Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Hivyo mshindani wetu hapa pekee ni Kenya. Tukiweka miundo mbinu mizuri kama hiyo ya sgr ya umeme na kuisimamia vizuri Kenya tutamshinda kwani geographically yuko mbali zaidi na nchi hizi kuliko Tanzania.
Sowell’s central message is that the reason some people are poor — in any country, at any period in history — is not discrimination or exploitation or malicious actions on the part of the rich. Rather, people are poor because they don’t or won’t produce. For him, the only mystery is why.

Geography may have something to do with it. Civilizations that shut themselves off from the rest of the world, Sowell writes, are those that lag behind.

Sometimes that is because of physical barriers, like mountains or a lack of navigable waterways or the unavailability of pack animals.

Other times, as with China and Japan in the 15th and 16th centuries, it is because political leaders seeking to protect their own power cut themselves off from the world.

Either way, the isolation inhibits the development of the “knowledge, skills, experiences and habits” that lead to economic growth. It also prevents humans from developing antibodies, making them susceptible to devastating diseases when foreigners arrive, as happened with the Incas and the Native Americans.

A second determinant of economic success is culture, by which Sowell means customs, values, norms and attitudes.

For him, the proof of culture’s importance is to be found in the experience of minority groups, in various countries, that have achieved extraordinary economic success: Germans in Eastern Europe, Lebanese in West Africa, Japanese in Peru, Chinese in other parts of Asia, Jews and Indians everywhere.

These immigrant groups arrive with a taste for entrepreneurship, a focus on education, a commitment to family, a reputation for honest dealing and an instinct for hard work. They also have high levels of trust and cooperation among themselves.

Successful countries have learned to incorporate these cultural traits into their own, in contrast to “lagging” ones that envy and resent these minorities and concoct grievances against them to explain their own lack of success.

Black leaders want to keep their people in poverty because otherwise they would have no purpose......

Source : https://www.washingtonpost.com/opinions/heres-why-poor-people-are-poor-says-a-conservative-black-academic/2015/09/03/

Wealth, Poverty, and Politics​


Source : Hoover Institution
 
Sowell’s central message is that the reason some people are poor — in any country, at any period in history — is not discrimination or exploitation or malicious actions on the part of the rich. Rather, people are poor because they don’t or won’t produce. For him, the only mystery is why.

Geography may have something to do with it. Civilizations that shut themselves off from the rest of the world, Sowell writes, are those that lag behind.

Sometimes that is because of physical barriers, like mountains or a lack of navigable waterways or the unavailability of pack animals.

Other times, as with China and Japan in the 15th and 16th centuries, it is because political leaders seeking to protect their own power cut themselves off from the world.

Either way, the isolation inhibits the development of the “knowledge, skills, experiences and habits” that lead to economic growth. It also prevents humans from developing antibodies, making them susceptible to devastating diseases when foreigners arrive, as happened with the Incas and the Native Americans.

A second determinant of economic success is culture, by which Sowell means customs, values, norms and attitudes.

For him, the proof of culture’s importance is to be found in the experience of minority groups, in various countries, that have achieved extraordinary economic success: Germans in Eastern Europe, Lebanese in West Africa, Japanese in Peru, Chinese in other parts of Asia, Jews and Indians everywhere.

These immigrant groups arrive with a taste for entrepreneurship, a focus on education, a commitment to family, a reputation for honest dealing and an instinct for hard work. They also have high levels of trust and cooperation among themselves.

Successful countries have learned to incorporate these cultural traits into their own, in contrast to “lagging” ones that envy and resent these minorities and concoct grievances against them to explain their own lack of success.

Black leaders want to keep their people in poverty because otherwise they would have no purpose......

Source : https://www.washingtonpost.com/opinions/heres-why-poor-people-are-poor-says-a-conservative-black-academic/2015/09/03/

Wealth, Poverty, and Politics​


Source : Hoover Institution

Haya bwana. Nimekuelewa na ninadhani na wewe umenielewa.
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

**********

HIVI NDIO VITU VINASABABISHA MNADHARAULIKA NA KUONEKANA MNACHIWEZA KUFANYA NI KUCHUKIA TU UTADHANI HIYO RELI ITAKUA KWA AJILI YA WASUKUMA AU MAGUFULI NA WATU WAKE AU VIONGOZI WA SERIKALI TU!
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Limajaliwa liongo sana, liliwahi kutuongopea Jiwe yupo hai anapiga kazi
 
Yapi wanafanyakazi kitaalamu na kuchunga ubora.Sio kuripua ripua kama wanavyofanya wachina.Nenda kwao Uturuki ukaone mareli na madaraja waliyojenga.Tukiwashinikiza watafanya haraka halafu madaraja yaporomoke mapema.
Watajenga mpaka lini?
 
Kwa hiyo akifa kabla ya mradi ina maana na SGR nayo itakufa?

Tusimpangie Mungu
Na kweli akafa kabla ya mradi. Magufuli alikengeuka na madaraka ya Dola ndiyo maana alikuwa anaropoka hovyo. Kwa mfano anasema nikiondoka mimi nani atamalizia miradi?

Mungu akamuonyesha ukuu wake
 
Bandugu sehemu pekee ya kuambiana ukweli hapa Tanzania imebaki Jf maana sioni gazeti, radio au Tv ambayo inaweza kujilipua na kusema ukweli au kutoa wazo lenye mantiki ya ukweli ili kuiambia ukweli serikali yetu.

Mfano ni dhahiri kuwa ujenzi wa Sgr toka Dar to Morogoro ulipangwa kukamilika 2019 na kipande hiki kina umbali wa km 202. Lakini leo hii tupo mwaka 2021 lakini nimezungumza na wadau ambao wapo site wanasema huu mwaka hawawezi kukamilisha.

Mmmoja wa wadau alie site japo kuwa sio mtaalamu sana wa civil works ila kwa uzoefu wake ameniambia kuwa kampuni ya Yapi merkez wapo slow katika kuchapa kazi. Maana anasema amefanya kazi za ujenzi kwa muda mrefu na haoni ugumu wa ujenzi wa reli maana kazi kubwa ni kujaza tuta na kisha kutandaza reli.

Kwa hiyo kukata udongo na kujaza tuta sio kazi ya kuchukua miaka minne,japokuwa kuna ujenzi wa madaraja,vituo na miundo mbinu ya umeme. Bora hii tenda wangepewa wachina tangu awali hizo km 202 zingekamilika.

Kuambia watu kuwa tutamilisha ujenzi wa Sgr ndani ya miaka 5 iliyobaki ya utawala wa JPM ni ndoto za mchana. Maana kwa kasi hii ya kampuni ya Yapi merkez ni kujidanganya kuwa vipande vya Makutupora to Moro,Dom to Tabora na Tabora to Isaka vitakamilika kwa wakati.

Inashangaza kwa nini PM Majaliwa haoni aibu kila mara kutuambia kuwa tupo karibu kuanza kupanda treni ya umeme wakati kiuhalisia bado sana.
Kweli tumekubali.
Hakuna namna ya kuharakisha mradi ,labda kuna makosa katika kumpata mkandarasi.
 
Siku zinasonga mbele na mradi bado haujakamilika.
Faraja ni kwamba mradi unaendelezwa tofauti na ilivyotarajiwa na baadhi ya watanzania kuwa akifariki Magufuli mradi huo utatelekezwa.
 
Back
Top Bottom