Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo.
"Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" -
P Jb
Angalia wagonjwa wengi wa figo sio wanywa pombe kali,huyo profesa aache kelele...absolute,martel tunazigonga sana,wale wala rojo na pweza figo ndio zinafeli
 
Sionagi nyuzi za kudiss soda,enegy na mijuice juice,,,ina maana ngano inamadhara sana,,, tusifokeane bhana ukiona soda nzuri komaaa ukiona shayiri ni nzuri komaa ila siku ya saba nenda kuabudu
Hizo ndio mbaya kuliko pombe,cocacola inasukari vijiko 12 yani majanga
 
Piga kama kawaida, ila pia ukumbuke kuandika WOSIA mkeo asije porwa mali zote na wadogo zako.
Pia, uandike pahala pa kuzikwa ili kwenye kikao cha mazishi pale Mwika Bar ndugu zako wasivutane sana.
Lakini pia, unaweza kuacha maagizo kama mtu hajawahi kukuletea maua kipindi upo mzima asikuletee maua ya bei ghali ukiwa mfu maana hata hutaweza kumshukuru,.
Daaah mke wangu tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Nina muonekano Wa kiume??
 
Asante sana kwa elimu,japo hiyo ya kukojoa mara kwa mara usiku,duuh! mimi nikinywa glasi mbili usiku za maji,lazima ntaamka hata mara tatu kwenda kukojoa,aisee .....! nimeogopa ... sana.
Dialysis ni ghali na inakula muda,just imagine kukaa kwenye mashine kwa muda wa masaa manne,tena uwahi foleni asubuhi asubuhi,daah!
 
Piga kama kawaida, ila pia ukumbuke kuandika WOSIA mkeo asije porwa mali zote na wadogo zako.
Pia, uandike pahala pa kuzikwa ili kwenye kikao cha mazishi pale Mwika Bar ndugu zako wasivutane sana.
Lakini pia, unaweza kuacha maagizo kama mtu hajawahi kukuletea maua kipindi upo mzima asikuletee maua ya bei ghali ukiwa mfu maana hata hutaweza kumshukuru,.
Vipi wewe, wosia wako umeshaandika? maana figo, malaria, uzee, depression, mabovu ya Hamas etc safari ni moja tuu ,hakuna wa kuiepuka na Kila mtu Kwa wakati wake
 
Acha pombe, Hela ya pombe kanunue maji au Maziwa
 
Dunia sio makazi ya kudumu.
Kula raha kula bata
Bora kuishi maisha ya furaha kwa miaka 40 kuliko ya taabu na shida kwa miaka 90 😂😂
alisikika mlevi mmoja akisema haya.😂
 
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo.
"Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" -
P Jb
#12

Idadi kubwa ya wanaume
 
Ha
Prof alikosa chakula? Achaneni na kuitia hasara serikali.
Achaneni na pombe kali, kunywa mbege, togwa na mnazi.
Acha piwa, wanzuki, Moshi, Kaja jana kaondoka leo, hizo wanywaji ukiwaona wanakuwa na kakitambi flani mbonyeo kama mjamizot, alafu mashavu yanamwagika, alafu mtu anakuwa kama anangaa flani, ni hatari sana.
ha ha ha ha ha
 
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo.
"Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo

Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant, Nyagi na wote wanaopiga vileo vikali ili kukomesha mademu na mengine kama hayo.
Prof J hata kwenye interview yake alisema kwa siku alikuwa anachoma sindano za laki 8,

Dalili za ugonjwa wa Figo

1. Kuchokachoka ambako hakuelezeki.
2. Kulala siku inakuwa shida.
3. Hamu ya kula inapungua bila kujielewa.
4. Huwezi kufikiria sawa.
5. Mwili unaanza kuwasha.
6. Miguu inaanza kuvimba.
7. Ukiamka asubuhi jiangalie kwenye kioo uso wako utakuwa wa mduara na kadiri siku zitakavyokwenda inapotea.
8. Taste ya chakula inaanza kupotea
9. Kupumua hata rafiki zako wanaanza kugundua harufu yako ya kupumua inakuwa si nzuri sana.
10. Tumbo kuuma
11. Usiku kutoka mara kwa mara kwenda haja ndogo
12. Haja ndogo kuanza kuwa na povu
13. Unaanza kuona chembechembe za damu kwenye mkojo" -
P Jb
Hizi dalili nyingine zinaweza kuja kutokana na mambo mengi tu.

Yani tumbo likikuuma au ukikojoa povu tu tayari unaumwa figo?
 
UKimsikiliza prof j.g anabi huwezi ishi, wanangu tupigi vyombo mpaka tufe hakuna umuhimu wa juda vyotete vikiwa vizima
 
Hizi dalili nyingine zinaweza kuja kutokana na mambo mengi tu.

Yani tumbo likikuuma au ukikojoa povu tu tayari unaumwa figo?
Nimeshanga mkuu mm ya sura kuwa duara au miguu kuvimba hapo ndo aliyenayo ajicheki
 
Hizi zinaweza kuwa dalili za kinajimu, si kitabibu.
Tanzania ukishaitwa prof huwa huhojiki.kuna siku walikuwa wanataka trngeneza it system ya kujibu kero asee et wakafungua whatsap group .nilikua muhimbili hamna kitu
 
Tanzania ukishaitwa prof huwa huhojiki.kuna siku walikuwa wanataka trngeneza it system ya kujibu kero asee et wakafungua whatsap group .nilikua muhimbili hamna kitu
Yani Profesa wa Muhimbili katoa dalili kama wale kina Profesa Maji Marefu vile.

Yani kama mganga wa kienyeji ambaye hajaenda shule, kajipachika tu hiyo hadhi ya Uprofesa.

Atawatia watu hofu bila sababu, quite contrary to "first, do no harm".
 
Back
Top Bottom