa nawasiliana na Mungu wangu.Pia vyote ulivyotaja vimekatazwa kwenye Biblia ila ndumu wamekataza sirikali.Starehe isiyo na majjuto kiafya, kiakili, kimwili na kiroho ni kumwabudu Mungu Muumba mbingu na nchi katika roho (imani) na kweli (vitendo).
Pombe majanga = Huharibu figo, ini, kisukari, mtikisiko kiuchumi..
Sigara majanga = Huharibu mapafu, kansa, pumzi ndogo kimazoezi.
Bangi = Maamuzi yasiyo na akili.
Uzinzi + Uasherati + Kunyaduana = Magonjwa ya zinaa, UKIMWI, UTI, tezi dume, mikosi, mtikisiko kiuchumi. Watoto wengi wa mitaani sababu ya mimba zisizotarajiwa na mivunjiko ya mahusiano/talaka za ndoa, visasi na mauaji sababu ya wivu uliopitiliza na usaliti.
"Dunia ni uwanja wa fujo, Dunia hadaa walimwengu shujaa"