Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Hapo ndio penyewe.Hata hivyo hela hamna, kipande cha makutopora hadi nzega hawajapata mfadhili.
Huyu bwana mbwembwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio penyewe.Hata hivyo hela hamna, kipande cha makutopora hadi nzega hawajapata mfadhili.
Huyu bwana mbwembwe tu
Hii nchi imejaa wasomi waoga hawawezi kumwambia ukweli mkuu.Kulikuwa na umuhimu gani kutoa kipaumbele kwa mradi unaohitaji pesa nyingi na haukamiliki karibuni wakati sekta nyingine muhimu kama kilimo, elimu, afya, maji, umeme, biashara, ajira nk zinazorota?
Maana mara kadhaa nikisikia/kusoma kauli zake najaribu kutafuta kama kuna uhusiano wowote na hiyo nick name yake.Hata sijui mkuu, labda ni nickname kama kina Kibajaji
Kina nani?
Yamkini tulielewa vibaya, huenda walimaanisha 70% ndio bado haijakamilika.Tuliambiwa eti 70% imekamilika.
Mimi sioni shida hata ukikamilika baada ya 2030, nchi ina miradi mingi sio sgr pekee
Huo mradi kwa wingi wa graduates mtaani wangetangaza dau mradi ungeisha ndani ya miezi 6 tu. Kupanga matofali na kufunga reli ndio iwe ishu hivyo? Waturuki wao wangejenga sehemu zenye madaraja tu
Hawachelewi kupindiaha walicho ripoti mwanzoYamkini tulielewa vibaya, huenda walimaanisha 70% ndio bado haijakamilika.
Wazo hili mkubwa angelipata mapema leo tungekuwa tungekuwa tunaongea mafanikioHuo mradi kwa wingi wa graduates mtaani wangetangaza dau mradi ungeisha ndani ya miezi 6 tu. Kupanga matofali na kufunga reli ndio iwe ishu hivyo? Waturuki wao wangejenga sehemu zenye madaraja tu
Maamuzi ya mihemuko,kutokuwasikiliza wataalamu tumejikuta tuna miradi mikubwa inatekelezwa kwa pamoja(Bwawa la umeme mto rufiji, Treni ya mwendo kasi).Kulikuwa na umuhimu gani kutoa kipaumbele kwa mradi unaohitaji pesa nyingi na haukamiliki karibuni wakati sekta nyingine muhimu kama kilimo, elimu, afya, maji, umeme, biashara, ajira nk zinazorota?
Nachokumbuka miaka hyo wakat npo advance NJOMBE SEC magar yake yaliandikwa JAH PEOPLE kuna picha ilochorwa kwenye malor yake mtu kashika jambia na kichwa cha simbaMaana mara kadhaa nikisikia/kusoma kauli zake najaribu kutafuta kama kuna uhusiano wowote na hiyo nick name yake.
Kwaiyo unafurahi ujenzi kutokamilika kwa wakati, kwani hata usipokamilika we unapata faida gani?kwanza inabidi tumpongeze Magufuli kwa uthubutu pamoja na mdororo wa uchumi kwasababu ya corona, serikali ya Magufuli bado wanaendelea na miladi yote,nchi nyingi miladi mikubwa wamesimamisha, mpaka wanafikia kupunguza wafanyakazi.Maguri ni mwanaume wa shoka.subiri wanakuja
Dar to Moro ilikuwa ni mradi wa miaka miwili. 2017-2019 mwishoni,kulikuwa na sababu zipi ukachelewa?Mtikisiko wa uchumi tokana na covid19 utayumbisha vingi. Siyo kwetu tu, hata kwao.
Hoja ni kukamilika ndani ya utawala wa Magufuli.Kwaiyo unafurahi ujenzi kutokamilika kwa wakati, kwani hata usipokamilika we unapata faida gani?kwanza inabidi tumpongeze Magufuli kwa uthubutu pamoja na mdororo wa uchumi kwasababu ya corona, serikali ya Magufuli bado wanaendelea na miladi yote,nchi nyingi miladi mikubwa wamesimamisha, mpaka wanafikia kupunguza wafanyakazi.Maguri ni mwanaume wa shoka.
Inawezekana mzee alipanga kujenga bila kuwa na pesa za ujenzi? Sidhani bana hii nchi ni tajiriKama hiyo pesa yake ya ujenzi iko tayari.
Hivi huyu Sanga wanamuita/anajiita 'Jah people' sababu ya kuvuta bangi ama?!
Sgr unazindua baada ya kuijenga kichawi? Dodoma to tabora mtapajenga usiku kichawi?Uzuri huwa ajibu ovyo atawasikia polojo zenu then anakuja kuziba . kelele zenu anapokuja kusema tunazindua mradi wa sgr nyiee ongeen tuu maana nikipaj cha mtanzania kupiga kelele