financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Sasa endelea kuchochea moto huo ntakuja tuu😀Mimi sipendi vikojozi[emoji23]..mambo ya kuanika godoro nje kila siku alafu limebonyea katkati km mtumbwi me siyawezi asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa endelea kuchochea moto huo ntakuja tuu😀Mimi sipendi vikojozi[emoji23]..mambo ya kuanika godoro nje kila siku alafu limebonyea katkati km mtumbwi me siyawezi asee
Wewe sasa ndo uneongea la maana. Kupenda ni jukumu la mwanaume
Usiombe uwe na hali hiiUnapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Misimbazi kama mingapi inafaa kuanza nayo?Jiongezee mzee! Ila unaweza kutuma zawadi ya misimbazi iliopangwa kama maua [emoji23][emoji23][emoji23]
mwanamke kwake ni kutii na mwanaume kwake ni kupendaWewe sasa ndo uneongea la maana. Kupenda ni jukumu la mwanaume
Ndio, na usipopendwa kutii inakuwa ngumumwa
mwanamke kwake ni kutii na mwanaume kwake ni kupenda
Long time sijaona comments zako bibie ,uko salama???Anaomba na ya kutolea.....
Nipo mkuu, salama kabisa.... ahsanteLong time sijaona comments zako bibie ,uko salama???
Agiza kinywaji baridi, bili utalipa mwenyewe kwa sababu mimi sina pesa leoKama anatoa papuchi mengine sio kipaombele sana maana kipao mbele changu uwe unatoa papuchi mara 4 kwa wiki kwa hivyo kama unanipenda ama hunipendi utajua mwenyewe
Wakati huo anakufanyia hayo na yeye kuna boya anamzingua.Unapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Karibu sana ,kazi iendleee ACKNipo mkuu, salama kabisa.... ahsante
Upange gift paper yeny misimbazi kama 30 hivi! Utapata I love u too kutoka mdomoni kwake tu!Misimbazi kama mingapi inafaa kuanza nayo?
Lakin hiyo ina sound kama exchange fulani , so I am to give her my penny what do I get in return ?
Hiyo biashara ngumu sana.Upange gift paper yeny misimbazi kama 30 hivi! Utapata I love u too kutoka mdomoni kwake tu!
Oohooo kumbe!! Poor me jaman!! Anajisemeaga mwenyewe Inasikitisha sanaHahahaha yule mwamba inaonekana kabwaga
Kwahio nije inbox uchague chaka 😂😂😂Oohooo kumbe!! Poor me jaman!! Anajisemeaga mwenyewe Inasikitisha sana
tehteh una skills gani mpya??Kwahio nije inbox uchague chaka
your wellcomeThank you Ethan