Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

Kila siku natamani kumwambia profesa atulie kidogo aangalie afya yake.
Ashazoea kamera, nini sasa kwenda kukodi na kuandaa hafla kubwa namna ile michango yenyewe imetolewa na na akina Lissu, Mbowe, Lema na Juma Nature na Lady Jay Dee.

CCM hawawezi changia mtu mpinzani hata kama yupo at deathpoint.
 
Haya mambo yasikieni tu, kwa kifupi hili tatizo likiingia katika familia basi ni iwe utakufa haraka kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu ambazo ni ghali sana, au kama mna mali mtaishia kuuza zote mtaishia kufilisika na hazitoshi kutibu tatizo , vinginevyo atokee msamaria mwema wa ku donate figo inaweza kuwa nafuu
 
Father mdogo alitumia sana hayo madude akiwa kweny kitengo serikalini, anajiona mjanja alipofika umri kama miaka 55 ~56 balaa likaaza ....Kaumwa miaka 4 mpaka alistaafu akiwa kitandani .


Alianza kuvimba miguu mwishoe ikaacha ikawa midogo kama mikono...Mara avimbe shavu moja akaanza kulalama haoni vizuri huku kaka zake wanakaribia miaka 70 ila wapo fresh...Kateseka sana miaka kama 8 mpaka amefariki.
 
inafikieisha sana.
Sasa inasemekana kwenye pombe ndio kuna connection.
Wanywa juisi utawakuta KFC na vijimighahawa wapo na watoto, hakuna mazungumzo zaidi ya kupiga picha tu.
 
Kama ni hivyo mbona serikali haijapigwa marufuku mvinywaji vikali kama ilivyopata marufuku bangi nk ?
 
Nakubaliana nawe kwenye mengineyo mkuu ila ndumu inanipa focus hasa ninapokuwa nawasiliana na Mungu wangu.Pia vyote ulivyotaja vimekatazwa kwenye Biblia ila ndumu wamekataza sirikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…